Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Duuh! Kwa hiyo na Magu aliuawa?Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi
Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia
Yalivyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakini akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo.
Kabisa mkuu,umenena sanaMitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Dah.....sa itakuwaje? 😳😳😳[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nani kakudanganya?it will never be like unavyofikiria
Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Nani wa kuishinda CCM 2025 wakati hata wapinzani wanashangilia Kinana na wajanja wa bao la mkono kurudi?Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.
Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.
CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
Aiseh wewe ni wa kuandika hv kweli!!!?we si timu Born town wewe!!!?au?Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi
Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia
Yalivyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakini akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo.
Hata laki nanae hawafiki haoMagufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Jitoe ufahamu subiri hiyo 2025 ndio utajua hujui.Magufuli alijuwa Tanzania Ina illiterates wengi na akawafanya mtaji. Akazima vyombo huru vya habari na akabakia yeye tu ndiye sauti kupitia TBC na channel 10.
Propaganda zake tu za uwongo ndizo zilitawala kwa miaka 5, ndiyo maana wewe sinza pazuri unaona kama watu wanamkubali.
Tutaendelea kuwasomesha Polepole mpaka waelewe kuwa Magufuli was a mediocre leader but a ruthless dictator
Mtaingia Ikulu lakini mtagawana wabunge na vyama vya upinzani. Subiri uone !Tokea lini CCM inategemea kura yako, kama ungekuwa na uwezo wa kuamua si ungebadili katiba au hata kuandamana, SAMIA RAIS WA LEO NA KESHO, acha ubwege.
Wanashinda sana tu. Kwa nini wasishinde iwapo wapinzani wenyewe hawa wa kubadili gia anagani ? Hivi sasa hata kujua wapinzani wanajipanga vipi haileweki halafu wakija kushindwa wanaanza ooh tumeibiwa ! Hovyo kabisa.Kwani kwa akili yako Maccm yaliwahi shinda uchaguzi wowote tangu 2010?
Hata wewe utakufa tu kwani utaishi milele ?Adolph Hitler mwenyewe anayelaaniwa kwa kuanzisha vita vya pili vya Dunia anaenziwa kila mwaka huko Germany. Lakini bado haimfanyi kuwa kiongozi mzuri.
Kuhusu kumchafua Magufuli, huo ni uongo. Alijichafua mwenyewe kwa kumiliki kikundi cha WASIOJULIKAMA, kuua wakosoaji, kutugawa watanzania kiitikadi na kikabila.
Muache aendelee kuoza huko ahera
Huo mwaka 2020 nani angeitoa CCM madarakani ?Angekuwa amefanya makubwa hivyo asingenajisi uchaguzi wa 2020. Yeye mwenyewe akiwa hai ilibidi anajisi uchaguzi. Kama alikuwa anakubalika hivyo huko mtaani angeheshimu box la kura.
Hujui kitu 2025 siyo mbali kwa hali inavyoenda subiri mtanangeMagufuli is no more, kuongelea mambo ya 2025 sasa hivi sio sahihi, kumbuka siasa hubadilika muda wowote na mpaka kufika mwaka huo mengi yatakuwa yameshatokea kubadili upepo.
Hata likiwa ni Tawi la CHADEMA wataishia kutukana humu na Ikulu hawaingii kamweMkuu, na usisahau humu JF ni kama tawi dogo la Chadema ambapo kila kitu kihusucho mazuri ya JPM basi watapinga na kutukana
Ila kiuhalisia mtaani huko ni habari nyingne kabisa JPM ni Rais aliyetokea kukubalika sana nchini
Hata kama mpaka 2060 sawa tu lakini CHADEMA big noYaani Hawa matahila huyo dikteta washamfanya Ni mungu Wao, wakati uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa hovyo kabisa kwajili yake,
Samia Ni mpaka 2039
Hana hakika kama walishiriki na kushinda uchaguzi🤣Bwashee umeiruka 2020.🤣🤣🤣
Kwani CHADEMA bado ipo ?Tunapenda kudakia vitu. Bila tume huru tusije kufikiria mambo yatakuwa kama zamani Chadema haitashiriki bila tume huru huo ndiyo ukweli. Hii ni 30%~40% ya wapiga kura!. Labda hata idadi ya wapiga kura watapeli!