Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Duuh! Kwa hiyo na Magu aliuawa?
 
Kabisa mkuu,umenena sana
 


Tunapenda kudakia vitu. Bila tume huru tusije kufikiria mambo yatakuwa kama zamani Chadema haitashiriki bila tume huru huo ndiyo ukweli. Hii ni 30%~40% ya wapiga kura!. Labda hata idadi ya wapiga kura watapeli!
 
Unajua hali ya mtaani ni tofauti kabisa na wanavyozani ccm watu wamewachoka
 
Nani wa kuishinda CCM 2025 wakati hata wapinzani wanashangilia Kinana na wajanja wa bao la mkono kurudi?
 
Aiseh wewe ni wa kuandika hv kweli!!!?we si timu Born town wewe!!!?au?
 
Hata laki nanae hawafiki hao
 
Jitoe ufahamu subiri hiyo 2025 ndio utajua hujui.
 
Tokea lini CCM inategemea kura yako, kama ungekuwa na uwezo wa kuamua si ungebadili katiba au hata kuandamana, SAMIA RAIS WA LEO NA KESHO, acha ubwege.
Mtaingia Ikulu lakini mtagawana wabunge na vyama vya upinzani. Subiri uone !
 
Kwani kwa akili yako Maccm yaliwahi shinda uchaguzi wowote tangu 2010?
Wanashinda sana tu. Kwa nini wasishinde iwapo wapinzani wenyewe hawa wa kubadili gia anagani ? Hivi sasa hata kujua wapinzani wanajipanga vipi haileweki halafu wakija kushindwa wanaanza ooh tumeibiwa ! Hovyo kabisa.
 
Hata wewe utakufa tu kwani utaishi milele ?
 
Angekuwa amefanya makubwa hivyo asingenajisi uchaguzi wa 2020. Yeye mwenyewe akiwa hai ilibidi anajisi uchaguzi. Kama alikuwa anakubalika hivyo huko mtaani angeheshimu box la kura.
Huo mwaka 2020 nani angeitoa CCM madarakani ?
 
Magufuli is no more, kuongelea mambo ya 2025 sasa hivi sio sahihi, kumbuka siasa hubadilika muda wowote na mpaka kufika mwaka huo mengi yatakuwa yameshatokea kubadili upepo.
Hujui kitu 2025 siyo mbali kwa hali inavyoenda subiri mtanange
 
Mkuu, na usisahau humu JF ni kama tawi dogo la Chadema ambapo kila kitu kihusucho mazuri ya JPM basi watapinga na kutukana

Ila kiuhalisia mtaani huko ni habari nyingne kabisa JPM ni Rais aliyetokea kukubalika sana nchini
Hata likiwa ni Tawi la CHADEMA wataishia kutukana humu na Ikulu hawaingii kamwe
 
Tunapenda kudakia vitu. Bila tume huru tusije kufikiria mambo yatakuwa kama zamani Chadema haitashiriki bila tume huru huo ndiyo ukweli. Hii ni 30%~40% ya wapiga kura!. Labda hata idadi ya wapiga kura watapeli!
Kwani CHADEMA bado ipo ?
 
Umeandika kilichoko mitaani mkuu,

Mimi mwenyewe CCM ila CCM iliyopo sasa bila Kumpata mwenye kuendana na JPM, kura yangu siwapi hao wezi waliopo sasa!
 
Upo sahihi kabisa. Cha ajabu ni kwamba, CCM wameshasahau hayo yote, wanadiriki hata kumdhihaki JPM. CCM ilikosa kabisa kibali machoni pa Watanzania lakini JPM binafsi ndo aliyekiheshimisha tena chama kwa Watanzania.
Rai yangu, CCM wasilewe madaraka wakafikia hatua ya kupuuza kazi za JPM.
Wataangukia pua si muda mrefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…