Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
kuna mmoja tunaomba makalio na maipsi yawe makubwa zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli the master mind wa mauajiKwani nani amekufa?
Anajifanya hajui kitu.Wema Hawafi
Sijui kama unajua jambo hilo
Hakuwa msafi.....Lowasa inahusikaje hapo?
Mkuu umepaniki sana. Kwani ametaja mtu?Wewe ni mjinga na mpumbavu na Wajinga na wapumbavu wenzako ndio watakuunga mkono. Kwanini nasema hivyo? Waliomuua unawajua? Kwa vipi unawajua? Usitafute cheap popularity kujifanya unajua kumbe ni limbukeni wa mtandaoni tu sawa na wasanii wa Bongo Movies kujifanya matawi ya juu wakiwa wazima, wakiugua wanataka tuwachangie pesa ya matibabu! PUMBAVU!!!
Watibeli mmetisha kwenye hiliKwema Wakuu!
Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.
Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.
Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.
Acha Nipumzike sasa
Watibeli wamekuwa manabii sasaWatibeli mmetisha kwenye hili
MkuuWewe ni mjinga na mpumbavu na Wajinga na wapumbavu wenzako ndio watakuunga mkono. Kwanini nasema hivyo? Waliomuua unawajua? Kwa vipi unawajua? Usitafute cheap popularity kujifanya unajua kumbe ni limbukeni wa mtandaoni tu sawa na wasanii wa Bongo Movies kujifanya matawi ya juu wakiwa wazima, wakiugua wanataka tuwachangie pesa ya matibabu! PUMBAVU!!!
Soon ataanza kuwaombea wanaotoa sadaka za kujimaliza kabisa🤣Watibeli wamekuwa manabii sasa
Acha kutafuta umaarufu wa kijinga, kila mtu atakufa tofauti tarehe.Kwema Wakuu!
Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.
Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.
Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.
Acha Nipumzike sasa
Nani ataishi milele hata akiwa mwema?
Hakuna wema wanakufa na umri mdogo?
Mto mada utaishi milele?
Kila ukilala na kuamka usisahau kuomba kifo chema hata kabla ya mali.
Ukiacha ambaye kila mmoja anamjua, yule mwingine alikufa kwa kukatika miguu wakati akitoka Bagamoyo kuelekea Dar. Alipelekwa Muhimbili, lakini siku hiyo hiyo aliondoka.Nani alikufa Lisu akashuhudia kifo chake?
na wewe ukitangulia mbele ya haki tutasemaje?wale watu hawezi kuomba msamaha hadharani kwa sababu watakamatwa.lakini waweza kutubu kimoyomoyoKwema Wakuu!
Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.
Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.
Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.
Acha Nipumzike sasa
Da! Hii kali, kuna mmoja ameanza kuhisi kila wakati kuna watu wanataka kumuua kumbe ni wenge limeanza!Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.
Hakuna toba ya kimoyomoyo hata kidogo ndugu! Soma vitabu vitakatifu.na wewe ukitangulia mbele ya haki tutasemaje?wale watu hawezi kuomba msamaha hadharani kwa sababu watakamatwa.lakini waweza kutubu kimoyomoyo
Inabidi nawewe siku moja uicheze muvi ya vile,uone kama utasafirishwa ufike hata unapowazia utafika.Ile ilikuwa move iliyobuma
Dereva wake yupo wapi mbona mmemficha hadi leo?
Hakuna cha risasi 40, 38, 30 au 16
Kimwili alikuwa amekufa ni Mungu tu alipulizia tena Pumzi ya Uhai Lissu akawa kiumbe hai tenaMkuu
Lisu aliuawa kumbe.... haya tupe maelezo ubaoni
Na waliotunga Movie wanazidi kupukutika kwa KarmaIle ilikuwa move iliyobuma
Dereva wake yupo wapi mbona mmemficha hadi leo?
Hakuna cha risasi 40, 38, 30 au 16