Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana


Anacheza na Afya za watanzania yeye ndio anatibu?
 
Tuambieni basi nini kinajiri au kimejiri huko kwa mange na WA
 
We mpumbavuuu[emoji23][emoji23]
Mxiuuu huyo umy mayala katengeneza mfumo gani kenge wewe
Endelea kulamba masaburi mjalaana wewe mziiuuu
Maskin kibudu[emoji120]

Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa hasira tu lkn namba mnazisoma.
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.
 
Kumbe wewe ni demu
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.

Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.

Pia FYI hakuna Bima iliyofutwa ni utaratibu wa kuchangia umebadilika kutokana na ustahimilivu wa mfuko. Ni suala ya sayansi inayohitaji upewe shule na wataalam ndio utaelewa sio wapiga kelele wa mtandaoni
 
Watanzania tulilaaniwa, kwa akili zetu kupata mabadiliko itatuchukua mud sana. Ummy ni worst minister hafai kuwa wizara ya Afya.
 
Najua unalipwa kutetea maslahu yake lakini hafai kwenye wizara ya Afya, wizara yake inaongoza kwa ufujaji na upigaji wa pesa. Wanawake wenzake wajawazito wanakufa kwa kukosa matibabu, kuna sekeseke linaendelea na private hospitals. Haya ni machache tu yako madudu kibao.

Labda nikuulize Ummy anaonewa wapi? Tuanze kujadili
 

Je wewe pia unalipwa kusema haya? Ufujaji wa fedha unaweza kuusema hapa na kuweka ushahidi (usiniambie MMM kasema). Wajawazito gani wanakufa? Maana takwimu zinaonyesha vifo vimeshuka toka 584 mwaka 2018 hadi vifo 104 kwa kila vizazi 100,000 mwaka 2022. Sekeseke la private hospital kuhusu nini? Umeniuliza swali, naomba nikujibu kwamba anaonewa sababu hayo anayosemwa nayo sio ya level ya Waziri, mathalani mtumishi amefanya malpractice Waziri anahusikaje? Mi nashauri muache chuki na kuendeshwa na mitandao, tutajikutabkila siku tunabadili baraza na kupoteza vision na consistency ya utendaji.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.
 

Huyo mtu/watu ni wewe na wenzako uliowaiita humu kupiga nao ramli....
 
Kwani Ummy kitaaluma yeye ni nani? Mie huyu nimemjua baada ya kupata uwaziri, sikuwahi mjua hata,
 
Kiukweli kuna wizara zinatakiwa kuwa na watu mahsusi wenye taaluma husika,
Wizara km Afya, Elimu, Nishati, etc
Sio za kuokoteza watu kabisaa.
 
Ngoja uuguliwe ndio utajua ummy anafaa au hafai,hospitali zote zimeoza kuna madudu huko wanayofanyiwa watanzania yanasikitisha,fika hapo muhimbili tu uone wagonjwa walioruhusiwa lakini wamezuiwa kutokana na kutokua na pesa za matibabu,na halafu sasa hivi kuna mchezo kati ya wagonjwa 10 wanaofanyiwa upasuaji basi 8 watakosewa maksudi na wakikosewa upasuaji mwingine unalipa tena hata kama kosa lilikua la kwao,moi pale operesheni laki 3,ukikosewa mara 3 uwe na m 1.8,jamaa wanafanya masihara sana na maisha ya wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…