Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Hebu sema kosa moja la Ummy hapa.
Bima ya Afya ya toto, kwanini kaifuta bila plan B.Kwanini anasema watoto wajiandikishie kupata Bima shule mpaka wafike 100 wakati anajua sera ya serikali ya Elimu mtoto anapawa ajiunge shule ya msingi akiwa na miaka 4,Je wale watoto wachanga mpaka miaka 3 wanatibiwa kwa mfumo upi?
Acheni kutetea Mawaziri wapumbavu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa hasira tu lkn namba mnazisoma.
Mlishika namba mbili kufanya nini?kwani nyungu haikusaidia kupambana na UVIKO-19?
Mpaka sasa chanjo yenu ya mchongo ya WHO imefikia wapi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
Na Wazazi kulala Hospitali wawili kitanda kimoja ni uwongo?


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Pia FYI hakuna Bima iliyofutwa ni utaratibu wa kuchangia umebadilika kutokana na ustahimilivu wa mfuko. Ni suala ya sayansi inayohitaji upewe shule na wataalam ndio utaelewa sio wapiga kelele wa mtandaoni
Utaalamu upi wa kuua watu,unafutaje Bima ambayo ipo inaendelea kufanya kazi bila kuwa na Plan B?
Unajua ni watoto wangapi wamekufa kwa kukosa matibabu kwa maamuzi ya ovyo ya Ummy na wajinga wenzie?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
People should stop that kind of nonsense za kuwachafua watu. To be fair Ummy Mwalimu ameitendea HAKI wizara ya Afya. Nina umri wa miaka 50. Sijawahiona waziri aliyefanya vzr wizara y Afya zaidi Ummy. Sifahamiani naye kwa namna yoyote ile. But that is the truth. Anajitahidi sana. Tumuhukumu mtu kwa facts, siyo majungu tu.
 
Hakuna hujuma yoyote

Ukweli ni kwamba huduma za afya ni mbovu sehemu nyingi na wananch wanalalamika

Ni vyema kama waziri na wizara kufanya kazi malalamiko ya wananchi kwa kuendelea kuboresha huduma

Haisaidii kutoka huko na kuja kuanzisha Uzi wa kuhujumiwa wakati kuna ukweli ndani yake

Tubadilike watanzania wewe kama hakijawahi kukutokea usitete ujinga haiwezekani watu mamilioni wakalalamika halafu mtu utoke huko kuja kutetea hapa hiyo sio sawa
 
Sikatai changamoto zipo ila sio za Ummy. Hao wafawidhi na viongozi wa huko na madaktari wanachukua hatua gani? Umesema hapo juu wanafanya upasuaji vibaya ili warudie wapate hela japo sina hakika, sasa hapa analaumiwaje Ummy na sio hao madaktari ndio wakuchukuliwa hatua?
Wewe nawe ni Mwehu,gari inayumba unasema siyo kosa la dereva bali ni la mmiliki wa gari!
Sasa kama changamoto siyo za Ummy,tuambie ni nani aliyekabidhiwa kuwa msimamizi mkuu wa sera za sekta ya Afya!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Dr Babutale je,kuna yule mwigizaji Chikoka mkuu wa mkoa sijui wapi huko.
Nashindwa kuelewa hatuna watu wa kupewa uongozi tunabandika bandika tu
Yule Chikoka dini ilimbeba.Kwanza Watanganyika wajue kwamba hakuna Mzanzibari anawapenda Watanganyika,wale watu ni wadini na wabaguzi sana na ndiyo maana ata sheria ya Ardhi kule visiwani, Watanganyika wametungiwa kuwa ni marufuku kumiliki Ardhi Zanzibar ila wao kumiliki Ardhi Tanganyika ruksa.Sasa Kuna watu wanamsifu Samia hapa wakati Mama anapeleka pesa kwao Zanzibar na wanaijenga Zanzibar kwa kasi kwelikweli,jiulize pesa wanatoa wapi wakati Bajeti yao kwa mwaka ni Bilioni 40 tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia yule Mkuu wa TISS enzi za JK Bwana Othman ndiyo anapenyeza watu wa Tanga kwao kupewa vyeo serikalini.Kiburi cha Ummy kina mizizi mirefu sana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Si kwa ubaya watu watanga 80per ya watu wa tanga huwa wana iq ndogo sana angalia makamba .mwana fa .huwa ni watu wa ushirikina na fitina
 
Dr Babutale je,kuna yule mwigizaji Chikoka mkuu wa mkoa sijui wapi huko.
Nashindwa kuelewa hatuna watu wa kupewa uongozi tunabandika bandika tu
Yule Chikoka dini ilimbeba.Kwanza Watanganyika wajue kwamba hakuna Mzanzibari anawapenda Watanganyika,wale watu ni wadini na wabaguzi sana na ndiyo maana ata sheria ya Ardhi kule visiwani, Watanganyika wametungiwa kuwa ni marufuku kumiliki Ardhi Zanzibar ila wao kumiliki Ardhi Tanganyika ruksa.Sasa Kuna watu wanamsifu Samia hapa wakati Mama anapeleka pesa kwao Zanzibar na wanaijenga Zanzibar kwa kasi kwelikweli,jiulize pesa wanatoa wapi wakati Bajeti yao kwa mwaka ni Bilioni 40 tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mange sijui anatumika na nani aisee, ila waziri anajitahidi kujibu kila hoja inayoletwa kwake japo inakuja negative.
Sidhani kama Mange au MMM wa twitter wanatumika ila Mange alipotoa zile posts za matatizo kwenye hospitali ya temeke na buzuruga mwanza kama sikosei.

Wizara ya afya, hospitali na waziri Ummy mwenyewe walikana zile issue kuwepo na ushahidi waliotoa ulikuwa somehow staged.

Ummy alipokosea pia ni kutengeneza campaign Twitter lakini pia kuiweka ile vita personal kwa kuonesha mafanikio yake hivyo ni kama "anachafuliwa".

Kwa mtu yoyote ambaye anatumia hospitali za serikali na hata comments maelfu ya watu, walionesha zile posts za mange kuwa ni kweli. Ummy angeshughulikia hizo allegations kuliko kusema kuwa hali ipo perfect mahospitaliini ilhali watu tunajua si kweli.
 
Tatizo lililopo akitolewa atawekwa nani hiko chama kimeishiwa watu ndiyo maana wanajirudiarudia au wanabadilishwa tu kwa serikali hii hakuna waziri utasema ana nafuu wote wamechoka labda atafutwe mtu wa nje apewe ubunge wa viti maalumu ndiyo achaguliwe waziri
 
😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Kwa majungu na kuandika bila ustaha nawe ukiwa mwanamke kama ni kweli, basi ikos shida mahali either kwenye akili yako au malezi yako.
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya. yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii. ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
. Ummy kuongoza hii wizara kwa sasa amepwaya sana, tofauti na kipindi cha magu.

. Uongozi ni kipaji, ila niseme tu tabia ya kusomea kitu fulani alafu unateuliwa kisimamia kitu tofauti na ulicho somea, ni tatizo pia.
 
Nasikia yule Mkuu wa TISS enzi za JK Bwana Othman ndiyo anapenyeza watu wa Tanga kwao kupewa vyeo serikalini.Kiburi cha Ummy kina mizizi mirefu sana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Si kwa ubaya watu watanga 80per ya watu wa tanga huwa wana iq ndogo sana angalia makamba .mwana fa .huwa ni watu wa ushirikina na fitina
 
Back
Top Bottom