😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani
Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,
baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,
nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.
Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia
Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️