Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

[emoji23][emoji23][emoji23]Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent [emoji120][emoji2539]
Mwanamke akishaingia kwenye siasa lolote laweza kutokea,na hata hivi vyeo wengi wanagawa uroda ndo wanapata hakuna namna
 
UMMY ANAPIGWA VITA SABABU YA UISLAMU WAKE, mbona molel naibu wake kazi kukodoa mimacho hasemwi
Kwa kweli sijawahi kumuelewa Dr.Mollel yaani hata ku- comprehend context ya swali bungeni na kutoa jibu Sahihi hawezi ni empty set Kabisa kazi uchawa tu hadi Kwa Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya.Cha kushangaza,amekuwa aki- survive tu wanalaumiwa wengine hata wata kama Dr.Ndungulile aliyekuwa anajitambua walionekana hawafai
 
Kwa kweli sijawahi kumuelewa Dr.Mollel yaani hata ku- comprehend context ya swali bungeni na kutoa jibu Sahihi hawezi ni empty set Kabisa kazi uchawa tu hadi Kwa Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya.Cha kushangaza,amekuwa aki- survive tu wanalaumiwa wengine hata wata kama Dr.Ndungulile aliyekuwa anajitambua walionekana hawafai

Ukiona hivyo ujue we ndiyo hujielewi
 
By my conclusion after 15 years of being JF contributor watanzania deserve what they get.

Watu tuliokuwa tunapiga kelele toka siku huyo dada anawekwa hiyo wizara jamani hee huko kuna maisha ya watu msicheze nayo hiyo sector ni technical na huyo mtu hana qualification za kwenda huko, mlikuwa mnatuona kama vile tuna vita binafsi.


Katika sector duniani ambazo zinatoa nafasi ndogo ya ubunifu wa mtu binafsi kwenye kuendesha na kusimamia huduma ni afya.

Afya is very hierarchical (top-down) policy and regulations wise. Watoa huduma mipango yao inatakiwa kufuata miongozo kutoka wizarani au medical professional bodies (na wizara zote over 90% ya policy zao ni WHO directives) hakuna ubunifu wa mtu binafsi kwenye management ya afya.

Ndio maana hata chawa awaelewi jukumu la serikali (wizara) kwenye safeguarding patients care wanapokuwa huko mahospitalini.

Yalikuwa maamuzi ya kijinga sana kumtoa Dorothy Gwajima afya mtu ambae achilia ya kuwa medical doctor anaufahamu mpana wa health management (sio kila doctor ana huo ufahamu), she was trained for that role.

Sasa leo mnalalamika nini, sio matatizo ya Ummy wagonjwa wanavyokuwa mistreated huko kwenye services level, but then akishapewa hayo malalamiko does she have the wit to troubleshoot the problem? Ndio maana unahitaji technocrat to safeguard patients.

Huko kwenye bima ya afya CAG anakwambia kuna upotevu wa zaidi ya hundreds of billions through fraudulent activities ujafanyia kazi hoja za CAG kuzuia hizo leakage? Who do you think is gonna pay for the losses. Ni wewe mwananchi ambae utapandishiwa gharama za bima ili mfuko usifilisike kwa uzembe wao wakuto zuia fraud za ndani na nje ya shirika.

Kwa aina ya viongozi tunaochagua na wastani wa akili zetu, tunachopata pia ni stahiki yetu; huo ndio ukweli wenyewe.

Ebu imagine mtu anaanzisha mada ya kujadili bima, halafu anasema NHIF wasihusishwe how is that even possible wakati wao ndio wanafahamu changamoto za finance.

The nonsense of this country is beyond me.
 
People should stop that kind of nonsense za kuwachafua watu. To be fair Ummy Mwalimu ameitendea HAKI wizara ya Afya. Nina umri wa miaka 50. Sijawahiona waziri aliyefanya vzr wizara y Afya zaidi Ummy. Sifahamiani naye kwa namna yoyote ile. But that is the truth. Anajitahidi sana. Tumuhukumu mtu kwa facts, siyo majungu tu.
Unazeeka na ukilaza kichwani wewe Mzee. Taja mambo 5 aliyofanya Umi kwenye wizara ya Afya.
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Kumchafua maana yake nini?
Kwani hizo picha ma video ni za uongo? Kwanini watu kusema ukweli ichukuliwe kuwa ni kuchafuliwa?
 
😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Ummy anabebwa na ushirikina wala hana lolote ni fisadi haswa
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Mkuu naomba unisaidie
Hivi kujifungua hospitali za Serikali ni bure?
Hivi Matibabu hospitali za serikali ni bure?
Kama ni bure kweli kwanini watu wanadaiwa kuchangia?
Kama sio bure kwanini wanasiasa wana wadanganya watanzania kuwa matibabu ni bure?
Kwanini watumishi wa afya wanafukuzwa na kushushwa vyeo wanapo wadai wagonjwa malipo?
Nani yuko nyuma ya haya manyanyaso kwa Watumishi wa Afya?
 
Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa hasira tu lkn namba mnazisoma.
Hapana alifata boss alihitaji nini hata wewe ungeliweza…. Kabla ya Ngwajima Ummy alikuwepo Wizara ya afya
 
Hana wa kumchafua hivi mlishaenda hospital za serikali kweli??? Aisee ile nimefika anaambiwa mlinzi anikague achukue simu nilisema sitoi simu na hanigusi mtu mwili wangu atakae nigusa nakufa nae na nikasema mpigieni Dr flani aje wakasema kumbe dharau sababu una mtu wako Dr akapigiwa akasema muacheni nayo tu hana shida huyo hawezi record nikajua kumbe simu watu wasi wa record aisee niliapa sitorudi tena wanangu walofata nikazaa private hospital huduma nzuri alikuwa anasema kuzaa ni bure ila ukienda hospital unalipa 80,000 kujifungua na kama hauna pesa unawekwa kizuizini mpaka upate pesa ya kukutoa na unapokaa hospital deni lazidi haya bima ya watoto imetolewa eti mpaka uwe shule hivi kuna watoto wanaumwa kama hawa watoto wachanga mpaka miaka 4-5 ambao kuanza shule ya msingi bado enzi za corona aliupiga mwingi ila sio kwasasa.
Dah, hospital gani Tena kushimiana Hadi simu jamaa! Mimi sijawahi peleka familia yangu serikalini kutokana na kesi Kama hizi ninazosikia au kusoma
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Wee ndio ummy mwenyewee Sasa
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
U Mmy alipaswa kuwa diwani au sanaaaa vitii maalumu
 
Nadhani kuna watu wamenusa kuna mabadiliko ya baraza hivyo kama wanataka kuinfluence maamuzi fulani ya kumtoa Ummy. Hao kina Mange na Martin wanatumika kupush ajenda za watu. Kiukweli Ummy anajitahidi sana katika hii sekta, its one of the best Ministers wanaomsaidia Mhe Rais, ana weledi, very professional na ana passion ya anachokifanya. Hizi hoja wanazomchafua nazo sio za level ya Waziri, ni za kumalizwa huko chini kwenye CHMT na RHMTS's. Nashangaa sana kuona daktari amekuja kazini amelewa analaumiwa Waziri. CCM kuchafuana ni jadi yao, mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Ummy hapo Afya anatosha na kwasasa sioni kama kuna wa kumbadili.

Nawasilisha
Hizi taarifa za wanawake kufa wakati wanajifungua pamoja na vichanga vyao kwa uzembe wa wauguzi hamjaziona kwenye vyombo vya habari? Na kina mama waliojifungua kulala wawili hadi watatu na vichanga vyao na picha zimepostiwa kabisa. Mambo ni mengi
 
People should stop that kind of nonsense za kuwachafua watu. To be fair Ummy Mwalimu ameitendea HAKI wizara ya Afya. Nina umri wa miaka 50. Sijawahiona waziri aliyefanya vzr wizara y Afya zaidi Ummy. Sifahamiani naye kwa namna yoyote ile. But that is the truth. Anajitahidi sana. Tumuhukumu mtu kwa facts, siyo majungu tu.
Kwanini Ummy amefuta Bima kwa watoto na kulazimisha wasajiliwe mashuleni? Na kwanini kaongeza gharama?
 
Back
Top Bottom