Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

By my conclusion after 15 years of being JF contributor watanzania deserve what they get.

Watu tuliokuwa tunapiga kelele toka siku huyo dada anawekwa hiyo wizara jamani hee huko kuna maisha ya watu msicheze nayo hiyo sector ni technical na huyo mtu hana qualification za kwenda huko, mlikuwa mnatuona kama vile tuna vita binafsi.


Katika sector duniani ambazo zinatoa nafasi ndogo ya ubunifu wa mtu binafsi kwenye kuendesha na kusimamia huduma ni afya.

Afya is very hierarchical (top-down) policy and regulations wise. Watoa huduma mipango yao inatakiwa kufuata miongozo kutoka wizarani au medical professional bodies (na wizara zote over 90% ya policy zao ni WHO directives) hakuna ubunifu wa mtu binafsi kwenye management ya afya.

Ndio maana hata chawa awaelewi jukumu la serikali (wizara) kwenye safeguarding patients care wanapokuwa huko mahospitalini.

Yalikuwa maamuzi ya kijinga sana kumtoa Dorothy Gwajima afya mtu ambae achilia ya kuwa medical doctor anaufahamu mpana wa health management (sio kila doctor ana huo ufahamu), she was trained for that role.

Sasa leo mnalalamika nini, sio matatizo ya Ummy wagonjwa wanavyokuwa mistreated huko kwenye services level, but then akishapewa hayo malalamiko does she have the wit to troubleshoot the problem? Ndio maana unahitaji technocrat to safeguard patients.

Huko kwenye bima ya afya CAG anakwambia kuna upotevu wa zaidi ya hundreds of billions through fraudulent activities ujafanyia kazi hoja za CAG kuzuia hizo leakage? Who do you think is gonna pay for the losses. Ni wewe mwananchi ambae utapandishiwa gharama za bima ili mfuko usifilisike kwa uzembe wao wakuto zuia fraud za ndani na nje ya shirika.

Kwa aina ya viongozi tunaochagua na wastani wa akili zetu, tunachopata pia ni stahiki yetu; huo ndio ukweli wenyewe.

Ebu imagine mtu anaanzisha mada ya kujadili bima, halafu anasema NHIF wasihusishwe how is that even possible wakati wao ndio wanafahamu changamoto za finance.

The nonsense of this country is beyond me.

Huyo Gwajima lipi la maana amefanya akiwa NKM Tamisemi, na alipokuwa Wizara ya Afya. Rekodi ya utendaji wa Ummy, takwimu zinajulikana na kutambulika na watu wote ndani ya Wizara, sekta na Wadau wa Maendeleo.
 
Kiuhalisia ummy ana bahati tu ya kupendwa na watu ila kwenye utendaji wa kazi ni hamna kitu hospital nyingi za serikali huruma ni mbovu na dawa hata antibiotics hakuna.

Ila kuna siku ndo nilimuona ummy muigizaji maana walifanya maadhimisho ya siku ya malaria duniani kwenye kiwanda flani pale kibaha ( Cha viua wadudu) kama sijakosea wakati kile kiwanda kilikua hakifanyi kazi miaka 2 nyuma kilikua tayari kishafungwa na waliokota vijana mtaani wakapewa 5000 na t-shirt wavae kama wafanyakazi wa kile kiwanda.
Ni msanii
Mie mwenyewe hayo maigizo yake nimeyashuhudia huko pwani
Waziri mzigo,anabebwa na mbususu😂😂😂
 
Namuona mrembo Ummy hana baya na mtu halafu anatekeleza majukumu yake kiweledi sana(muono wangu) ila wapo watu wanamtafutia baya kila siku iendayo kwa mola.AU MIMI NDIO SIJUI YA NYUMA YA PAZIA??
Hivi issue ya chanjo ya Ukimwi iliishia wapi!?
 
Wenzenu wameonesha hadi ushahidi ninyi mnajitetea kwa maneno matupu... Wahojiwe wanaopata hizo huduma kwenye vituo vya afya msikie maoni yao.
 
Huyo Gwajima lipi la maana amefanya akiwa NKM Tamisemi, na alipokuwa Wizara ya Afya. Rekodi ya utendaji wa Ummy, takwimu zinajulikana na kutambulika na watu wote ndani ya Wizara, sekta na Wadau wa Maendeleo.
Embu tuletee hizo takwimu zinazompaisha huyo Ummy wako. Na sera gani alizo introduce kupata hayo mafanikio.

Matatizo ya afya ni complicated hata huyo Gwajima utegemei ata ya maliza kwa miaka mitano, walau anauelewa mpana wa medical practice, policy/regulations and management kuanzia kwenye zahanati mpaka hospitali za rufaa.

Shida kubwa ya afya ni working culture ya kutofuata miongozo ya afya na Dorothy alikuwa ana expose hayo mambo alipokuwa TAMISEMI kila siku na hata muda mchache alipokuwa waziri. Anahitajika mtu wa kupambana kuona taratibu za practice zinaheshimika na hiyo sio kazi ndogo kuwabadili watu tabia.

Let me tell what Dorothy Gwajima angefanya kama angekuwa waziri kwenye hili sakata la mimba. Badala ya kuzunguka na kwenda vituo ambavyo havina shida na kufanya propaganda huku akificha tatizo. Yeye angewaibukia kituo chenye tatizo na kuanza kuwapiga audit ajiridhishe kama number of staffs wanaotakiwa kuwa shift wote wapo nurses, wakunga, kama wanazidiwa na wajawazito angeomba barua yao iliyoandikwa wizarani kuomba kuongezewa wakunga, angekagua kama wajawazito wanapewa pre-natal care sahihi and so forth; kwa kifupi pangechimbika.

Sina shaka kuna uzembe huko wa ndani based on bad working culture na Dorothy kaonyesha mara kadha kila alipokuwa akiamua kuwapiga audit ya papo kwa hapo iwe inventory control au process za mahabara.

Usicheze na Dorothy kuna siku walitaka kumuongopea dawa hakuna akawaambia subirini mnanisikia tu hamnijui aliwaanzia kwenye order ya dawa na kuanza kupiga audit hadi kwenye remaining stock halafu akawauliza mbona receipts za MSD, issues na inventory hazi match dawa mlizopewa zimeenda wapi. Mwisho anawaambia ‘now you see now you don’t ebu nielezeni dawa ziko wapi hiki sio kitendawili cha Schrödinger’s equation’ tells you she is deeper in quantum physics too (to appreciate her sarcasm you need to understand particles behaviour).

Dorothy Gwajima is something else to appreciate her inabidi uwe na abc za health management.

Kuna siku tena akakuta wagonjwa wanacheleweshewa vipimo wakataka kumuongopea, haya subirini twende kazi akawapiga process audit hadi maabara wenye wakaomba msamaha.

Unataka kumfananisha Dorothy na Ummy; akili zako sio sawa. Ndio afya awamtaki Dorothy kwa sababu awawezi muongopea.
 
Sikatai changamoto zipo ila sio za Ummy. Hao wafawidhi na viongozi wa huko na madaktari wanachukua hatua gani? Umesema hapo juu wanafanya upasuaji vibaya ili warudie wapate hela japo sina hakika, sasa hapa analaumiwaje Ummy na sio hao madaktari ndio wakuchukuliwa hatua?

Hayo mapungufu Waziri anatakiwa kuyafahamu na kuyachukulia hatua.
 
Sasa kwenye hizo kesi ulizotaja Ummy anaingiaje? Yani daktari afanye uzembe huko kutokana na tamaa yake ya rushwa au kutofuata misingi ya maadili ya taaluma yake halafu aje kulaumiwa Waziri seriously? Shida yetu Watanzania tumeenda shule lakini hatujaelimika.

Inaonekana Waziri mzembe watu wanafanya wanavyojisikia.
 
Tatizo siasa imeingia kwenye afya hata aje nani hiyo wizara kama sera hazijabadilika bado ataonekana hafai mfano hii ya mama kujifungua ni bure lakini ukienda hospital sio bure kuna vitu vyakununua.
 
People should stop that kind of nonsense za kuwachafua watu. To be fair Ummy Mwalimu ameitendea HAKI wizara ya Afya. Nina umri wa miaka 50. Sijawahiona waziri aliyefanya vzr wizara y Afya zaidi Ummy. Sifahamiani naye kwa namna yoyote ile. But that is the truth. Anajitahidi sana. Tumuhukumu mtu kwa facts, siyo majungu tu.

Sawa ummy tumekusikia. Ila umepwaya ile mbaya. Badilika
 
Back
Top Bottom