Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani
Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,
baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,
nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.
Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia
Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent [emoji120][emoji2539]
Afu hapa watu wakisema, eti Ummy anachafuliwa khaaahKiuhalisia ummy ana bahati tu ya kupendwa na watu ila kwenye utendaji wa kazi ni hamna kitu hospital nyingi za serikali huruma ni mbovu na dawa hata antibiotics hakuna.
Ila kuna siku ndo nilimuona ummy muigizaji maana walifanya maadhimisho ya siku ya malaria duniani kwenye kiwanda flani pale kibaha ( Cha viua wadudu) kama sijakosea wakati kile kiwanda kilikua hakifanyi kazi miaka 2 nyuma kilikua tayari kishafungwa na waliokota vijana mtaani wakapewa 5000 na t-shirt wavae kama wafanyakazi wa kile kiwanda.
Huyo Gwajima lipi la maana amefanya akiwa NKM Tamisemi, na alipokuwa Wizara ya Afya. Rekodi ya utendaji wa Ummy, takwimu zinajulikana na kutambulika na watu wote ndani ya Wizara, sekta na Wadau wa Maendeleo.
Chai jaba ☕😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani
Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,
baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,
nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.
Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia
Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Boraa umesema wee, hakuna waziri mwanamke atamfika Dorothy.Embu tuletee hizo takwimu zinazompaisha huyo Ummy wako. Na sera gani alizo introduce kupata hayo mafanikio.
Matatizo ya afya ni complicated hata huyo Gwajima utegemei ata ya maliza kwa miaka mitano, walau anauelewa mpana wa medical practice, policy/regulations and management kuanzia kwenye zahanati mpaka hospitali za rufaa.
Shida kubwa ya afya ni working culture ya kutofuata miongozo ya afya na Dorothy alikuwa ana expose hayo mambo alipokuwa TAMISEMI kila siku na hata muda mchache alipokuwa waziri. Anahitajika mtu wa kupambana kuona taratibu za practice zinaheshimika na hiyo sio kazi ndogo kuwabadili watu tabia.
Let me tell what Dorothy Gwajima angefanya kama angekuwa waziri kwenye hili sakata la mimba. Badala ya kuzunguka na kwenda vituo ambavyo havina shida na kufanya propaganda huku akificha tatizo. Yeye angewaibukia kituo chenye tatizo na kuanza kuwapiga audit ajiridhishe kama number of staffs wanaotakiwa kuwa shift wote wapo nurses, wakunga, kama wanazidiwa na wajawazito angeomba barua yao iliyoandikwa wizarani kuomba kuongezewa wakunga, angekagua kama wajawazito wanapewa pre-natal care sahihi and so forth; kwa kifupi pangechimbika.
Sina shaka kuna uzembe huko wa ndani based on bad working culture na Dorothy kaonyesha mara kadha kila alipokuwa akiamua kuwapiga audit ya papo kwa hapo iwe inventory control au process za mahabara.
Usicheze na Dorothy kuna siku walitaka kumuongopea dawa hakuna akawaambia subirini mnanisikia tu hamnijui aliwaanzia kwenye order ya dawa na kuanza kupiga audit hadi kwenye remaining stock halafu akawauliza mbona receipts za MSD, issues na inventory hazi match dawa mlizopewa zimeenda wapi. Mwisho anawaambia ‘now you see now you don’t ebu nielezeni dawa ziko wapi hiki sio kitendawili cha Schrödinger’s equation’ tells you she is deeper in quantum physics too (to appreciate her sarcasm you need to understand particles behaviour).
Dorothy Gwajima is something else to appreciate her inabidi uwe na abc za health management.
Kuna siku tena akakuta wagonjwa wanacheleweshewa vipimo wakataka kumuongopea, haya subirini twende kazi akawapiga process audit hadi maabara wenye wakaomba msamaha.
Unataka kumfananisha Dorothy na Ummy; akili zako sio sawa. Ndio afya awamtaki Dorothy kwa sababu awawezi muongopea.
Namtaja tu Dorothy kama benchmark, kwa sababu alishatuonyeshaUmmy si alianzia viti maalumu, akaja ukwaa wa jimbo mjini.
Uwaziri alipewa kwa takrima tyuu.
That is a mockery!?Kiuhalisia ummy ana bahati tu ya kupendwa na watu ila kwenye utendaji wa kazi ni hamna kitu hospital nyingi za serikali huruma ni mbovu na dawa hata antibiotics hakuna.
Ila kuna siku ndo nilimuona ummy muigizaji maana walifanya maadhimisho ya siku ya malaria duniani kwenye kiwanda flani pale kibaha ( Cha viua wadudu) kama sijakosea wakati kile kiwanda kilikua hakifanyi kazi miaka 2 nyuma kilikua tayari kishafungwa na waliokota vijana mtaani wakapewa 5000 na t-shirt wavae kama wafanyakazi wa kile kiwanda.
Mtu yoyote anaweza kusema haya. Huu ni uzushi, JK hakuwa na uwezo wa kuinfluence maamuzi ya JPM, kila mtu anajua hilo hata hiyo Ummy anajua kuwa hakuna kosa angefanya kama kumuomba JK amlobby JPM. Acha wivu na husda kwa mwanamke mwenzio. Ukweli hakuna Waziri amewahi kuimudu hii sekta kama Ummy, anabebwa na utendaji wake, rekodi na takwimu ndizo zinazombeba. Aliondolewa hapo wote tunajua Chanjo ya UVIKO-19 ili doda, aliporudi mpk WHO walikubali wenyewe. Huyu mama hata kama hatumpendi tumpe maua yake akiwa hai, tusitake kumtoa kwa kashfa, tumuogope Mungu.
Kwa kuwa wee ulimtafuta binafsi na aliwasaidia ndo umtetee? Wenzako wanapigania maslahi ya umma, sio mtu m1 m1.Mimi ni shahidi wa kuwa huyu Shangazi anajitahidi sana sana kwenye kazi zake, labda tu kuna watu wanampiga vita kwa mambo yao. Huyu Shangazi hanijui, simjui, ila mwaka jana alitusaidia sana mimi na familia yangu. Mama yangu alikuwa anashida ya figo, tukamtafuta, alihakikisha tunapata msaada wa kipekee sana. Na wala hatujui, maskini ya Mungu.
Huduma ya afya Tanzania ni pana sana kusema umbebeshe lawama Waziri. Hii Wizara inahitaji efforts za watu wengi hasa Rais mwenyewe. Huku panahitaji budget kubwa sana, ila na sisi nchi ni maskini, na bado vipaumbele vya serikali havieleweki (kwa muda mrefu hatujaweka afya kama kipaumbele). Yeye kama waziri mwenye dhamana, kazi anaifanya sana tu.
Je wewe pia unalipwa kusema haya? Ufujaji wa fedha unaweza kuusema hapa na kuweka ushahidi (usiniambie MMM kasema). Wajawazito gani wanakufa? Maana takwimu zinaonyesha vifo vimeshuka toka 584 mwaka 2018 hadi vifo 104 kwa kila vizazi 100,000 mwaka 2022. Sekeseke la private hospital kuhusu nini? Umeniuliza swali, naomba nikujibu kwamba anaonewa sababu hayo anayosemwa nayo sio ya level ya Waziri, mathalani mtumishi amefanya malpractice Waziri anahusikaje? Mi nashauri muache chuki na kuendeshwa na mitandao, tutajikutabkila siku tunabadili baraza na kupoteza vision na consistency ya utendaji.
Ni wewe mwenyewe, sioni mtu yeyote maana sisi wengine ndiyo kwanza tunakusikia wewe unaongea haya.Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
Ummy yupi huyo ni mzuri wa sura, dogo umebalehe lini?Ummy ni mzuri Wa sura roho hadi matendo yake. Hakuna mwanamke bora Kama yeye kwa sasa .
MTU anayejitambua hawezi bisha hii
Angalio hiyo shingo yake yapingiri hatari mkuuUmmy yupi huyo ni mzuri wa sura, dogo umebalehe lini?
Mkisema Ummy anahujumiwa mnakosea. Mange hakuna pahala ameshambulia huduma za afya, ikiwemo wanaojifungua kulazwa chini. Mapungufu na dharura kama hizo za mgonjwa mmoja ama 2 kulazwa chini zinakubalika.Mhe Tindo nakuheshimu sana. Hebu tujadili bila hisia hapa. Kwa mfano hospitali ina vitanda 12 vya kulaza waliojifungua na kwa kipindi cha mwaka mzima vimekua vinatosha. Mara ghafla leo wamekuja wazazi 13, overflow ya mmoja, je kama wewe ndio daktari mtampa rufaa aende sehemu ingine au mtamhudumia? Hapo kosa la Waziri linakua ni lipi?