Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Ngoja uuguliwe ndio utajua ummy anafaa au hafai,hospitali zote zimeoza kuna madudu huko wanayofanyiwa watanzania yanasikitisha,fika hapo muhimbili tu uone wagonjwa walioruhusiwa lakini wamezuiwa kutokana na kutokua na pesa za matibabu,na halafu sasa hivi kuna mchezo kati ya wagonjwa 10 wanaofanyiwa upasuaji basi 8 watakosewa maksudi na wakikosewa upasuaji mwingine unalipa tena hata kama kosa lilikua la kwao,moi pale operesheni laki 3,ukikosewa mara 3 uwe na m 1.8,jamaa wanafanya masihara sana na maisha ya wenzao

Sikatai changamoto zipo ila sio za Ummy. Hao wafawidhi na viongozi wa huko na madaktari wanachukua hatua gani? Umesema hapo juu wanafanya upasuaji vibaya ili warudie wapate hela japo sina hakika, sasa hapa analaumiwaje Ummy na sio hao madaktari ndio wakuchukuliwa hatua?
 
😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Uliwahi kusema Kei inawabeba wengi.
Aibu yetu wanaume
 
😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Degree moja haijawai kuwa elimu ndogo ni elimu ya juu, Tanzania ibadilishe mfumo wa elimu wengi mnasoma ujinga; ungeandika ana uelewa /maarifa kidogo hapo ungeeleweka.
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.
Atakuelewa basi...hapa anakaza fuvu tu..... Aonekane mtetezi (chawa) ....ukweli anaujua hakuna kitu kigumu kama kudanganya nafsi yako....
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY.??
TUJADILI KWA HAKI!!
Wewe unae mtetea umetumwa na Ummy? Shida ya Watanzania ni wafupi wa kufikiri, hivi kuna mtu anaweza amtume Mange kumchafua Ummy? Kwamba akishatoka anauhakika Rais atamweka yeye kwenye wizara hiyo? Na je Magufuli alivyomtoa kwenye afya watu walihonga?

Shida yetu ni pale tunapochukulia mambo ya msingi ni siasa, umesikia namna mzazi alivyofariki Kabuku, Jana umeona familia ilivyopoteza mama na mtoto Shinyanga, na kesi zote zinageuzwa kwa kutetewa watoa huduma za afya,. Sina maslai yoyote ila binafsi Ummy ni disaster kwenye afya sawa na Mungai alivyofanya kwenye elimu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe unae mtetea umetumwa na Ummy? Shida ya Watanzania ni wafupi wa kufikiri, hivi kuna mtu anaweza amtume Mange kumchafua Ummy? Kwamba akishatoka anauhakika Rais atamweka yeye kwenye wizara hiyo? Na je Magufuli alivyomtoa kwenye afya watu walihonga?

Shida yetu ni pale tunapochukulia mambo ya msingi ni siasa, umesikia namna mzazi alivyofariki Kabuku, Jana umeona familia ilivyopoteza mama na mtoto Shinyanga, na kesi zote zinageuzwa kwa kutetewa watoa huduma za afya,. Sina maslai yoyote ila binafsi Ummy ni disaster kwenye afya sawa na Mungai alivyofanya kwenye elimu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Sasa kwenye hizo kesi ulizotaja Ummy anaingiaje? Yani daktari afanye uzembe huko kutokana na tamaa yake ya rushwa au kutofuata misingi ya maadili ya taaluma yake halafu aje kulaumiwa Waziri seriously? Shida yetu Watanzania tumeenda shule lakini hatujaelimika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent [emoji120][emoji2539]
Watu wanathamini Mbunye kuliko maendeleo ya nchi,alafu na sisi tunaamini kuna siku tutaendelea kiuchumi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mtu yoyote anaweza kusema haya. Huu ni uzushi, JK hakuwa na uwezo wa kuinfluence maamuzi ya JPM, kila mtu anajua hilo hata hiyo Ummy anajua kuwa hakuna kosa angefanya kama kumuomba JK amlobby JPM. Acha wivu na husda kwa mwanamke mwenzio. Ukweli hakuna Waziri amewahi kuimudu hii sekta kama Ummy, anabebwa na utendaji wake, rekodi na takwimu ndizo zinazombeba. Aliondolewa hapo wote tunajua Chanjo ya UVIKO-19 ili doda, aliporudi mpk WHO walikubali wenyewe. Huyu mama hata kama hatumpendi tumpe maua yake akiwa hai, tusitake kumtoa kwa kashfa, tumuogope Mungu.
JK kama alimshawishi JPM kumfanya Samia mgombea mwenza inashindikana vipi kumshawishi Ummy awe Waziri!
Kuna Wizara ukipwaya,unaonekana tu, kwenye Afya Ummy kapwaya sana na hasa kwenye Bima ya Afya ndiyo ovyo kabisa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY.??
TUJADILI KWA HAKI!!
Hana wa kumchafua hivi mlishaenda hospital za serikali kweli??? Aisee ile nimefika anaambiwa mlinzi anikague achukue simu nilisema sitoi simu na hanigusi mtu mwili wangu atakae nigusa nakufa nae na nikasema mpigieni Dr flani aje wakasema kumbe dharau sababu una mtu wako Dr akapigiwa akasema muacheni nayo tu hana shida huyo hawezi record nikajua kumbe simu watu wasi wa record aisee niliapa sitorudi tena wanangu walofata nikazaa private hospital huduma nzuri alikuwa anasema kuzaa ni bure ila ukienda hospital unalipa 80,000 kujifungua na kama hauna pesa unawekwa kizuizini mpaka upate pesa ya kukutoa na unapokaa hospital deni lazidi haya bima ya watoto imetolewa eti mpaka uwe shule hivi kuna watoto wanaumwa kama hawa watoto wachanga mpaka miaka 4-5 ambao kuanza shule ya msingi bado enzi za corona aliupiga mwingi ila sio kwasasa.
 
Back
Top Bottom