Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama ni mrembo si akasimamie miss Tanzania [emoji120]@afya na urembo wapi na wapi?mtu ashazoea kushinda anapaka Hina vidoleni na kucheza taarabu,na elimu,Tena sayansi wapi na wapi?

Ahhh atupishege,aende zake akacheze mdumange Tanga
Afya ni science,ni shule,ni performance,sio uganga Wala kupiga ramli[emoji120][emoji120][emoji2539]
Atupisheee
Apewe hata umatroni huko ikulu,siyo kucheza na afya za watanzania,inaumaa Sana kuongozwa na form foo felia aka vilaza[emoji120][emoji120][emoji120]

Anacheza na Afya za watanzania yeye ndio anatibu?
 
Mtu yoyote anaweza kusema haya. Huu ni uzushi, JK hakuwa na uwezo wa kuinfluence maamuzi ya JPM, kila mtu anajua hilo hata hiyo Ummy anajua kuwa hakuna kosa angefanya kama kumuomba JK amlobby JPM. Acha wivu na husda kwa mwanamke mwenzio. Ukweli hakuna Waziri amewahi kuimudu hii sekta kama Ummy, anabebwa na utendaji wake, rekodi na takwimu ndizo zinazombeba. Aliondolewa hapo wote tunajua Chanjo ya UVIKO-19 ili doda, aliporudi mpk WHO walikubali wenyewe. Huyu mama hata kama hatumpendi tumpe maua yake akiwa hai, tusitake kumtoa kwa kashfa, tumuogope Mungu.
Tuambieni basi nini kinajiri au kimejiri huko kwa mange na WA
 
We mpumbavuuu[emoji23][emoji23]
Mxiuuu huyo umy mayala katengeneza mfumo gani kenge wewe
Endelea kulamba masaburi mjalaana wewe mziiuuu
Maskin kibudu[emoji120]

Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa hasira tu lkn namba mnazisoma.
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY.??
TUJADILI KWA HAKI!!
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.
 
😂😂😂Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent 🙏👁️
Kumbe wewe ni demu
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.

Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
 
Tuache uchawa kwa maendeleo ya Taifa. Ummy hii wizara haimfai uwe unafuatilia post za MMM uone uchafu wa wizara yake. Kufuta bima za watoto hapa wamekosea sana kama wizara.

Pia FYI hakuna Bima iliyofutwa ni utaratibu wa kuchangia umebadilika kutokana na ustahimilivu wa mfuko. Ni suala ya sayansi inayohitaji upewe shule na wataalam ndio utaelewa sio wapiga kelele wa mtandaoni
 
Huyu alishindwa hata kabla hajaanza. Tatizo watanzania bar yetu ya kupima utendaji iko chini sana. Yani mtu akishafuatilia ishu mbili tatu za kwenye instagram anaonekana mtendaji. Give me a break, hizo sio kazi za Waziri, waziri anatakiwa atengeneze mifumo ya kusaidia hao watu na sio one man show. Zile za Gwajima ni stunts ambazo zilimsaidia wakati wa Chuma now kwa Samia haziwork.
Watanzania tulilaaniwa, kwa akili zetu kupata mabadiliko itatuchukua mud sana. Ummy ni worst minister hafai kuwa wizara ya Afya.
 
Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
Najua unalipwa kutetea maslahu yake lakini hafai kwenye wizara ya Afya, wizara yake inaongoza kwa ufujaji na upigaji wa pesa. Wanawake wenzake wajawazito wanakufa kwa kukosa matibabu, kuna sekeseke linaendelea na private hospitals. Haya ni machache tu yako madudu kibao.

Labda nikuulize Ummy anaonewa wapi? Tuanze kujadili
 
Najua unalipwa kutetea maslahu yake lakini hafai kwenye wizara ya Afya, wizara yake inaongoza kwa ufujaji na upigaji wa pesa. Wanawake wenzake wajawazito wanakufa kwa kukosa matibabu, kuna sekeseke linaendelea na private hospitals. Haya ni machache tu yako madudu kibao.

Labda nikuulize Ummy anaonewa wapi? Tuanze kujadili

Je wewe pia unalipwa kusema haya? Ufujaji wa fedha unaweza kuusema hapa na kuweka ushahidi (usiniambie MMM kasema). Wajawazito gani wanakufa? Maana takwimu zinaonyesha vifo vimeshuka toka 584 mwaka 2018 hadi vifo 104 kwa kila vizazi 100,000 mwaka 2022. Sekeseke la private hospital kuhusu nini? Umeniuliza swali, naomba nikujibu kwamba anaonewa sababu hayo anayosemwa nayo sio ya level ya Waziri, mathalani mtumishi amefanya malpractice Waziri anahusikaje? Mi nashauri muache chuki na kuendeshwa na mitandao, tutajikutabkila siku tunabadili baraza na kupoteza vision na consistency ya utendaji.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani

Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,

baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,

nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.

Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia

Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent [emoji120][emoji2539]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY.??
TUJADILI KWA HAKI!!

Huyo mtu/watu ni wewe na wenzako uliowaiita humu kupiga nao ramli....
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama ni mrembo si akasimamie miss Tanzania [emoji120]@afya na urembo wapi na wapi?mtu ashazoea kushinda anapaka Hina vidoleni na kucheza taarabu,na elimu,Tena sayansi wapi na wapi?

Ahhh atupishege,aende zake akacheze mdumange Tanga
Afya ni science,ni shule,ni performance,sio uganga Wala kupiga ramli[emoji120][emoji120][emoji2539]
Atupisheee
Apewe hata umatroni huko ikulu,siyo kucheza na afya za watanzania,inaumaa Sana kuongozwa na form foo felia aka vilaza[emoji120][emoji120][emoji120]
Kwani Ummy kitaaluma yeye ni nani? Mie huyu nimemjua baada ya kupata uwaziri, sikuwahi mjua hata,
 
Najua unalipwa kutetea maslahu yake lakini hafai kwenye wizara ya Afya, wizara yake inaongoza kwa ufujaji na upigaji wa pesa. Wanawake wenzake wajawazito wanakufa kwa kukosa matibabu, kuna sekeseke linaendelea na private hospitals. Haya ni machache tu yako madudu kibao.

Labda nikuulize Ummy anaonewa wapi? Tuanze kujadili
Kiukweli kuna wizara zinatakiwa kuwa na watu mahsusi wenye taaluma husika,
Wizara km Afya, Elimu, Nishati, etc
Sio za kuokoteza watu kabisaa.
 
Nadhani kuna watu wamenusa kuna mabadiliko ya baraza hivyo kama wanataka kuinfluence maamuzi fulani ya kumtoa Ummy. Hao kina Mange na Martin wanatumika kupush ajenda za watu. Kiukweli Ummy anajitahidi sana katika hii sekta, its one of the best Ministers wanaomsaidia Mhe Rais, ana weledi, very professional na ana passion ya anachokifanya. Hizi hoja wanazomchafua nazo sio za level ya Waziri, ni za kumalizwa huko chini kwenye CHMT na RHMTS's. Nashangaa sana kuona daktari amekuja kazini amelewa analaumiwa Waziri. CCM kuchafuana ni jadi yao, mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Ummy hapo Afya anatosha na kwasasa sioni kama kuna wa kumbadili.

Nawasilisha
Ngoja uuguliwe ndio utajua ummy anafaa au hafai,hospitali zote zimeoza kuna madudu huko wanayofanyiwa watanzania yanasikitisha,fika hapo muhimbili tu uone wagonjwa walioruhusiwa lakini wamezuiwa kutokana na kutokua na pesa za matibabu,na halafu sasa hivi kuna mchezo kati ya wagonjwa 10 wanaofanyiwa upasuaji basi 8 watakosewa maksudi na wakikosewa upasuaji mwingine unalipa tena hata kama kosa lilikua la kwao,moi pale operesheni laki 3,ukikosewa mara 3 uwe na m 1.8,jamaa wanafanya masihara sana na maisha ya wenzao
 
Back
Top Bottom