Bima ya Afya ya toto, kwanini kaifuta bila plan B.Kwanini anasema watoto wajiandikishie kupata Bima shule mpaka wafike 100 wakati anajua sera ya serikali ya Elimu mtoto anapawa ajiunge shule ya msingi akiwa na miaka 4,Je wale watoto wachanga mpaka miaka 3 wanatibiwa kwa mfumo upi?Hebu sema kosa moja la Ummy hapa.
Mlishika namba mbili kufanya nini?kwani nyungu haikusaidia kupambana na UVIKO-19?Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa hasira tu lkn namba mnazisoma.
Na Wazazi kulala Hospitali wawili kitanda kimoja ni uwongo?Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
Utaalamu upi wa kuua watu,unafutaje Bima ambayo ipo inaendelea kufanya kazi bila kuwa na Plan B?Pia FYI hakuna Bima iliyofutwa ni utaratibu wa kuchangia umebadilika kutokana na ustahimilivu wa mfuko. Ni suala ya sayansi inayohitaji upewe shule na wataalam ndio utaelewa sio wapiga kelele wa mtandaoni
Wewe nawe ni Mwehu,gari inayumba unasema siyo kosa la dereva bali ni la mmiliki wa gari!Sikatai changamoto zipo ila sio za Ummy. Hao wafawidhi na viongozi wa huko na madaktari wanachukua hatua gani? Umesema hapo juu wanafanya upasuaji vibaya ili warudie wapate hela japo sina hakika, sasa hapa analaumiwaje Ummy na sio hao madaktari ndio wakuchukuliwa hatua?
Nasikia yule Mkuu wa TISS enzi za JK Bwana Othman ndiyo anapenyeza watu wa Tanga kwao kupewa vyeo serikalini.Kiburi cha Ummy kina mizizi mirefu sana!Tanzania bado sana uwaziri koneksheni sasa kama sasa mwanafa unampaje uwaziri
Yule Chikoka dini ilimbeba.Kwanza Watanganyika wajue kwamba hakuna Mzanzibari anawapenda Watanganyika,wale watu ni wadini na wabaguzi sana na ndiyo maana ata sheria ya Ardhi kule visiwani, Watanganyika wametungiwa kuwa ni marufuku kumiliki Ardhi Zanzibar ila wao kumiliki Ardhi Tanganyika ruksa.Sasa Kuna watu wanamsifu Samia hapa wakati Mama anapeleka pesa kwao Zanzibar na wanaijenga Zanzibar kwa kasi kwelikweli,jiulize pesa wanatoa wapi wakati Bajeti yao kwa mwaka ni Bilioni 40 tu!Dr Babutale je,kuna yule mwigizaji Chikoka mkuu wa mkoa sijui wapi huko.
Nashindwa kuelewa hatuna watu wa kupewa uongozi tunabandika bandika tu
Si kwa ubaya watu watanga 80per ya watu wa tanga huwa wana iq ndogo sana angalia makamba .mwana fa .huwa ni watu wa ushirikina na fitinaNasikia yule Mkuu wa TISS enzi za JK Bwana Othman ndiyo anapenyeza watu wa Tanga kwao kupewa vyeo serikalini.Kiburi cha Ummy kina mizizi mirefu sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Yule Chikoka dini ilimbeba.Kwanza Watanganyika wajue kwamba hakuna Mzanzibari anawapenda Watanganyika,wale watu ni wadini na wabaguzi sana na ndiyo maana ata sheria ya Ardhi kule visiwani, Watanganyika wametungiwa kuwa ni marufuku kumiliki Ardhi Zanzibar ila wao kumiliki Ardhi Tanganyika ruksa.Sasa Kuna watu wanamsifu Samia hapa wakati Mama anapeleka pesa kwao Zanzibar na wanaijenga Zanzibar kwa kasi kwelikweli,jiulize pesa wanatoa wapi wakati Bajeti yao kwa mwaka ni Bilioni 40 tu!Dr Babutale je,kuna yule mwigizaji Chikoka mkuu wa mkoa sijui wapi huko.
Nashindwa kuelewa hatuna watu wa kupewa uongozi tunabandika bandika tu
Sidhani kama Mange au MMM wa twitter wanatumika ila Mange alipotoa zile posts za matatizo kwenye hospitali ya temeke na buzuruga mwanza kama sikosei.Mange sijui anatumika na nani aisee, ila waziri anajitahidi kujibu kila hoja inayoletwa kwake japo inakuja negative.
Kwa majungu na kuandika bila ustaha nawe ukiwa mwanamke kama ni kweli, basi ikos shida mahali either kwenye akili yako au malezi yako.πππHana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani
Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,
baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,
nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.
Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia
Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent πποΈ
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
. Ummy kuongoza hii wizara kwa sasa amepwaya sana, tofauti na kipindi cha magu.Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya. yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii. ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Si kwa ubaya watu watanga 80per ya watu wa tanga huwa wana iq ndogo sana angalia makamba .mwana fa .huwa ni watu wa ushirikina na fitinaNasikia yule Mkuu wa TISS enzi za JK Bwana Othman ndiyo anapenyeza watu wa Tanga kwao kupewa vyeo serikalini.Kiburi cha Ummy kina mizizi mirefu sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mimi wa tanga unachosema hakipo mbali na ukweli lakini kuhusu mapenzi na mapishi bila kuacha ulozi na uganga hiyo ni fani yetuSi kwa ubaya watu watanga 80per ya watu wa tanga huwa wana iq ndogo sana angalia makamba .mwana fa .huwa ni watu wa ushirikina na fitina