Hakika!!Mimi nimejifunza uvumilivu, kukabiliana na failures, dhihaka na kunyanyuka tena na kuanza upya.
Nimeamin katika kufanya kitu kidogo katika ubora mkubwa pale napokosa mafasi ya kufanya vitu vikubwa.
Nimeimarika katika kupenda kwa Akili na kujali familia kuliko kingine chochote.
“Siasa na Dini ni Biashara za watu, Tutafute hela tu"
Hangaya ni Bingwa!Tulimuamini sana Hangaya.
Tugawane hayo mafanikio.Huu mwaka umenifanya niamini kila kitu kinawezekana... nimefanya mambo makubwa ambayo kwa umri wangu sikudhani kama naweza kufanya....Mafanikio ya kila mtu yapo mikononi mwake kwakweli, ni suala la kumwomba Mungu na kuamua kufanya
Yeah ni kweli.. wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaidi, tuendelee kupambana👊👊Tugawane hayo mafanikio.
Kwangu naona kama sijafanya makubwa , Malengo hayajatimia kwa 60%. Najipa moyo mda bado upo? NAAMINI MUNGU ANAWEZA KUTOA HATA KAMA YAMEBAKI MASAA KUMALIZA MWAKA.
Namba NNE nakazia na superglue1.Ukitaka kufanikiwa katika jambo lolote jitihada ni jambo la muhimu...
2.Mungu ni mwema jana,Leo na hata kesho tumtumaini katika kila jambo
3.Ukijenga dhana ya kufanya mambo kwa budget unatoboa
4.Tumia akili katika swala la mahusiano na siyo hisia
Mjinga sana wewe, niache huko.Oh! Nimekuibia maneno yako nini? Pole sana, wakati mwingine itakuwa ni zamu yako huwezi jua. Lol
Ova
Nami nimejifunza kwamba yeyote anaweza kubadilika haijalishiUsimuamini yoyote hata kama ni mtu wako wa karibu saana
Dah kumbe niitupe tu hii ilizini suala la kumwomba Mungu
Tena uchome moto kabisa 😃😃Dah kumbe niitupe tu hii ilizi
HakikaMtu akikuomba chakula mpatie kama unacho, njaa ni kitu kibaya sana, heshimu fedha hata kama ni ndogo kiasi gani,. Mtu akikuomba msaada kama unaweza kumsaidia msaidie, USIMJUDGE, kama anadanganya hiyo ni juu yake.
Mfanye Mungu wako kuwa wa kwanza kwenye kila utendalo, INALIPA.
Watu wengi wako karibu na wewe kwa sababu kuna namna wanafaidishwa na vitu fulani kutoka kwako, vikiondoka HUTOWAONA, jipange kisaikolojia na wala ISIKUUMIZE.
Familia ni kila kitu kwenye maisha, Asante 2023.
Naunga mkono hojaNimejifunza uvumilivu ni jambo la muhimu kwenye maisha pia utulivu una majibu mazuri sana