Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
- Thread starter
- #21
Kufa siyo kitu cha hovyo, kila nafsi itaonja umauti after all.Jamaa lilikuwa la hovyo sana, ndiyo maana likaweka rekodi ya hovyo ya Rais kufia madarakani
Tukiishi, twaishi kwa Bwana.
Tukifa, twafa kwa Bwana.
Kwahiyo tukiishi ama tukifa, sisi tu mali ya Bwana.