Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Hapa Mtume Paul anamuombea Onesefori aliyekwishafariki. 18 Bwana na ampe kuona rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.
2 Timotheo 1:18

Hakuna mstari unaokataza kuombea aliyelala mauti. Ndio maana Yesu mwenyewe anasema upo msamaha ulimwengu ujao! Hili unapaswa kusoma kwa mapana ujue ni msamaha wa namna gani ( usikurupuke) ....32 Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
Mathayo 12:32
Nyie jamaa wajinga sana, propaganda za warumi zimewaingia hadi kwenye dna, hakuna cha Paul, Timotheo, Yesu, wala upuuzi wa aina hiyo! Acheni ujinga
 
yesu aliita "lazaro njoo/toka nje ya kaburi"akatoka. hapo ni kuombea wafu? kwa hiyo na ninyi mnaenda kumfufua jpm, ili tuandae sherehe za kumpokea?
Sasa Yesu alimfufua Lazaro bila kumuombea?
 
Sasa Yesu alimfufua Lazaro bila kumuombea?
hakika yake hakumwombea, alimwita atoke kaburini, tena aliita kwa sauti. alipofika tu pale kwenye kaburi alielekeza jiwe litolewe kwenye mlango wa kaburi, akaita kwa sauti lazoro toka nje, akatoka ali mzima. hakumwombea. kama msomaji wa Bible hautaendelea kubishia jambo hili.
 
Mchawi tulishamzika, aliwatesa sana wana wa Mungu wasio na hatia, Ilibidi tu aondoke, kulikuwa hakuna namna. Unajisikiaje sasa watanzania wanaifurahia nchi yao? Haijalishi upo upinzani au CCM, now kil a mtu anatabasamu. Hivi wale wasiojulikana walienda wapi? since jamaa kafa hatuwasikii tena wakiua/kuteka watu
Unatumia kipimo kipi ku-quantify na ku-qualify furaha ya Watanzania?
 
ndio, kwasababu nafafanuliwa na Roho Mtakatifu. ninyi mnasoma seminary hadi vyuo lakini mnasoma kama masomo mengine tu na Roho Mtakatifu hahusiki, hamna Mungu ndio maana hata mapepo mnayaogopa. nikupe mfano huu, ili uamue dini ya kweli ni ipi.

Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani alipita akihubiri, akitoa pepo na kuponya wagonjwa. akasema, "mtu aniaminiye mimi kazi nizifanyazo atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi". baada tu ya kupaa na Roho Mtakatifu kuwashukia wanafunzi wake, walianza kuhubiri na walifanya kazi zoote alizozifanya Yesu za kuponya wagonjwa kutoa pepo, kufufua wafu n.k. hadi leo wapo watu wa Mungu wanaotoa pepo, wanafukuza mashetani, wanaponya wagonjwa na kufufua wafu n.k, wananena kwa lugha.

lakini wakatoliki pamoja na kusoma dini sana, hawana nguvu ya Mungu kutoa pepo hata kinyamkera tu, hawajazwi Roho Mtakatifu. ulishawahi kuona padri hata askofu tu ameombea mtu akatoka pepo? hata papa tu uliwahi kusikia ameweka mikono juu ya mgonjwa akapata afya? kuwa mkweli, wapi uliwahi kuona? je? dini halisi ambayo ndiyo Yesu alielekeza ile watu wanaongozwa na Roho Mtakatifu wakanena ka Lugha mpya na kuweka mikono juu ya wagonjwa wapate afya, ni ipi? ya wakatoliki?
Kama mnafufua wafu kwanini sasa msiende mortuary kuwafufua? Mbona mnakufa? Si mfufuane tu?
 
Hapa Mtume Paul anamuombea Onesefori aliyekwishafariki. 18 Bwana na ampe kuona rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.
2 Timotheo 1:18

Hakuna mstari unaokataza kuombea aliyelala mauti. Ndio maana Yesu mwenyewe anasema upo msamaha ulimwengu ujao! Hili unapaswa kusoma kwa mapana ujue ni msamaha wa namna gani ( usikurupuke) ....32 Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
Mathayo 12:32
huo mstari umeweka 2timoth 1:18 unaongelea mtu ambaye hajafa, ni mzima ila aliwahi kumsaidia Paulo.
 
ndio, kwasababu nafafanuliwa na Roho Mtakatifu. ninyi mnasoma seminary hadi vyuo lakini mnasoma kama masomo mengine tu na Roho Mtakatifu hahusiki, hamna Mungu ndio maana hata mapepo mnayaogopa. nikupe mfano huu, ili uamue dini ya kweli ni ipi.

Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani alipita akihubiri, akitoa pepo na kuponya wagonjwa. akasema, "mtu aniaminiye mimi kazi nizifanyazo atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi". baada tu ya kupaa na Roho Mtakatifu kuwashukia wanafunzi wake, walianza kuhubiri na walifanya kazi zoote alizozifanya Yesu za kuponya wagonjwa kutoa pepo, kufufua wafu n.k. hadi leo wapo watu wa Mungu wanaotoa pepo, wanafukuza mashetani, wanaponya wagonjwa na kufufua wafu n.k, wananena kwa lugha.

lakini wakatoliki pamoja na kusoma dini sana, hawana nguvu ya Mungu kutoa pepo hata kinyamkera tu, hawajazwi Roho Mtakatifu. ulishawahi kuona padri hata askofu tu ameombea mtu akatoka pepo? hata papa tu uliwahi kusikia ameweka mikono juu ya mgonjwa akapata afya? kuwa mkweli, wapi uliwahi kuona? je? dini halisi ambayo ndiyo Yesu alielekeza ile watu wanaongozwa na Roho Mtakatifu wakanena ka Lugha mpya na kuweka mikono juu ya wagonjwa wapate afya, ni ipi? ya wakatoliki?
Unajua ni kwanini Yesu alipotoa mapepo au kutenda miujiza aliwakataza wasitangaze?
 
Kama mnafufua wafu kwanini sasa msiende mortuary kuwafufua? Mbona mnakufa? Si mfufuane tu?
hata Yesu hakufufua wote mzee, siku zile walikuwa wanakufa pia na wapo ambao hawakufufuka. kwa kusema hivyo manaake hauamini kama wafu wanaweza kufufuka kwa Jina la Yesu, ndio maana tunasema muokoke ili mbadilishwe maisha na Yesu.
 
hahaha, pole sana. hivyo vitabu ni disputable hadi leo hii, ndio maana hata Yesu Kristo hakuelekeza hivyo, wala mitume hawakuelekeza hivyo, hata dini ya kiyahudi tu ambayo hawamwamini Yesu ila agano la kale, hawaamini icho kitu. Roho Mtakatifu hakitambui hicho kitabu ndio maana hajawahi kuelekeza watu wafanya hivyo. endelea kupoteza muda kuombea wafu.
Roho Mtakatifu ni wenu peke yenu?
 
Unajua ni kwanini Yesu alipotoa mapepo au kutenda miujiza aliwakataza wasitangaze?
kwahio kuna padri au askofu yeyote anatoa pepo siku hizi na kuwaambia watu wasitangaze/huwa hawatangazi inaenda kimyakimya? hata pepo kichanga tu hawana nguvu ya kumtoa kwasababu inahitaji Nguvu za Mungu kutoa pepo/shetani, na mapadre wala maaskofu hawana nguvu za Mungu.
 
Tuoneshe.
1647034462720.png
 
Usiwafananishe Machinga, Samia na hiyo mijambazi iliyokuwa inalindwa na jiwe
Hakuna Watanzania wema ambao hawakulindwa na Magufuli. Ni nyie mafisadi tu na majizi ambao aliwabana.
 
K
Pole sana mkuu,
Unatakiwa ku-move on.

Karibu Jumapili ya tarehe 20 Machi tumuombee Rais wetu bora kabisa wa wakati wote pale Kawekamo, Mwanza.
Kamuombeeni sana atoke Jehanamu , ila sijui ni Mungu gani anasamehe wauwaji wakubwa kama yeye
 
Roho Mtakatifu ni wenu peke yenu?
ni wa kila anayemwomba Mungu. haya kila aonaye kitu na aje ateke maji ya uzima bure..hapo aliongea akimaanisha Roho Mtakatifu atakayewashukia waamini baada ya yeye kupaa. nitajie padre au sista au askofu mmoja tu aliyejazwa Roho Mtakatifu. hakuna. sas amnaabudu nini? wakati Roho Mtakatifu anayeliongoza kanisa hayupo pamoja na nyi?
 
Unatumia kipimo kipi ku-quantify na ku-qualify furaha ya Watanzania?
Wewe huoni watu walivyo huru sasa? Wanatamba kwenye nchi yao bila hofu ya kutumbukizwa kwenye Noah nyeusi! Muulize Melo kwanza anajisikiaje kwa sasa baada ya jambazi kukata roho
 
Back
Top Bottom