Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Sijawahi kumuelewa wala kumuona kama mnavyomuona nyinyi huyo jamaa anaitwa magufuri labda kwa sababu alikuwa boss wangu niliweza kuona mengi yaliyopo moyoni mwake na nyie mkaona ya kwenye kioo cha Tv zenu
Wema haufichiki, tuliuona waziwazi kupitia matendo yake. Alikuwa mzalendo wa kweli.
 
Lazaro alikuwa hai wakati anafufuliwa?

Lazaro hakuombewa, maombi/sala ni nini?
yesu aliita "lazaro njoo/toka nje ya kaburi"akatoka. hapo ni kuombea wafu? kwa hiyo na ninyi mnaenda kumfufua jpm, ili tuandae sherehe za kumpokea?
 
Sijawahi kumuelewa wala kumuona kama mnavyomuona nyinyi huyo jamaa anaitwa magufuri labda kwa sababu alikuwa boss wangu niliweza kuona mengi yaliyopo moyoni mwake na nyie mkaona ya kwenye kioo cha Tv zenu
Jiwe ana roho mbaya ya kuzaliwa, nina imani asilimia 80 siyo Mtanzania. Aliwahi kufanya kazi na Baba yangu mzazi na ndiyo sehemu ya kwanza kumjua, jamaa alikuwa katili sana wakati kiasili wasukuma hawako hivyo. Let his soul rest in hell.
 
Watanzania mafisadi walishangilia. Watanzania wazalendo (na ambao tupo wengi - majority) tuliumizwa sana na kifo chake.
Hahaha, Wazalendo kama Bashite na Sabaya eti eh? Ambao aliwalinda kwa nguvu zote ili waendelee kuwatesa watanzania wasio na hatia
 
simchukii jpm, wala simhukumu. ila kuhusu kuombea, ni chukizo kwa Mungu, baada ya kifo ni hukumu hakuna kutengeneza maisha. hakuna mstari kwenye Biblia unasema tuombee wafu. hata ukisema RIP mtu kama hakuishi maisha matakatifu huwezi kumtakasa akiwa ameshakufa, yeye ndio anatakiwa kutubu kwa Mungu angali hai asamehewe, ni kitu kati ya Mungu na mtu, na sio watu waende kumuombea mtu kwa Mungu, the only advocate we still have is Jesus, naye anasimama kama daraja kati yetu sisi na Mungu kwamba tukitenda dhambi tupitie kwake ili Mungu atusamehe kwasababu yeye alimwaga damu kwa ajili ya hilo. ila sisi wanadamu tukiombea mfu tunapoteza muda na ni chukizo kwa Mungu.
Kasome vizuri Biblia. You are too naive.
 
simchukii jpm, wala simhukumu. ila kuhusu kuombea, ni chukizo kwa Mungu, baada ya kifo ni hukumu hakuna kutengeneza maisha. hakuna mstari kwenye Biblia unasema tuombee wafu. hata ukisema RIP mtu kama hakuishi maisha matakatifu huwezi kumtakasa akiwa ameshakufa, yeye ndio anatakiwa kutubu kwa Mungu angali hai asamehewe, ni kitu kati ya Mungu na mtu, na sio watu waende kumuombea mtu kwa Mungu, the only advocate we still have is Jesus, naye anasimama kama daraja kati yetu sisi na Mungu kwamba tukitenda dhambi tupitie kwake ili Mungu atusamehe kwasababu yeye alimwaga damu kwa ajili ya hilo. ila sisi wanadamu tukiombea mfu tunapoteza muda na ni chukizo kwa Mungu.
17.03.2021 inakumbukwa kwa mengi wengine wanashangilia wengine Wana huzunika.
 
Yesu hakumwombea Lazaro, alimfufua. hakuna sehemu hata moja kwenye Biblia Yesu anaombea mfu yeyote, wala mitume hawajawahi kufanya hivyo. ni kanisa katoliki tu ndio linafanya hivyo.
Hapa Mtume Paul anamuombea Onesefori aliyekwishafariki. 18 Bwana na ampe kuona rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.
2 Timotheo 1:18

Hakuna mstari unaokataza kuombea aliyelala mauti. Ndio maana Yesu mwenyewe anasema upo msamaha ulimwengu ujao! Hili unapaswa kusoma kwa mapana ujue ni msamaha wa namna gani ( usikurupuke) ....32 Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
Mathayo 12:32
 
wewe unayeelewa weka mstari hata mmoja tu unaosema tuombee wafu.

Screenshot_20220312-002307_Chrome.jpg
 
Hongera sana mkuu. Umefuzu daraja la juu kabisa la uchawi.
Mchawi tulishamzika, aliwatesa sana wana wa Mungu wasio na hatia, Ilibidi tu aondoke, kulikuwa hakuna namna. Unajisikiaje sasa watanzania wanaifurahia nchi yao? Haijalishi upo upinzani au CCM, now kil a mtu anatabasamu. Hivi wale wasiojulikana walienda wapi? since jamaa kafa hatuwasikii tena wakiua/kuteka watu
 
Kwamba unaijua Biblia kuliko Wakatoliki. 😁
ndio, kwasababu nafafanuliwa na Roho Mtakatifu. ninyi mnasoma seminary hadi vyuo lakini mnasoma kama masomo mengine tu na Roho Mtakatifu hahusiki, hamna Mungu ndio maana hata mapepo mnayaogopa. nikupe mfano huu, ili uamue dini ya kweli ni ipi.

Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani alipita akihubiri, akitoa pepo na kuponya wagonjwa. akasema, "mtu aniaminiye mimi kazi nizifanyazo atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi". baada tu ya kupaa na Roho Mtakatifu kuwashukia wanafunzi wake, walianza kuhubiri na walifanya kazi zoote alizozifanya Yesu za kuponya wagonjwa kutoa pepo, kufufua wafu n.k. hadi leo wapo watu wa Mungu wanaotoa pepo, wanafukuza mashetani, wanaponya wagonjwa na kufufua wafu n.k, wananena kwa lugha.

lakini wakatoliki pamoja na kusoma dini sana, hawana nguvu ya Mungu kutoa pepo hata kinyamkera tu, hawajazwi Roho Mtakatifu. ulishawahi kuona padri hata askofu tu ameombea mtu akatoka pepo? hata papa tu uliwahi kusikia ameweka mikono juu ya mgonjwa akapata afya? kuwa mkweli, wapi uliwahi kuona? je? dini halisi ambayo ndiyo Yesu alielekeza ile watu wanaongozwa na Roho Mtakatifu wakanena ka Lugha mpya na kuweka mikono juu ya wagonjwa wapate afya, ni ipi? ya wakatoliki?
 
yesu aliita "lazaro njoo/toka nje ya kaburi"akatoka. hapo ni kuombea wafu? kwa hiyo na ninyi mnaenda kumfufua jpm, ili tuandae sherehe za kumpokea?
Sala ni nini?

Kufufuliwa ni nini?
 
Hahaha, Wazalendo kama Bashite na Sabaya eti eh? Ambao aliwalinda kwa nguvu zote ili waendelee kuwatesa watanzania wasio na hatia
Sabaya, Makonda, Samia, Machinga, na wengineo wote ni Watanzania.
 
hahaha, pole sana. hivyo vitabu ni disputable hadi leo hii, ndio maana hata Yesu Kristo hakuelekeza hivyo, wala mitume hawakuelekeza hivyo, hata dini ya kiyahudi tu ambayo hawamwamini Yesu ila agano la kale, hawaamini icho kitu. Roho Mtakatifu hakitambui hicho kitabu ndio maana hajawahi kuelekeza watu wafanya hivyo. endelea kupoteza muda kuombea wafu.
 
Back
Top Bottom