Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuri alikuwa katili kwa majizi na mafisadi na wezembe,inaoneka baba yako alikuwa miongoni mwao.Jiwe ana roho mbaya ya kuzaliwa, nina imani asilimia 80 siyo Mtanzania. Aliwahi kufanya kazi na Baba yangu mzazi na ndiyo sehemu ya kwanza kumjua, jamaa alikuwa katili sana wakati kiasili wasukuma hawako hivyo. Let his soul rest in hell.
Lissu alikuwa msaliti wa nchi alikuwa anashilikiana na wezi walituibia kuwatetea,msaliti ana adhabu hata shetani alipomsaliti muumba (Mungu)alimtimua huko mbinguni, Kwanza Lissu anabahati alistahili kufa kabisa,hata hivo hawezi rudia tena hiyo kazi ya kulisaliti tena taifa lake,likiwa kwenye mapambanoHuyu Mchungaji/Padri/Askofu ni mnafiki mkubwa, ndiyo maana haya madini huwa naona ni utapeli mtupu!! Magufuli alidumisha amani gani? Kumtandika risasi Lissu?
Tanzania ni utawala upi ambao uliachia democrasia ikatawala kuanzia kwa Mkapa hadi Magufuri? kipindi cha Mkapa kilizalisha hadi wakimbizi,watu mpaka walikufa hapo Zanzibar,kwa Kikwete mpaka upinzani ulisusa kuwa haumtabuhi Kikwete,mpaka kutoka bungeni, kipindi cha Magufuri nikipi kipya ambacho kilitokea ambacho hakikuwahi kutokea?Alinajisi demokrasia ktk chaguzi za 2019 &2020.
Watu wengi waliumizwa na 'wasiojulikana' wakati wa utawala wake.
Alionyesha ubaguzi wa kikanda dhahiri, eg kubomoa nyumba za wachaga kimara na kuacha za wasukuma mwanza, kupeleka mirafi lukuki chato.
Ubaguzi wa kiitikadi- alisema waliochagua wapinzani wasahau maendeleo.
Etc etc.
Baki na imani yako sio lazima usadiki hayoYaani marehemu anaombewa ??? Unamuomba marehemu apumzike pema mbinguni?? Hahah dah hiyo pema peponi inatafutwa ukiwa hai bado unaishi ndio unaitafuta pema peponi yako, labda ukiwa mahututi kabla hujakata roho unaweza ukaombewa pema peponi Ila umeshakufa ndo unaanza kuombewa pema peponi jamani,hizi NI ibada za kujifurahisha na kujifariji tu sisi wanadamu.
Baki na Imani yako wawe kiumbe.Yaani marehemu anaombewa ??? Unamuomba marehemu apumzike pema mbinguni?? Hahah dah hiyo pema peponi inatafutwa ukiwa hai bado unaishi ndio unaitafuta pema peponi yako, labda ukiwa mahututi kabla hujakata roho unaweza ukaombewa pema peponi Ila umeshakufa ndo unaanza kuombewa pema peponi jamani,hizi NI ibada za kujifurahisha na kujifariji tu sisi wanadamu.
Ukitudharau tunapungukiwa nini ama heshima yako ina faida gani kwetu Sukuma Gang?Ona ulivyo pario. Vichwa panzi kwasababu hawakua presidents? Najuaga wewe ni mjinga ila sikujua ni kwa kiwango hiki. Jamiiforums na uma wake tumezidi kukudhara wewe sukuma gang
Hebu ishi maisha katika uhalisia wake... Achana na ndoto za alinacha.Naona Lisu yupo on top of your mind. Safi, kama tu mwendakuzimu wako alivyokua anamuogopa na wewe unamuogopa. Hili ni jambo zuri.
Endelea kujiabisha pimbimaji mdogo wewe. Endelea kusema watu wengine ni bora kuliko wengine kwasababu tu walikua viongozi.
Nimekudharau sana, ptuuu mate usoni
Wewe inakuuma nini Wakatoliki tukienda motoni?Ukweli kabisa huu.
The so called kanisa la mitume watapinga ili waendelee kuhamasishana kutenda dhambi. Meaning wasiogope kutenda dhambi maana hata wakifa dhambini wataweza kuombewa dhambi zao zisamehewe wakiwa wameshakufa.
Tufike mahala hawa jamaa waanze kutumia akili sio huu utoto
Unaongea kwa kujiamini sana na huenda upo well informed. Hebu tuthibitishie unachokituhumu.Magufuli alikuwa mtu mwovu muuwaji katili asiyejali maisha ya watu wake aliwadanganya watanzania maskini kwamba yeye ni mtetezi wa wanyonge lakini kiuhalisia alikuwa jambazi katili na asiyefwata sheria.
Ulishawahi kufa ukakutana na hiki unachotueleza?Yaani marehemu anaombewa ??? Unamuomba marehemu apumzike pema mbinguni?? Hahah dah hiyo pema peponi inatafutwa ukiwa hai bado unaishi ndio unaitafuta pema peponi yako, labda ukiwa mahututi kabla hujakata roho unaweza ukaombewa pema peponi Ila umeshakufa ndo unaanza kuombewa pema peponi jamani,hizi NI ibada za kujifurahisha na kujifariji tu sisi wanadamu.