mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Ni upumbavu mkubwa kuingilia kile watu wengine wanachoamin...FUATA YAKO ,FUATA IMAN YAKOkuombea/ibaza za wafu ni chukizo kwa Mungu. baada ya kifo ni hukumu, hata uombe namna gani mtu aliyekufa kama hakutengeneza maisha yake kabla ya kufa huwezi kumtakasa. acheni kupoteza watu, acheni ibada za wafu. kanisa katoliki lina imani ya kupeleka watu motoni moja kwa moja.