Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Wata
Sihusishi wabadhirifu, mafisadi na vibaraka wa mabeberu kama wewe na familia yako.

Watanzania wengi ni sisi Wazalendo na tunaopambana kupata ujira kwa njia halali.

Na bado, Magufuli anaendelea kuwanyoosha hata katika umauti wake.
Watanzania wengi wapi labda wewe na mama yako na mme wako.
 
Usimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.
Kweli wewe ni lishe ya inzi(mavi) ndo maana unashinda chooni
 
Hata wewe umefaidika
1)hospital
2)mashule na madawati
3) elimu bure
4)alitoa vehicle na stiker za nenda kwa usalama
5)machinga na mama lishe
6)mbolea bei chini
7)SGR
8)bwawa la nyerere ambalo linapigwa zengwe
9)na mengine ongezea mwenyewe
Unahangaika na wapigaji, mafisadi na vibaraka wa mabeberu.

Wanahangaika sana kumchafua Magufuli unknowing Magufuli ndiyo kipenzi chetu hata katika umauti wake.

Na bado; watateseka sana.
 
JPM alikuwa kidume kwelikweli waliojifanya wajanja walipoteana mjini.hakuna aliyekohoa.leo hayupo wameaza kujifanya ndo miamba na kurura kila kona
 
JPM alikuwa kidume kwelikweli waliojifanya wajanja walipoteana mjini.hakuna aliyekohoa.leo hayupo wameaza kujifanya ndo miamba na kurura kila kona
Hata sasa wakisikia jina lake wanaweweseka.

Hakika JPM aliwanyoosha kwelikweli. 😁
 
TTu

Tutamkumbuka kwa kuiba kura kwenye uchaguzi wa 2025 na ule wa mitaa 2024. Ccm ilishinda kwa 99% ha ha ha ha ila Mungu fundi. Tarehe 17 3 tutakula bia kama zote.
Ukisusa wenzio twala sheikh.
 
Unauumiza moyo wangu mkuu juu ya huyu mwanadamu niliyetokea kumpenda na kumkubali kauli yako ni kauli yangu
Nimeondokewa na ndugu zangu wengi sijawahi kuota kama wataondoka huyu mwamba niliota ameondoka
niliamka nikahuzunika sana lakin nikasema hii haitakuwa kwel na kumuomba Mungu isiwe kweli hiyo ni siku chache
tu baada ya kifo cha kijazi kabla ya rumours za twitter.
Usiku wa trh 17 mtu amabye nilikuwa nampasha habari za Magufuli ambaye ni jirani yangu akanifuata nyumbani kuniambia
Magufuli ameondoka ndipo nilpoikumbuka ile ndoto na nikasema jina la bwana lihimidiwe amina.
Licha ya kufiwa na wapendwa wengi ikiwemo ndugu wa karibu wenye mchango wa moja kwa moja kwenye furaha yangu ni kiri
kwamba Magufuri ameniuma kuliko mtu mwingine yeyote.
Huwa nakumbuka kauli yake moja akisema yeye ni yohana mbatizaji amekuja kuandaa njia yupo anaekuja naamini punde aliyetabiriwa na Magufuri
atakuja tena kutuoa utumwani na kutupeleka kanani.
 
TTu

Tutamkumbuka kwa kuiba kura kwenye uchaguzi wa 2025 na ule wa mitaa 2024. Ccm ilishinda kwa 99% ha ha ha ha ila Mungu fundi. Tarehe 17 3 tutakula bia kama zote.
Mimi nitamkumbuka kwa ushindi wa kishindo wa 2019 na 2020.
Huo mwaka utakuwa timetraveller kuuona uchaguzi wake
pengine Magufuli atakuwa amefufuka tena 2024.
 
Back
Top Bottom