Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wengi wapi labda wewe na mama yako na mme wako.Sihusishi wabadhirifu, mafisadi na vibaraka wa mabeberu kama wewe na familia yako.
Watanzania wengi ni sisi Wazalendo na tunaopambana kupata ujira kwa njia halali.
Na bado, Magufuli anaendelea kuwanyoosha hata katika umauti wake.
Kweli wewe ni lishe ya inzi(mavi) ndo maana unashinda chooniUsimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.
Unahangaika na wapigaji, mafisadi na vibaraka wa mabeberu.Hata wewe umefaidika
1)hospital
2)mashule na madawati
3) elimu bure
4)alitoa vehicle na stiker za nenda kwa usalama
5)machinga na mama lishe
6)mbolea bei chini
7)SGR
8)bwawa la nyerere ambalo linapigwa zengwe
9)na mengine ongezea mwenyewe
Unauumiza moyo wangu mkuu juu ya huyu mwanadamu niliyetokea kumpenda na kumkubali kauli yako ni kauli yanguNitahudhuria hiyo misa muhimu! Sisi wengine hatuishi nyakati, tunaishi tulichoamini na gharama zake. Rest in peace chuma JPM [emoji123]
Magufuli ni shujaa wa wakati wote(zama zote)Mwanga wa milele umuangazie eeh bwana apumzike kwa amani shujaa huyu wa zama hizi
Vizazi na vizazi vitamkumbuka ambaye hataki anywe sumu.Ni bahati iliyoje! Ashukuriwe Mungu.
Tutamkumbuka kwa kuiba kura kwenye uchaguzi wa 2025 na ule wa mitaa 2024. Ccm ilishinda kwa 99% ha ha ha ha ila Mungu fundi. Tarehe 17 3 tutakula bia kama zote.Vizazi na vizazi vitamkumbuka ambaye hataki anywe sumu.
Hata sasa wakisikia jina lake wanaweweseka.JPM alikuwa kidume kwelikweli waliojifanya wajanja walipoteana mjini.hakuna aliyekohoa.leo hayupo wameaza kujifanya ndo miamba na kurura kila kona
Nimeondokewa na ndugu zangu wengi sijawahi kuota kama wataondoka huyu mwamba niliota ameondokaUnauumiza moyo wangu mkuu juu ya huyu mwanadamu niliyetokea kumpenda na kumkubali kauli yako ni kauli yangu
Hao hawana mda mrefu wataondoka wacha wale usiku na mchana kwa sababu mda wao unahesabika.Tuendelee kuwa #kataawahuni
Mimi nitamkumbuka kwa ushindi wa kishindo wa 2019 na 2020.TTu
Tutamkumbuka kwa kuiba kura kwenye uchaguzi wa 2025 na ule wa mitaa 2024. Ccm ilishinda kwa 99% ha ha ha ha ila Mungu fundi. Tarehe 17 3 tutakula bia kama zote.