Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Aliuwa magaidi ambao walikuwa wanauwa wezao waliobaki wakakimbilia msumbiji nako wakapata cha moto
 
Watanzania mafisadi walishangilia. Watanzania wazalendo (na ambao tupo wengi - majority) tuliumizwa sana na kifo chake.
Mtu mwema au muovu hujionyesha tangu akiwa mtoto hajitokezi tu ukubwani. Watu waliomkuza na waliokua naye watamjua vizuri kuliko waliomsikia tu. Wengi wanamtuza ni wale waliomskia tu akiwa raisi pengine na waziri.
Raingi waliyompaka haichuji haraka...
 
Wanaenda kinafiki tu ila mioyo yao haiko hapo na believe me Mungu alie hai atadhihirisha imagine alitaka kumuua lisu kwa kumpiga risasi 36 na kama haitoshi akakataa watu wasimuombee Mungu alivyofundi akaliuwa lenyewe kabla ya lisu leo mnaliombea jitu liko motoni.
Wakienda kinafiki wewe inakuuma nini? Na wewe nenda.
 
Anayepanga umri wa kuishi ni Mungu kwa makusudi yake na malengo yake.General msuguri ana miaka 102 na sasa lakini aliongoza vita ya uganda na alichanja watu sana kule kakini bado anaishi hadi leo.uwe mwenye dhambi au mkamilifu wote ni wa Mungu tumeumbwa kwa mfano wake
Wao hawatakufa? Kama wanaokufa ni wauaji basi na wao ni wauaji maana sote tutakufa.
 
Mtu mwema au muovu hujionyesha tangu akiwa mtoto hajitokezi tu ukubwani. Watu waliomkuza na waliokua naye watamjua vizuri kuliko waliomsikia tu. Wengi wanamtuza ni wale waliomskia tu akiwa raisi pengine na waziri.
Raingi waliyompaka haichuji haraka...
Unatuletea hearsay hapa, weka facts mkuu.
 
Anayepanga umri wa kuishi ni Mungu kwa makusudi yake na malengo yake.General msuguri ana miaka 102 na sasa lakini aliongoza vita ya uganda na alichanja watu sana kule kakini bado anaishi hadi leo.uwe mwenye dhambi au mkamilifu wote ni wa Mungu tumeumbwa kwa mfano wake
Usimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.
 
Usimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.
Tuwekee uthibitisho wa kifo cha Ben Saanane na uthibitisho wa kwamba aliuliwa na Magufuli. Anything short of that you are loser & hater.
 
Wewe fala unaposema wengi! Ni wangapi?? Mimi na familia yangu usituhusishe na huyo mwehu.
Sihusishi wabadhirifu, mafisadi na vibaraka wa mabeberu kama wewe na familia yako.

Watanzania wengi ni sisi Wazalendo na tunaopambana kupata ujira kwa njia halali.

Na bado, Magufuli anaendelea kuwanyoosha hata katika umauti wake.
 
Tuwekee uthibitisho wa kifo cha Ben Saanane na uthibitisho wa kwamba aliuliwa na Magufuli. Anything short of that you are loser & hater.
Magufuli alimpoteza Ben sanane na magufuli alimpiga lisu risasi 36 hutaki kafie mbele umfwate
 
Kwenu mliofaidika na udhalimu wake.
Hata wewe umefaidika
1)hospital
2)mashule na madawati
3) elimu bure
4)alitoa vehicle na stiker za nenda kwa usalama
5)machinga na mama lishe
6)mbolea bei chini
7)SGR
8)bwawa la nyerere ambalo linapigwa zengwe
9)na mengine ongezea mwenyewe
 
Back
Top Bottom