Gwadakulima
Senior Member
- Dec 5, 2021
- 153
- 119
Aliuwa magaidi ambao walikuwa wanauwa wezao waliobaki wakakimbilia msumbiji nako wakapata cha moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe refferencewakatoliki wana historia ya ukatili
Mtu mwema au muovu hujionyesha tangu akiwa mtoto hajitokezi tu ukubwani. Watu waliomkuza na waliokua naye watamjua vizuri kuliko waliomsikia tu. Wengi wanamtuza ni wale waliomskia tu akiwa raisi pengine na waziri.Watanzania mafisadi walishangilia. Watanzania wazalendo (na ambao tupo wengi - majority) tuliumizwa sana na kifo chake.
Wakienda kinafiki wewe inakuuma nini? Na wewe nenda.Wanaenda kinafiki tu ila mioyo yao haiko hapo na believe me Mungu alie hai atadhihirisha imagine alitaka kumuua lisu kwa kumpiga risasi 36 na kama haitoshi akakataa watu wasimuombee Mungu alivyofundi akaliuwa lenyewe kabla ya lisu leo mnaliombea jitu liko motoni.
Na bado, Magufuli anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.Chawa,inzi,viazi,makokoro,hamnazo,pangu pakavu,visokorogwinyo na wazee wakujipendekeze kwa team ile wanalia sasa kusikia mambo yatafanyika chato tar 17/03/2022View attachment 2149357
Wao hawatakufa? Kama wanaokufa ni wauaji basi na wao ni wauaji maana sote tutakufa.Anayepanga umri wa kuishi ni Mungu kwa makusudi yake na malengo yake.General msuguri ana miaka 102 na sasa lakini aliongoza vita ya uganda na alichanja watu sana kule kakini bado anaishi hadi leo.uwe mwenye dhambi au mkamilifu wote ni wa Mungu tumeumbwa kwa mfano wake
Best president ever.
Unatuletea hearsay hapa, weka facts mkuu.Mtu mwema au muovu hujionyesha tangu akiwa mtoto hajitokezi tu ukubwani. Watu waliomkuza na waliokua naye watamjua vizuri kuliko waliomsikia tu. Wengi wanamtuza ni wale waliomskia tu akiwa raisi pengine na waziri.
Raingi waliyompaka haichuji haraka...
Usimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.Anayepanga umri wa kuishi ni Mungu kwa makusudi yake na malengo yake.General msuguri ana miaka 102 na sasa lakini aliongoza vita ya uganda na alichanja watu sana kule kakini bado anaishi hadi leo.uwe mwenye dhambi au mkamilifu wote ni wa Mungu tumeumbwa kwa mfano wake
Wewe fala unaposema wengi! Ni wangapi?? Mimi na familia yangu usituhusishe na huyo mwehu.Magufuli ni kipenzi cha Watanzania wengi. Apumzike kwa amani Rais wetu bora.
Tuwekee uthibitisho wa kifo cha Ben Saanane na uthibitisho wa kwamba aliuliwa na Magufuli. Anything short of that you are loser & hater.Usimlinganishe mzoga wenu na musuguri ; musuguri alitetea taifa kwahiyo aliowauwa ilikuwa vita halali hilo jambazi lenu lilimuuwa Ben sanane baada ya kuambiwa phd yake feki akaja kumpiga lisu risasi kisa kashindwa hoja bungeni jinga kabisa shetani lile.
Sihusishi wabadhirifu, mafisadi na vibaraka wa mabeberu kama wewe na familia yako.Wewe fala unaposema wengi! Ni wangapi?? Mimi na familia yangu usituhusishe na huyo mwehu.
Magufuli alimpoteza Ben sanane na magufuli alimpiga lisu risasi 36 hutaki kafie mbele umfwateTuwekee uthibitisho wa kifo cha Ben Saanane na uthibitisho wa kwamba aliuliwa na Magufuli. Anything short of that you are loser & hater.
Hata wewe umefaidikaKwenu mliofaidika na udhalimu wake.