Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
- Thread starter
- #541
Haha... Wanatapatapa tu.hizo ni opinion zao(mawazo yao) ukiwaomba uthibitsho mpaka yesu anarudi hawatakupatia.
Mara wanakimbilia uchunguzi huru mara wengine tuombe iundwe tume kuchunguza ukweli.
Sijui wao waliunda tume gani mpaka wakaugundua huo ukweli. Watoe findings za hizo tume zao.
Hawa watu ni hopeless kabisa.