Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Nyie jamaa wajinga sana, propaganda za warumi zimewaingia hadi kwenye dna, hakuna cha Paul, Timotheo, Yesu, wala upuuzi wa aina hiyo! Acheni ujinga
 
yesu aliita "lazaro njoo/toka nje ya kaburi"akatoka. hapo ni kuombea wafu? kwa hiyo na ninyi mnaenda kumfufua jpm, ili tuandae sherehe za kumpokea?
Sasa Yesu alimfufua Lazaro bila kumuombea?
 
Sasa Yesu alimfufua Lazaro bila kumuombea?
hakika yake hakumwombea, alimwita atoke kaburini, tena aliita kwa sauti. alipofika tu pale kwenye kaburi alielekeza jiwe litolewe kwenye mlango wa kaburi, akaita kwa sauti lazoro toka nje, akatoka ali mzima. hakumwombea. kama msomaji wa Bible hautaendelea kubishia jambo hili.
 
Unatumia kipimo kipi ku-quantify na ku-qualify furaha ya Watanzania?
 
Kama mnafufua wafu kwanini sasa msiende mortuary kuwafufua? Mbona mnakufa? Si mfufuane tu?
 
huo mstari umeweka 2timoth 1:18 unaongelea mtu ambaye hajafa, ni mzima ila aliwahi kumsaidia Paulo.
 
Unajua ni kwanini Yesu alipotoa mapepo au kutenda miujiza aliwakataza wasitangaze?
 
Kama mnafufua wafu kwanini sasa msiende mortuary kuwafufua? Mbona mnakufa? Si mfufuane tu?
hata Yesu hakufufua wote mzee, siku zile walikuwa wanakufa pia na wapo ambao hawakufufuka. kwa kusema hivyo manaake hauamini kama wafu wanaweza kufufuka kwa Jina la Yesu, ndio maana tunasema muokoke ili mbadilishwe maisha na Yesu.
 
Roho Mtakatifu ni wenu peke yenu?
 
Unajua ni kwanini Yesu alipotoa mapepo au kutenda miujiza aliwakataza wasitangaze?
kwahio kuna padri au askofu yeyote anatoa pepo siku hizi na kuwaambia watu wasitangaze/huwa hawatangazi inaenda kimyakimya? hata pepo kichanga tu hawana nguvu ya kumtoa kwasababu inahitaji Nguvu za Mungu kutoa pepo/shetani, na mapadre wala maaskofu hawana nguvu za Mungu.
 
Usiwafananishe Machinga, Samia na hiyo mijambazi iliyokuwa inalindwa na jiwe
Hakuna Watanzania wema ambao hawakulindwa na Magufuli. Ni nyie mafisadi tu na majizi ambao aliwabana.
 
K
Pole sana mkuu,
Unatakiwa ku-move on.

Karibu Jumapili ya tarehe 20 Machi tumuombee Rais wetu bora kabisa wa wakati wote pale Kawekamo, Mwanza.
Kamuombeeni sana atoke Jehanamu , ila sijui ni Mungu gani anasamehe wauwaji wakubwa kama yeye
 
Roho Mtakatifu ni wenu peke yenu?
ni wa kila anayemwomba Mungu. haya kila aonaye kitu na aje ateke maji ya uzima bure..hapo aliongea akimaanisha Roho Mtakatifu atakayewashukia waamini baada ya yeye kupaa. nitajie padre au sista au askofu mmoja tu aliyejazwa Roho Mtakatifu. hakuna. sas amnaabudu nini? wakati Roho Mtakatifu anayeliongoza kanisa hayupo pamoja na nyi?
 
Unatumia kipimo kipi ku-quantify na ku-qualify furaha ya Watanzania?
Wewe huoni watu walivyo huru sasa? Wanatamba kwenye nchi yao bila hofu ya kutumbukizwa kwenye Noah nyeusi! Muulize Melo kwanza anajisikiaje kwa sasa baada ya jambazi kukata roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…