Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Ubongo wako mgumu sana kuelewa. Point ni kuwa uwe jambazi ama mtakatifu, ukishakufa, kitabu chako kinafungwa (soma Ecclesiastes 9:5). Yesu ametupa muda wa kuchagua uzima wa milele tukiwa hai, siyo baada ya kifo. Haiwezekani baada ya kifo kwa sababu wafu hawajui lolote. Hawawezi kufanya uamzi wowote. Huko aliko ni jiwe kweli. Hata ukiomba ukatoa mchozi ya damu, jiwe haliwezi kutubu. Alipewa miaka 61 ya kufanya toba. Kama hakufanya, hauwezi kumfanyia wewe hata ukiomba kwa machozi ya damu.
Kuna kipindi Yesu alikuwa anasali mlimani kabla ya mateso yake, according to the Bible, Musa, Elijah walimtokea, na Biblia inasema Musa alipanda mlimani akafa hadi mwili wake shetani alitaka kuugombania akakemewa, swali langu liko hapa, if what you're saying is true ukifa umekufa, ilikuwaje Musa alimtokea Yesu? Na hamna sehemu inaonyesha Musa alifufuliwa?
 
Ubongo wako mgumu sana kuelewa. Point ni kuwa uwe jambazi ama mtakatifu, ukishakufa, kitabu chako kinafungwa (soma Ecclesiastes 9:5). Yesu ametupa muda wa kuchagua uzima wa milele tukiwa hai, siyo baada ya kifo. Haiwezekani baada ya kifo kwa sababu wafu hawajui lolote. Hawawezi kufanya uamzi wowote. Huko aliko ni jiwe kweli. Hata ukiomba ukatoa mchozi ya damu, jiwe haliwezi kutubu. Alipewa miaka 61 ya kufanya toba. Kama hakufanya, hauwezi kumfanyia wewe hata ukiomba kwa machozi ya damu.
Amwaminiye Yesu yeye hatakufa daima

Kama wafu hawajui lolote Mbona mlimani Musa alitokea.

Kama wafu hawajui lolote mbona Yesu alishuka kuzimu kuwahubiria hao watu
 
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.

Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika viwanja vya madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo kuanzia saa nne kamili asubuhi.

Aidha, Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande anatukumbusha kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwa Wazalendo wa kweli, kudumisha amani, undugu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Hayati Magufuli apumzike kwa amani mbinguni.

View attachment 2147385

Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi ya JPM. Mgeni Rasmi anaweza kuwa RJK.​

 
Simchukii jpm, wala simhukumu. Ila kuhusu kuombea, ni chukizo kwa mungu, baada ya kifo ni hukumu hakuna kutengeneza maisha. Hakuna mstari kwenye biblia unasema tuombee wafu.

Hata ukisema rip mtu kama hakuishi maisha matakatifu huwezi kumtakasa akiwa ameshakufa, yeye ndio anatakiwa kutubu kwa mungu angali hai asamehewe, ni kitu kati ya mungu na mtu, na sio watu waende kumuombea mtu kwa mungu, the only advocate we still have is jesus, naye anasimama kama daraja kati yetu sisi na mungu kwamba tukitenda dhambi tupitie kwake ili mungu atusamehe kwasababu yeye alimwaga damu kwa ajili ya hilo. Ila sisi wanadamu tukiombea mfu tunapoteza muda na ni chukizo kwa mungu.
Kumbukumbu la Torati 18
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁰ Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,
¹¹ wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
 
Wanaojiita walokole Wana tatizo la kifikiri ,Sasa hapo umeandika kuwa na Wala asiwepo anayeomba wafu,lakini hukufikiri kuwa Kuna kuomba na kuombea,wachungaji wenu wamekalia kula sadaka tu washaulini wajenge na shule basi angalau msome muelewe Mambo
 
Ecclesiastes 9:5. Unamwamini Yesu ukiwa hai. Unamkiri na kuishi maisha ya kikristo. Siyo uuwe watu ukiwa hai eti wajomba zako wakuombee baada ya kufa halafu ndio upate toba na kuurithi uzima wa milele... Hayo ni mafundisho ya kishetani.

Kama majirani/ndugu wanaweza kukuombea na kubadilisha maovu yako uliotenda kabla ya kifo, kuna haja gani ya Mungu kuhitaji toba zetu wakati tukiwa hai. Kila mtu angekuwa muuaji/mzinzi/mwizi nk kwa kutegemea kurithi uzima wa milele baada ya kifo kwa maombi ya ndugu zake waliowaacha hai. Simple logic...
Amwaminiye Yesu yeye hatakufa daima

Kama wafu hawajui lolote Mbona mlimani Musa alitokea.

Kama wafu hawajui lolote mbona Yesu alishuka kuzimu kuwahubiria hao watu
 
Ecclesiastes 9:5. Unamwamini Yesu ukiwa hai. Unamkiri na kuishi maisha ya kikristo. Siyo uuwe watu ukiwa hai eti wajomba zako wakuombee baada ya kufa halafu ndio upate toba na kuurithi uzima wa milele... Hayo ni mafundisho ya kishetani.
Basi Mafundisho ya shetani alianza nayo Petro aliyetuambia kuwa Yesu alishuka kuwahubiria hao huko waliko kifungoni
 
Ecclesiastes 9:5. Unamwamini Yesu ukiwa hai. Unamkiri na kuishi maisha ya kikristo. Siyo uuwe watu ukiwa hai eti wajomba zako wakuombee baada ya kufa halafu ndio upate toba na kuurithi uzima wa milele... Hayo ni mafundisho ya kishetani.

Kama majirani/ndugu wanaweza kukuombea na kubadilisha maovu yako ulitotenda kabla ya kifo, kuna haja gani ya Mungu kuhitaji toba zetu wakati tukiwa hai. Kila mtu angekuwa muuaji/mzinzi/mwizi nk kwa kutegemea kurithi uzima wa milele baada ya kifo kwa maombi ya ndugu zake waliowaacha hai. Simple logic...
Basi kulikuwa na haja gani Yesu kwenda kuwahubiria walioko kuzimu ??
 
Acha blah, blah... weka maandiko hapa. Nimekwambia wafu ni kama mawe tu (Ecclesiastes 9:5).
Kuna kipindi Yesu alikuwa anasali mlimani kabla ya mateso yake, according to the Bible, Musa, Elijah walimtokea, na Biblia inasema Musa alipanda mlimani akafa hadi mwili wake shetani alitaka kuugombania akakemewa, swali langu liko hapa, if what you're saying is true ukifa umekufa, ilikuwaje Musa alimtokea Yesu? Na hamna sehemu inaonyesha Musa alifufuliwa?
 
Mwizi na muuaji wanaombewa tangu lini

Alietaka kumuua mpaka leo bado anadunda na passport mpya kapewa na mafao yake na stahiki zake za ubunge kapata

Pumbavu kabisa nyie mnamuombea huku Duniani mwenzenu anachomwa moto mbinguni shubaaamit zake
Hata wewe ukifa tunakuombea boss.
 
Ubongo wako mgumu sana kuelewa. Point ni kuwa uwe jambazi ama mtakatifu, ukishakufa, kitabu chako kinafungwa (soma Ecclesiastes 9:5). Yesu ametupa muda wa kuchagua uzima wa milele tukiwa hai, siyo baada ya kifo. Haiwezekani baada ya kifo kwa sababu wafu hawajui lolote. Hawawezi kufanya uamzi wowote. Huko aliko ni jiwe kweli. Hata ukiomba ukatoa mchozi ya damu, jiwe haliwezi kutubu. Alipewa miaka 61 ya kufanya toba. Kama hakufanya, hauwezi kumfanyia wewe hata ukiomba kwa machozi ya damu.
Huu ndio uthibitisho wa mauaji aliyoyafanya?
 
Narudia:

Kama majirani/ndugu wanaweza kukuombea na kubadilisha maovu yako uliotenda kabla ya kifo, kuna haja gani ya Mungu kuhitaji toba zetu wakati tukiwa hai. Kila mtu angekuwa muuaji/mzinzi/mwizi nk kwa kutegemea kurithi uzima wa milele baada ya kifo kwa maombi ya ndugu zake waliowaacha hai. Simple logic...
Basi Mafundisho ya shetani alianza nayo Petro aliyetuambia kuwa Yesu alishuka kuwahubiria hao huko waliko kifungoni
 
Kuna kipindi Yesu alikuwa anasali mlimani kabla ya mateso yake, according to the Bible, Musa, Elijah walimtokea, na Biblia inasema Musa alipanda mlimani akafa hadi mwili wake shetani alitaka kuugombania akakemewa, swali langu liko hapa, if what you're saying is true ukifa umekufa, ilikuwaje Musa alimtokea Yesu? Na hamna sehemu inaonyesha Musa alifufuliwa?
Hawana walijualo hao vibaraka wa mabeberu na mafisadi.
 
Back
Top Bottom