JPM alikuwa chuma kwelikweli.Hata km wapinge,magufuli was the best president ever Kwa Tanzania na Africa mashariki.
Pamoja na madhaifu yake ila ataendelea kukumbukwa na wengi,kwani kazi zake ziliwagusa wengi hasa wanyonge...na siyo mafisadi.
Ule ukoo uliokuwa umeundwa wa mafisadi tangu kipindi cha JK ndiyo kila siku wanaponda kazi za JPM.
Magufuli alikuwa anaongozwa na Mungu. Wote hao wamefeli vibaya sana.Laana ya wote waliohusika na njama ovu haitakaa iwaache salama.
Hata hawa wanaosahau wajibu wao na kushinda wakipambana na marehemu nao hawatabaki salama!
Hata namba moja nae ni kama ofisi haikaliki!
Ishike hatamu tu na malaika wa kuzimu-Chato.Tunatimiza mwaka mmoja sasa lakini legacy anayopambana nayo ndio kwanza inazidi kushika hatamu.
MboweTuwekee uthibitisho wa tuhuma zako mkuu.
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.
• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.
• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.
• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.
• Na kadhalika.
Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Maneno ya majizi.Chuma chakavu
NajuaMkuu hata Mwinyi,Kikwete,Mkapa ama Samia kuna watu wengi sana wanawasema kwa mazuri yao wala huwezi kuwaeleza mabaya yao wakakuelewa.
Vivyo hivyo kama wewe unavyomuona huyo unayemkubali na kufurahi anapitajwa kwa mazuri.
All in all hakuna binadamu anayesemwa kwa mazuri pekee lazima yawepo mabaya pia.
Jitu ovu litamlaani nani?Timu gaidi wamefilisika kabisa kiuchumi.
Walikunywa na kulewa sana kwa furaha march 17/2021 lakini laana yake haijawaacha salama mwaka umeisha bado Lisu na Lema wanaishi kwa kuombaomba .
Haswa…• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.
• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.
• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.
• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.
• Na kadhalika.
Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
pole mkuu.Kufa umfuate Chato
Apumzike kwa amani mbinguni.
Amina…Apumzike kwa amani mbinguni.
Wakupinga yupo sasa?Hata km wapinge,magufuli was the best president ever Kwa Tanzania na Africa mashariki.
Pamoja na madhaifu yake ila ataendelea kukumbukwa na wengi,kwani kazi zake ziliwagusa wengi hasa wanyonge...na siyo mafisadi.
Ule ukoo uliokuwa umeundwa wa mafisadi tangu kipindi cha JK ndiyo kila siku wanaponda kazi za JPM.
Mkuu umepigwa ganzi na hufurukuti kwa penzi lako kwa mwendazake.Mnaweweseka sana. Na bado.