Mwaka mmoja wa Rais Samia na RC Kafulila ukusanyaji mapato Simiyu sasa ni mara tatu zaidi, maajabu ni Itilima kukusanya TZS 1.4BL

Mwaka mmoja wa Rais Samia na RC Kafulila ukusanyaji mapato Simiyu sasa ni mara tatu zaidi, maajabu ni Itilima kukusanya TZS 1.4BL

Halafu kuna kitu hua nahisi Kafulila kuanzia kwenye U RAS , ilimsaidia kua kiongozi plus na kujielewa, Anapiga kazi kwa sasa sioni RC Tanzania wa kumfikia anapiga kazi sio mchezo
 
Na kabla ya Kafulila RC wa Simiyu alitoka upinzani? Hii ndio shida yq ku personalise kila kitu. Sifa sasa zinaenda kwa watu binafsi na sio chama chao!
Amandla...
 
View attachment 2274992
..................

Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
Mbona tumeshuka uchumi wa kati? . Kwa makunanyo hayo tunstskiwa tuwe uchumi wa kati daraja la juu.
 
Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
Hawa ndio Viongozi wa kutoka Upinzani wako vizuri mno.
 
Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
SSH kafunika kila sehemu,sio tuu kwenye mapato bali ni sekta zote.
 
Ila siasa ni kweli mchezo mchafu, nakumbuka enzi za the late JPM, wakat simiyu RC akiwa mtaka , Simiyu ilikkuwa ikisifiwa pia ..sasa iweje leo isemwe kwamba hali ilikuwa mbaya
Ilikuwa mbaya ndio Kwa sababu wale walikuwa wanafanya maigizo mengi Sana 👇
Screenshot_20220609-225445.png
 
Ila siasa ni kweli mchezo mchafu, nakumbuka enzi za the late JPM, wakat simiyu RC akiwa mtaka , Simiyu ilikkuwa ikisifiwa pia ..sasa iweje leo isemwe kwamba hali ilikuwa mbaya
Kula pepsi mkuu
 
Chadema na mbowe wanastahili pongezi kubwa sana kulea vijana majasiri na viongozi mahili mfano wa kafulila malezi kama haya sijui kama kule CCM yapo
Yatoke wapi wakati wao ni mla mla leo. Ngoja waziri mdogo wa ardhi uone madudud yatayomtokea. Mwigulu mmeanza kuyaona. Ya makamba balaa
 
Back
Top Bottom