Hakika Rais samia ni mwamba kwelikweliWonderful Rais Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Rais samia ni mwamba kwelikweliWonderful Rais Samia
CCM ndio Chama pekeeHiyo ni Ilani ya CCM
😍😍Halmashauri zinatofautiana wigo wa mapato, kwa halmashauri kama itilima kukusanya above 1bil inastahili pongezi
is it!!!????!!!Yaani 1.4B ni maajabu kwa Halmashauri kukusanya na humo kuna ada za shule na cost sharing za hospitali? shame on them
Sasa katumbuliwa, nenda kwao simiyu mkalie pamoja,Kafulila ni Moja ya ma RC Bora kabisa ktk nchi hii. Hongera sana mkuu
Taifa linawahitaji sana kwani bado vijana wenye nguvuRais kasema kila mtu ametolewa kwa sababu kadha wa kadha ila wengine waliotolewa kwenye u RC atawatumia kwingine so nadhani Kafulira na Gabriel wanaweza pewa hata ubalozi.
Anapangiwa kazi nyingine soon. Na akipewa sijui utajificha wapiSasa katumbuliwa, nenda kwao simiyu mkalie pamoja,
Overrrr
Itapendeza SanaAnapangiwa kazi nyingine soon. Na akipewa sijui utajificha wapi
✔️Yes nadhani hiyo ni sahihi kabisa, Kafulila na Gabriel wasiachwe
Kafulila sio DrHongera Sana Dr Kafulila
😆😆Chadema na mbowe wanastahili pongezi kubwa sana kulea vijana majasiri na viongozi mahili mfano wa kafulila malezi kama haya sijui kama kule CCM yapo
Yuko wapi now?is it!!!????!!!
Own source imebeba vitu vingi sn, Itilima kuna pamba nini cha ajabu hapo?Halmashauri zinatofautiana wigo wa mapato, kwa halmashauri kama itilima kukusanya above 1bil inastahili pongezi
😃😃😃 jf sihami ng'oooKafulila sio Dr
Naona umemaliza bunOwn source imebeba vitu vingi sn, Itilima kuna pamba nini cha ajabu hapo?
Kuna muda wa kufanya mambo ya msingi na siyo kila saa nipo humu na wakati hakuna cha maana nachofaidika, kwani bun siilisha tangu 30-08, hata nikipigwa bun ya mwaka mzima kwani nitapoteza nini? I have nothing to loose mzeeNaona umemaliza bun
Kwani kabla ya Samia ilikuwaje?Own source imebeba vitu vingi sn, Itilima kuna pamba nini cha ajabu hapo?
sijui yuko wapi!!!!, nilishangazwa na makusanyo hayo, nahisi naye aliazima benki., Mother kashtukaYuko wapi now?