Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Ww mwanzo ulimzoesha endelea tyuu kutoa huduma.! Lasivyo na hizi mvua utapata ngiri
🀣🀣🀣 Au ndo maana anaona huu ndo wakati wa kuanza kunikamua? Nimebadili sera za uwekezaji. Huyu dada nlimpa sana pesa. Sasa sera zimebadilika.
 
🀣🀣🀣 Au ndo maana anaona huu ndo wakati wa kuanza kunikamua? Nimebadili sera za uwekezaji. Huyu dada nlimpa sana pesa. Sasa sera zimebadilika.
Ila umenichekesha unavyosema β€œThank you πŸ™β€ halafu wifi anakwambia β€œKam thank you mama ako, mwanaume sio kut*mba tyuu… ujue na kuhudumia””
Nimecheka sana’aaa 🀣🀣🀣🀣
 
Nyani katemba bungo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila mwenye nyani anakomaa hataki bungo litemwe...Kazi kweli kweli πŸ˜€
 
Mtavurugwa kinoma. Ila wala hajakuacha bali anakutishia. Ila kama ana-gut ya kukutukana hivyo we mshukuru Mungu tu maana hicho kikombe hukiwezi. Ila broo na wewe acha zongwa, wengine wamehonga gari, we mafuta tu yanakushinda?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mtt kuba smoke kweli ww
 
Fursa ya kutatuliwa matatizo yake ndio inakuwa imemjia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mashine ya hela na ukijitia bahili unaoga mitusi kama hiyo
 
Hivi mnafanyafanyaje mpaka wanawake wanawaacha?

Sisi wengine mpaka tunawakinai tunatamani watuache lakini wametung'ang'ania tu kama Super Glue hawataki kutuacha.
Acha kutoa zile dola 100/100 uone kama kuna atakae baki. The best way to be left with Tanzanian women is to pretend to be broke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…