Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #101
Si vyema kuwatukana wanawake sister Anna. Mimi huji nikuta namtukana mwanamke. Hata unitukane vipi sitokutukana ila ukijichanganya ukaja ghetto..... Ndo utaomba msamahaYani anaandika kwa kufoka as if anaongea na mtoto wake wa mwisho.
Ila Cha ajabu, ndugu yetu anaishia kusema "nashukuru"
Agness haingii mbinguni aki, kambadilisha jina mtu na bado kamuacha jamani😀bora wewe umeachwa ila anawivu bado na ww kuna watu wanaachwa vibaya asikwambie Mtu
check huyu View attachment 2878506
Dada naona una depression hasa. Why unaumia na nini? Unatengeneza ili iweje? Naona kama umepaniki sana. Ambacho kimekuumiza ni nini dada angu? Thank you all the best.Wanaume wengi sikuhiz wanatengeneza hizo text wengi sana, hata Madogo wengi wana depression. Hizo chat ni za kutengeneza Halafu cjui kwann wanaume sikuhiz wanafanya hivyo, ila kazi ngumu sana
Nashukuru. All the best.Yani anaandika kwa kufoka as if anaongea na mtoto wake wa mwisho.
Ila Cha ajabu, ndugu yetu anaishia kusema "nashukuru"
Wenye kusoma miandiko tulishaelewa.Dada naona una depression hasa. Why unaumia na nini? Unatengeneza ili iweje? Naona kama umepaniki sana. Ambacho kimekuumiza ni nini dada angu? Thank you all the best.
Mimi sitoi pesa hivyo, kwa hivyo sababu si mimi kutoa pesa.Acha kutoa zile dola 100/100 uone kama kuna atakae baki. The best way to be left with Tanzanian women is to pretend to be broke.
goooo 😁😁😁Agness haingii mbinguni aki, kambadilisha jina mtu na bado kamuacha jamani😀
Mkuu huyo jamaa ni muongo.Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko nje umelegea ka mlenda pori.
Mi naona wewe ndo umepaki sister. Si vibaya. Nawe nakwambia tu. Thank you. All the best. Mi huwa siwajibu vibaya wanawake. Huwezi jua kuna siku naweza kwama sana nikaomba kuosha.Wenye kusoma miandiko tulishaelewa.
Wewe changamsha genge tu.
Hizo text ulikuwa unajitumia na kujijibu, bila kuzingatia makosa pole ndugu.
Kwa jinsi ulivyopaniki hapa itoshe kusema hizo chati ulitaka mwanamke aonekane hovyo, uonekane na pesa, Halafu unaonekana unamjibu kistaarabu wakati umeshindwa kuhandle critics hapa😂😂pole ndugu
Kabisa dada... You are right. All the best. Thank you. 🤣Mkuu huyo jamaa ni muongo.
Yaani kafeli muandiko , Halafu kwa saikolojia nyepesi tu huyu mtu hawez kujibu hvyo cheki hapa kidogo tu matusi.
Halafu huo muandiko unafanana kila kitu
Pole utoto huo tushaufanya sana.Mi naona wewe ndo umepaki sister. Si vibaya. Nawe nakwambia tu. Thank you. All the best. Mi huwa siwajibu vibaya wanawake. Huwezi jua kuna siku naweza kwama sana nikaomba kuosha.
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Thank you sweet gal. All the bestPole utoto huo tushaufanya sana.
Kaa Halafu angalia vzur wapi ulikosea ulivyokuwa unajijibu.
Ulipost bila kuwa makini.
Upo sahihi bingwa.Usisikitike binti kama huyo kukuacha, tena bora amekuacha ili utimize mipango yako ya maisha vizuri
Niletee picha yake DM nione kama naweza kukutua mzigo.Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Na wewe Ume Anza😂😀Duuh , hadi nimetoa chozi🥲