Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Amina ubarikiwe sana best pamoja na wakupendao wote.you're the best buddy, ❣️
Ikawe kheri kwako na kwa familia yako rafiki yangu mzuri...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina ubarikiwe sana best pamoja na wakupendao wote.you're the best buddy, ❣️
Ikawe kheri kwako na kwa familia yako rafiki yangu mzuri...!!
Nashukuru kwa kunikumbuka wa kujizima data5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona
Highly appreciated Joannah, mdada mpambanaji wa ukweli kabisa.Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine
2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi
3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,
4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...
5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona
6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂
7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana
8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana
9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.
10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban
I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Asante kwa kunikumbuka Tena mrembo. Kwahizi blessings na wishes, huu Mwaka natumai utaisha vizuri kwangu, na mwaka ujao utakuwa super. Stay blessed 😊😊Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine
2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi
3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,
4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...
5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona
6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂
7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana
8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana
9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.
10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban
I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Namimi nipo hapa najikombaaSalam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine
2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi
3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,
4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...
5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona
6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂
7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana
8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana
9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.
10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban
I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Dah kumbe na wewe una maneno mengi namna hii. Hatari upo vizuriSalam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine
2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi
3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,
4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...
5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona
6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂
7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana
8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana
9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.
10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban
I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Umepewa special seat mkuuDah kumbe na wewe una maneno mengi namna hii. Hatari upo vizuri
Ah mie napenda special seat ileeeee ambayo unakaliwa juu na mremboUmepewa special seat mkuu
Namimi nakusifiaga halafu kimya hujibuuAh mie napenda special seat ileeeee ambayo unakaliwa juu na mrembo
Asante.Dah kumbe na wewe una maneno mengi namna hii. Hatari upo vizuri
Umenisifia wapi wee mrembo. Wee sii unanikandiaga jamaniNamimi nakusifiaga halafu kimya hujibuu
Cheers!Asante kwa kunikumbuka Tena mrembo. Kwahizi blessings na wishes, huu Mwaka natumai utaisha vizuri kwangu, na mwaka ujao utakuwa super. Stay blessed 😊😊
Ujikombe vipi shoga yangu,Soma hapo namba tano una salamu zako....naanza vipi kukusahau sasa!?Namimi nipo hapa najikombaa
Merry Christmas Chris.Itabidi niache kujitenga ili nami niwe natajwa tajwa
Umeamua unionee huruma etiMerry Christmas Chris.