Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Highly appreciated Joannah, mdada mpambanaji wa ukweli kabisa.

Happy new yr and merry Christmas kwako na kwa uwapendao.
 
Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Asante kwa kunikumbuka Tena mrembo. Kwahizi blessings na wishes, huu Mwaka natumai utaisha vizuri kwangu, na mwaka ujao utakuwa super. Stay blessed 😊😊
 
Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Namimi nipo hapa najikombaa
 
Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
Dah kumbe na wewe una maneno mengi namna hii. Hatari upo vizuri
 
Back
Top Bottom