Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #241
I love u my darling😂😂😂Ndugu ndo umeshikilia bango kiasi hiki 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I love u my darling😂😂😂Ndugu ndo umeshikilia bango kiasi hiki 😂😂😂
I love u princeb nakutakia xmass njema yenye furaha , amani na upendooWapendanao Hao...Wakitagiana na kupeana maneno kedekede [emoji4]
Wewe mtu mie wa mwisho umewapanga kiumri au kisifa au kinini mutu wa pande zile ??Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa ma hapq hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Kumbuka kitinda mimba hupendwa zaidiWewe mtu mie wa mwisho umewapanga kiumri au kisifa au kinini mutu wa pande zile ??
Mmh!Kumbuka kitinda mimba hupendwa zaidi
Yani hata mimi?Hapana,kwani unakutana nao?binafsi hao niliwataja sijawahi hata kuwaona hata mmoja,.
Ole wako uwataje mademu zangu....Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema
Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri😂😘😘
I wish siku moja niwaone
Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.
Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko😍
Sio tu mademu hata wewe nakutaja soon🤣🤣Ole wako uwataje mademu zangu....
Babu nilisahau,tunajuana uso kwa macho babu yanguYani hata mimi?
Babuuu😂😂Ole wako uwataje mademu zangu....
Asante G...endelea kuwa Kaka wa mfano.❤️Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema
Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri😂😘😘
I wish siku moja niwaone
Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.
Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko😍
Nimekugongea makopa. Kana huamini kakague...Babu nilisahau,tunajuana uso kwa macho babu yangu
Labeka my dia mjukuu kipenziBabuuu😂😂
Baada ya 26/12 nitafute ntakuletea zawadi😅Asante G...endelea kuwa Kaka wa mfano.❤️
Inshallah tuombe uzima!nitaisubiri zawadi yangu kwa hamuBaada ya 26/12 nitafute ntakuletea zawadi😅
Kaka nakutakia afya njema, uvuke salana next year tuje kutaniana hapa tena😅Labeka my dia mjukuu kipenzi
Babu mbona Kama mademu wamekunogea Sana uzeeni?angalia wasijepita na pensions yote halafu uje useme hela za kustaafu Zina majini.Labeka my dia mjukuu kipenzi