Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Kaka nakutakia afya njema, uvuke salana next year tuje kutaniana hapa tena😅
Mimi sio kaka. Mimi ni Babu.

Nimelipokea dua lako mwa moyo mkunjufu.Nami pia nakuombea heri, tuvuke salama.

Inshallah, Mungu atujalie wote kama ulivyoomba. (sometimes huwa nakuwa na busara na hofu ya Mungu... usinichukulie poa)
 
Mimi sio kaka. Mimi ni Babu.

Nimelipokea dua lako mwa moyo mkunjufu.Nami pia nakuombea heri, tuvuke salama.

Inshallah, Mungu atujalie wote kama ulivyoomba. (sometimes huwa nakuwa na busara na hofu ya Mungu... usinichukulie poa)
Mimi nakusoma sana mkuu😅
 
Mimi nakusoma sana mkuu😅
IMG-20221219-WA0002.jpg
 
Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema

Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri😂😘😘

I wish siku moja niwaone

Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.

Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko😍
Ohooo…..Asante G😘😘😘Maskini…Mungu akitubariki mia moja basi tunaivunja katikati tunakula na wengine.

Kuna kitu nimeona nikipitie hapa Kwa mara nyingine nikagundua unahuruma na utu ndani yako.

Mungu akutunze Kwa ajili yetu Glenn.
Hata mimi I wish nikuone ninaamini ipo siku tutaonana gafla sana.

Nikikupa taarifa ya kuonana ninaimani utavaa vizuri😂unukie Sijui upendeze…hapa hizo mambo sizitaki..napenda kumuona Glenn akiwa halisi..

Mzee wa S C😁😁if you know you know 😉
 
Ohooo…..Asante G😘😘😘Maskini…Mungu akitubariki mia moja basi tunaivunja katikati tunakula na wengine.

Kuna kitu nimeona nikipitie hapa Kwa mara nyingine nikagundua unahuruma na utu ndani yako.

Mungu akutunze Kwa ajili yetu Glenn.
Hata mimi I wish nikuone ninaamini ipo siku tutaonana gafla sana.

Nikikupa taarifa ya kuonana ninaimani utavaa vizuri😂unukie Sijui upendeze…hapa hizo mambo sizitaki..napenda kumuona Glenn akiwa halisi..

Mzee wa S C😁😁if you know you know 😉
S c hapo ni nyumbani🤣🤣🤣
Umejua kuniweza mwanangu.

Haha eti kupiga unyunyu haha hata usiponiandaa huo upo 24/7🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom