Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Pensheni wala usijali. ATM card nakukabidhi wewe...Babu mbona Kama mademu wamekunogea Sana uzeeni?angalia wasijepita na pensions yote halafu uje useme hela za kustaafu Zina majini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pensheni wala usijali. ATM card nakukabidhi wewe...Babu mbona Kama mademu wamekunogea Sana uzeeni?angalia wasijepita na pensions yote halafu uje useme hela za kustaafu Zina majini.
Kaa mbali na mjukuu wangu. Zawadi ipitie kwangu niikague..Baada ya 26/12 nitafute ntakuletea zawadi😅
Mimi sio kaka. Mimi ni Babu.Kaka nakutakia afya njema, uvuke salana next year tuje kutaniana hapa tena😅
Mimi nakusoma sana mkuu😅Mimi sio kaka. Mimi ni Babu.
Nimelipokea dua lako mwa moyo mkunjufu.Nami pia nakuombea heri, tuvuke salama.
Inshallah, Mungu atujalie wote kama ulivyoomba. (sometimes huwa nakuwa na busara na hofu ya Mungu... usinichukulie poa)
😂😂😂😂😂Ila Babu mbona Kama umekuwa mtata Sana siku hizi?Kaa mbali na mjukuu wangu. Zawadi ipitie kwangu niikague..
Mimi nakusoma sana mkuu😅
Sitaki wahuni wakuharibu my dia mjukuu kipenzi😂😂😂😂😂Ila Babu mbona Kama umekuwa mtata Sana siku hizi?
Hapo Sasa Babu haya ndio maneno haya!Pensheni wala usijali. ATM card nakukabidhi wewe...
Mtoa zawadi Hana baya baby,yeye Ni kijana mwema mtu wa watuSitaki wahuni wakuharibu my dia mjukuu kipenzi
Hapo Sasa Babu haya ndio maneno haya!
Unaona umeniita baby? Lakini sio mbaya maana babu na mjukuu ni mabebi....Mtoa zawadi Hana baya baby,yeye Ni kijana mwema mtu wa watu
Heee babu Ni typing error naona umesha halalisha ubebi,Babu yangu unashida wewe😁Babu umezeeka kurudi ujananiUnaona umeniita baby? Lakini sio mbaya maana babu na mjukuu ni mabebi....
😂😂😂😂😂Kwa kweli hawajakosea,
Ohooo…..Asante G😘😘😘Maskini…Mungu akitubariki mia moja basi tunaivunja katikati tunakula na wengine.Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema
Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri😂😘😘
I wish siku moja niwaone
Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.
Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko😍
Unampigisha babu Kona nyingi sana utamchosha miguuHeee babu Ni typing error naona umesha halalisha ubebi,Babu yangu unashida wewe😁Babu umezeeka kurudi ujanani
Babu anataka kumaliza hela za pension ndio nipo nailinda ATM kadi Unique Flower asiidake,maana Babu ataambulia kiharusiUnampigisha babu Kona nyingi sana utamchosha miguu
S c hapo ni nyumbani🤣🤣🤣Ohooo…..Asante G😘😘😘Maskini…Mungu akitubariki mia moja basi tunaivunja katikati tunakula na wengine.
Kuna kitu nimeona nikipitie hapa Kwa mara nyingine nikagundua unahuruma na utu ndani yako.
Mungu akutunze Kwa ajili yetu Glenn.
Hata mimi I wish nikuone ninaamini ipo siku tutaonana gafla sana.
Nikikupa taarifa ya kuonana ninaimani utavaa vizuri😂unukie Sijui upendeze…hapa hizo mambo sizitaki..napenda kumuona Glenn akiwa halisi..
Mzee wa S C😁😁if you know you know 😉