Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Ohooo…..Asante G😘😘😘Maskini…Mungu akitubariki mia moja basi tunaivunja katikati tunakula na wengine.

Kuna kitu nimeona nikipitie hapa Kwa mara nyingine nikagundua unahuruma na utu ndani yako.

Mungu akutunze Kwa ajili yetu Glenn.
Hata mimi I wish nikuone ninaamini ipo siku tutaonana gafla sana.

Nikikupa taarifa ya kuonana ninaimani utavaa vizuri😂unukie Sijui upendeze…hapa hizo mambo sizitaki..napenda kumuona Glenn akiwa halisi..

Mzee wa S C😁😁if you know you know 😉
Anhaa... mimi mkubwa nimeshaelewa...

Basi sawa
 
Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;

1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa ma hapq hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂

2. DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Mkuu, ina maana my love wangu Cillah hajawahi kuwa rafiki yako hadi usimtaje? Halafu shem langu Makiwendo yeye ukamsahau...rudia kutaja watu wako wa nguvu, hii post ni batili🤣🤣🤣
 
Mkuu, ina maana my love wangu Cillah hajawahi kuwa rafiki yako hadi usimtaje? Halafu shem langu Makiwendo yeye ukamsahau...rudia kutaja watu wako wa nguvu, hii post ni batili🤣🤣🤣
Mkuu hao sijawachanganya.
Nimewapa heshima ya kipekee na nimewataja kipekee...endelea kupekua utaona🤣
Mkuu ukiwa na familia kubwa lazima ugawanye wapande magari tofauti.
Ndio yamenikuta hayo sasa🤣
 
Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;

1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂

2. DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Thank you kaka Glenn
 
Mkuu hao sijawachanganya.
Nimewapa heshima ya kipekee na nimewataja kipekee...endelea kupekua utaona🤣
Mkuu ukiwa na familia kubwa lazima ugawanye wapande magari tofauti.
Ndio yamenikuta hayo sasa🤣
Sasa Niko kwenye kundi gani?.la heshima,la kawaida au kikubwa uhai
 
S c hapo ni nyumbani🤣🤣🤣
Umejua kuniweza mwanangu.

Haha eti kupiga unyunyu haha hata usiponiandaa huo upo 24/7🤣🤣🤣
Mpka siku waje wakupandishe bp ndipo utawajua vizuri.

Kwamba 24/7 ni uturi uturini
 
Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema

Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri[emoji23][emoji8][emoji8]

I wish siku moja niwaone

Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.

Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko[emoji7]
[emoji7][emoji7] Shukrani sana totoo, maisha mema kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha, hivi nikasahauje kukutaja na kumwambia Glenn aache tabia ya kukusahau mrembo wangu.

Happy holidays mrembo wangu mwenye roho ya almasi(una roho nzuri sana), hopefully 2023 itazidi kukufanya uwe mwema zaidi.
 
Back
Top Bottom