Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Niite kwenye thread ambayo mwanamke ameianzisha kukashfu wanaume ili ni deal na huyo mwanamama.Wanaume waendelee kutukanwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niite kwenye thread ambayo mwanamke ameianzisha kukashfu wanaume ili ni deal na huyo mwanamama.Wanaume waendelee kutukanwa?
Amen mkuuNakubali sana askari wangu. Mungu atupe afya na miaka zaidi
Ninakukumbuka Forest Hill😘😘
NNinakukumbuka Forest Hill😘😘
Asante ndugu yangu ubarikiwe na ukawe na mwaka mzuri kuna Jolie jolie sijuhi kapotelea wapiNinakukumbuka Forest Hill😘😘
Unataka nini kwa mwaka 2023 nianze maombi leo??kufunga na kuombaAmen mkuu
Baraka tele mkuuUnataka nini kwa mwaka 2023 nianze maombi leo??kufunga na kuomba
Duh, mkuu bado unayabeba moyoni, enjoy life bwana. Mada za kubeza, kutukana, kukashifu na kudhalilisha haziji kuisha hata ufanyaje.Nnachotaka kuwaambia waache kutukana wanawake
"Safari ya id yangu ianze rasmi sasa hatmaye niwe"Unataka nini kwa mwaka 2023 nianze maombi leo??kufunga na kuomba
Hah mungu hapendi siasa omba Toyota"Safari ya id yangu ianze rasmi sasa hatmaye niwe"
"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba Mpya"
ISikusumbue mkuu huku watu kama vivuli tu hivyo chukulia poa.Nyuzi kama hizi huwa nazikwepa sana kuzisoma,unaweza kujiona ni mkiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nataka kuwaambia wote kuwa mwakani kuteseka kupo pale pale kama tusipokaza mataco
😂😂Ostadh wa mchongo🤣
Mi mwenyewe nakubali koh koh[emoji16][emoji16]Mkuu sana Satoh Hirosh
Sina la kujivunia kuhusu hili.
Nimejikuta tu kuwa mimi ni rafiki mkubwa sana wa hii jinsia tokea utotoni.
Ninatengeneza marafiki kila niendako.
Katika maisha hilisi ndivyo ilivyo.
Kuna watu huwa wanahisi mimi ni mpenda chini lkn 97% si kweli ni pure urafiki usio wa kimahusiano.
Nikiwa hata church hukimbiliwa na vitoto vya kike wasiopungua 20 to 30 kila mmoja anatamani kunishika mkono nami nawapenda sana watoto wa kike kuanzia wadogo hadi wamama wazee.
Nimejaa huruma kwao tu bila sababu mkuu wangu.
Hapa jf kuna wasichana kadhaa waliwahi kunitusi pm[emoji23][emoji23][emoji23] kuwa why niko na ke wengi...bila kujua yanaishiaga hapa tu jukwaani.
Wengi wameanza kunielewa kuwa ndivyo nilivyo na hakuna kilichojificha.
Samahani kwa maelezo marefu
Hii hali iliwahi kunikera mara nyingi lkn sasa naiona kawaida mkuu.
Kidimbwi mmh huwa sio mpenzi.
Nitakupeleka UPEPO GARDEN kwa gharama zangu mkuu
Hahaha tutaongea mpendwa wanguYou too darling....hebu nistue kule basi na ishu na wewe
Agandi sao...ndyo omukyaroThank you babegirl love you too!!
Mwaka ukwishe salama na uanze mwaka mpya vizuri kabisa kipenzi [emoji8]