Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sosayati😂Mimi napend kuishukuru hii sosayati japo sikuhz imepunguz kuna baadhi ya watu wanaiharbu
"Kupitia mwandiko"Kuna huyu rafiki na mtani wangu kupitia mwandiko😅
Cillah
Wewe falla ninakukubali sana, una akili sana sana.
Ninafurahi kwa namna unavyonipa changamoto ya kunitania kila unionapo🤣
Ninakutakia kila lililojema kwako unapojiandaa kuumaliza mwaka na kuupokea mwaka mpya 2023.
Nakupenda sana mtani/rafiki yangu😘😘
Daah nawe si haba una makoloni kweli kweli🤣Baba Swalehe i hope uko poa my dear, sijakuona kitambo humu ndani.
Kupitia mwandiko, bro jitizame🤣🤣🤣Kuna huyu rafiki na mtani wangu kupitia mwandiko😅
Cillah
Wewe falla ninakukubali sana, una akili sana sana.
Ninafurahi kwa namna unavyonipa changamoto ya kunitania kila unionapo🤣
Ninakutakia kila lililojema kwako unapojiandaa kuumaliza mwaka na kuupokea mwaka mpya 2023.
Nakupenda sana mtani/rafiki yangu😘😘
Unataka ugundue nini bro?Kupitia mwandiko, bro jitizame🤣🤣🤣
Nilikuachia Patience, hapa nimewekeza bro mali, nguvu zangu nyingi zimepotelea humu na akili🤣🤣Unataka ugundue nini bro?
Sikamatiki kizembe ujue😅😅
Daah enzi zile ulikuwa unanikwaza sana mkuu.Nilikuachia Patience, hapa nimewekeza bro mali, nguvu zangu nyingi zimepotelea humu na akili🤣🤣
Kenge wewe🤣🤣🤣Daah nawe si haba una makoloni kweli kweli🤣
Kenge na mamba wao msafara ni mmoja🤣Kenge wewe🤣🤣🤣