Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

😂😂😂😂
Heri ya mwaka mpya sophy, sisi tutasherehekea ule wa kwetu ukifika(japo utanikumbusha, sikumbuki lini unaisha 🤣🤣)

Halafu tuwaambie waache tabia mbaya kutukosanisha🤣🤣
 
Heri ya mwaka mpya sophy, sisi tutasherehekea ule wa kwetu ukifika(japo utanikumbusha, sikumbuki lini unaisha 🤣🤣)

Halafu tuwaambie waache tabia mbaya kutukosanisha🤣🤣
Ostadh 😂😀😀usijali kabisa tuanze kuwasindikiza kwanza nduguzetu kwenye mwaka wao mpya

Hao wanatukosanisha hawawezi kabisa Mimi na wew dam dam
 
Mimi napend kuishukuru hii sosayati japo sikuhz imepunguz kuna baadhi ya watu wanaiharbu
 
Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema

Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri😂😘😘

I wish siku moja niwaone

Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.

Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko😍

bro Shimba ya Buyenze
Umekuwa mtu wangu wa nguvu yapata miaka kadhaa na undugu wetu umeendelea kukua siku hadi siku.
Nakutakia mema mkuu unapouanza mwaka mpya 2023
Nakubali sana askari wangu. Mungu atupe afya na miaka zaidi
 
Back
Top Bottom