Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Umeongea kihuruma japo ulinichekesha.Umeamua unionee huruma eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kihuruma japo ulinichekesha.Umeamua unionee huruma eti
Jf kama hujichanganyi na watu humu unaweza kuhisi upo jangwaniUmeongea kihuruma japo ulinichekesha.
Ila Ni sehemu nzuri Sana ya kutengeneza familia,yaani ukiwa lonely we bundle lako washkaji Hawa hapa!acha kujitenga banaJf kama hujichanganyi na watu humu unaweza kuhisi upo jangwani
Hapana,kwani unakutana nao?binafsi hao niliwataja sijawahi hata kuwaona hata mmoja,.Sema tu naona ukianza kujuana/kuzoeana na watu Privacy/anonymity yako nayo inapotea
Soma Leo nimekusifia soma uoneUmenisifia wapi wee mrembo. Wee sii unanikandiaga jamani
Wapi huko nisome mrembo ujue mwenzio tako la mama wa kambo hapa limenichanganya balaaaSoma Leo nimekusifia soma uone
😂 Sawa, mimi sijakataa[mention]Kelsea [/mention] me nataka mtoto sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Nakupenda pia madam wangu..!!❣️❣️Nampenda mwenzio
Asante sana brother Glenn na sisi pia tunakutakia heri na baraka teleNinawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa ma pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa ma hapq hasa kale ka utani ketu ka hapq na pale juu ya wale voumbe😂
2. DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Asante sanaAsante sana brother Glenn na sisi pia tunakutakia heri na baraka tele
😊Asante sana
Ulishapata mchumba ?Mwisho wa mwaka unakaribia Sasa sijui ninani unataka kumwambia Nini mie nawatakia sikukuu njema wanajf wote
HapanaUlishapata mchumba ?