Pia nawe huwa unanibariki huduma ile ya ukarimu uliyopewa na Mungu.Kabisa kabisa Rafiki....
Barikiwa sana...
nilitamani nikutakie hwri na baraka, nikaona unawataka wa dada kwani ndilo hitaji lako mkuuKwan ww huna neno jema lakusema rafik?
Kutakiana heri hakugombi mkuu.nilitamani nikutakie hwri na baraka, nikaona unawataka wa dada kwani ndilo hitaji lako mkuu
BarikiwaAsante kwa niaba yao.
Blessed sanaπHaya niepende kuwatakia sikukuu njema wafuatao
Bill Lugano
mpwayungu village
Mshana Jr
rikiboy
GENTAMYCIME
inamankusweke
Extrovert
To yeye
Beesmom
Lucas mwashambwa
Kelsea
Bujibuji Simba Nyamaume
Mamndenyi
wa stendi
Oooooooh!!!Pia nawe huwa unanibariki huduma ile ya ukarimu uliyopewa na Mungu.
Huwa hujali kujitaabisha kwa ajili yangu bila kutegemea chochote.
Naikumbuka sana ile taabu yako.
Naomba isiwe bure Mungu akaubariki uzao wako.
Utabaki kuwa dada bora kabisa kwangu
Swali zuriπ€£Kwan ww huna neno jema lakusema rafik?
Galungi dearr!!Agandi sao...ndyo omukyaro
Mi namshukuru kunitambulisha kwakoSwali zuriπ€£
Sawasawa dogo.Mi namshukuru kunitambulisha kwako
Hapo kwenye dogo kuna ukakasi.Sawasawa dogo.
Asante sana MOMA....Nakupenda moreAhsante Sana..ikawe kheri kwako kipenzi.. Nakupenda [emoji7]
Oooh!! Ni wa kesho?Hapo kwenye dogo kuna ukakasi.
Faza xmas mim sio wa jana
Asante sana Kelsea mtu wangu wa nguvu πππ penda sana wewe cha upole my decent girlmzabzab
Mzee wa kupambania
DeepPond
Nyie kaka zangu nawapenda , nawatakieni kila la kheri maisha marefu kwenu[emoji179]
Mzabzab uoe sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh ...sawa kipenzi, nindya ensenene mweeeh[emoji848]Galungi dearr!!
Nimetoka kidogo nipo Mbeya January will be omukyaro!
Karibu mama ππLooh salamu nene hizi....
Wacha nikuje PM tunong'onezane.