Unajitetea nn sasaMkuu Satoh Hirosh soma post #37
Nimetoa maelezo.
Humu mimi nina marafiki wengi ambao urafiki wetu unaishia jukwaani tena public usipoelewa hilo utanihukumu sana.
Kwa kifupi napenda kufurahi nothing more, nothing less
Prado letu la mabati π€£π€£Nakupenda pia mdogo angu mkweπ₯°
Me na kaka angu tunakupenda to the moon n backπ
Mbona la mabatiπ€£π€£
Tena ngoja nimwambie kaka etu atupeleke mtoko sijui wapi, em chagua kwanza
Sema upunguze ukorofi, kaka hapendi anahitaji utulivuπ
Basi kama hutajali uwe unakuja pm nakupa kozi ya International English Language Testing System (IELTS) ili twende sambamba.Hatukuelewi
Moja ya dogo langu korofi sanaπPrado letu la mabati π€£π€£
Tuende kule niliota ndotoni jana π usimwambie lkn kama nilimuota π€£
Team vicheko ππππππ
Mie mpole sana π
Asee nashukuru Sana mkuu,tupo pamoja Sana. [emoji120]mkwepu jr mtaalamu wa ku like,natambua uwepo wako japo hujawahi ku comment hapa JF hata siku moja,
adriz Bwana Utam Black Sniper Mlolongo Satoh Hirosh natambua uwepo wenu hapa JF,tupo pamoja.
Unique Flower unataka nini hasa kwangu sema na dunia ione...sitakuangusha ukiwa mkweli.Mimi napenda kumwambia mzabzab aoe mapema kabla jogoo halijaacha kuwika.
Equation x acha starehe imezeeka bhana nenda katulie na mama yoyo waache wakina Glenn wapambane Kwa Sasa bado miili Yao inaruhusu.
Napenda kumwambia Depal akiolewa asisahau kunialika Joannah nakupendajeππ₯°π₯ Kalpana, Antonnia[,/USER] [USER=618930]Kelsea[,/USER] [USER=671666]baby success, Lenie, Darleen, Darlin, bila kumsahau Lee
Merry Xmass and Happy New Year.
Ngalikihinja acha kusema ovyo wadada tunakerekwaga nyie na mzabzab .Mnamaneno makali.
Criston Cole unaongea English sana jaribu kuongea kiswahili hatukuelewi
Sina shida na wewe mkuu,huna baya.Mkuu sana Satoh Hirosh
Sina la kujivunia kuhusu hili.
Nimejikuta tu kuwa mimi ni rafiki mkubwa sana wa hii jinsia tokea utotoni.
Ninatengeneza marafiki kila niendako.
Katika maisha hilisi ndivyo ilivyo.
Kuna watu huwa wanahisi mimi ni mpenda chini lkn 97% si kweli ni pure urafiki usio wa kimahusiano.
Nikiwa hata church hukimbiliwa na vitoto vya kike wasiopungua 20 to 30 kila mmoja anatamani kunishika mkono nami nawapenda sana watoto wa kike kuanzia wadogo hadi wamama wazee.
Nimejaa huruma kwao tu bila sababu mkuu wangu.
Hapa jf kuna wasichana kadhaa waliwahi kunitusi pm[emoji23][emoji23][emoji23] kuwa why niko na ke wengi...bila kujua yanaishiaga hapa tu jukwaani.
Wengi wameanza kunielewa kuwa ndivyo nilivyo na hakuna kilichojificha.
Samahani kwa maelezo marefu
Hii hali iliwahi kunikera mara nyingi lkn sasa naiona kawaida mkuu.
Kidimbwi mmh huwa sio mpenzi.
Nitakupeleka upepi garden kwa gharama zangu mkuu
Upepo garden mkuuSina shida na wewe mkuu,huna baya.
Alafu si una lugha fulani ya kipwani,soft hivi!! Watoto lazima wakufurahie. Hongera Sana
Rose garden...
Pia siyo mtu wa mitoko, pengine sababu Ni uchumi au company niliyo nayo si watu wa mitoko.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Rebecca ninachojua amepigwa life ban( if I'm not mistaken). Kuna kipindi alikuwa na ugomvi usioisha na jamii forums na kikubwa alikuwa analalmika anaonewa, km anavyolalamika Genta.Hivi Khantwe wangu bado yupo?
na mwenzie Rebecca 83 siku hizi umekua nani?
Ahahahah lkn si Yuko sahihi mwanangu Glenn ?Unajitetea nn sasa
Depal pokea salam zakoAhahahah Lin si Yuko sahihi mwanangu Glenn ?
D nakupenda Sana,nakutakia mwaka ujao ukawe na heri nyingi,Giza lisiwepo.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ooh,sawa sawa. Napasikia Sana kwenye nyimbo za wanabongofleva. Siku tutatimba.Upepo garden mkuu
Pana upepo mzuri mkuu na pamekaa poaOoh,sawa sawa. Napasikia Sana kwenye nyimbo za wanabongofleva. Siku tutatimba.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndio naongea nae hapa, tena umenikumbusha ngoja nimwambie π€£π€£π€£Prado letu la mabati π€£π€£
Tuende kule niliota ndotoni jana π usimwambie lkn kama nilimuota π€£
Team vicheko ππππππ
Mie mpole sana π
It's no use, Bantu lady . I'm a king Without a kingdom. Where is the point of all adoration, The fawning, The brown-nosing?ππ©π’My King Criston Cole