Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mekuhamuuu [emoji173][emoji3]Shemejiiiii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mekuhamuuu [emoji173][emoji3]Shemejiiiii!
Ipi tenaa?, mbna cjaonaaa hata!! Hebu nitag nikaoneee puliiiiizzzz.Post yangu ukaikaushia ee
Mwaka unaisha sasa shemeji, nilipe deni langu🤣🤣🤣Mekuhamuuu [emoji173][emoji3]
Njoooooooowinlicious ukipitia humu uniite nina ujumbe wako mama
Hapo kwenye kukataa kuendeshwa na mapenzi ndo umefanya jambo la maana kukumbusha maana ukitibuliwa na mpenzi mwezi wa kwanza dah mwaka mzima ni nux tu92 jerrie mkuu nakutakia heri ya mwaka mpya 2023
atlas copco 2023 ukawe mwaka wa heri sana mkuu. Usipokubali kuendeshwa na mapenzi,, mwaka utakuwa mzuri sana kwako
92 jerrie mkuu nakutakia heri ya mwaka mpya 2023
atlas copco 2023 ukawe mwaka wa heri sana mkuu. Usipokubali kuendeshwa na mapenzi,, mwaka utakuwa mzuri sana kwako
Nakutakia kila heri kipenzi😍Njoooooooo
😂😂😂karibu sana@mzabzab , @To yeye comment zenu hunifurahisha haswa kwenye mada za mahusiano na mapenzi
Press @ then jina utakalo bila kuacha spaceIla mbona hamjanielekeza jinsi ya kutag watu humu mbona muwachoyo hivyo
Thank you chalii angu🤗Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Pamoja sana mkuu.Ahsanteeeee sanaaa Dr G. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen rafikiThank you chalii angu🤗
Nafurahia uwepo wako humu... All the best to you too na Mungu atubariki tumalize mwaka salama.
🤣🤣🤣🤣🤣 2023 uolewe wewe. Sio mnakulana kiushikaji tuu
DeepPond hapa jibuNinawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
DeepPondNinawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka