Vita ya nini hii bwasheee
Ngoja aje.. tuone atasemajeVita ya nini hii bwasheee
Oky kumbe ndo maana yake daaah aiseeee hatari sana hiii πππππUboboh ni kama upanga wa moto ukipenya unakata kuwili π
Mfano wa hiyo misamiatiππππKuna ndugu yangu mmoja napiga naye story, naanza kumsikia anaongea misamiati ya JF. Namuuliza upo JF? ananiambia hayupo ila anaijua
Hahah...mamamzunguIla kuna mmoja nina wasi wasi nae kama ni shangazi angu kabisa an humu
Umejuaje mkuu...πππππHahah...mamamzungu
Taja ID yake usiogope πππππnikiwa kwenye gari siku moja, nimesimama, kuna baba mmoja bonge kanyoa upala na mtu alienawili sana~ nilimwona akilaunch program ya jf kwenye simu yake.
AKAView attachment 2677585otea hapo Nani na Nani wamesimama...? ππππ Watu wanaficha Hadi sura jamani.
mimi nlishakutana na na slim5 bila yeye kujuaMiye nishakutana na rikiboy na Mpwayungu Village
Kwamba kaka we umri umesogea sogea sana kiasi Cha kua na mjukuu?huu mtandao unaweza kubishana na wajukuu zako pasipo kutarajia