Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mimi muhimbili nilikuta Dokta mmoja mkubwa Sana Yuko JF kwenye pc yake ..nimamuuliza Hadi I'd yake
Akanitajia ...lakini akaniambia sijawahi post chochote ...kitu ambacho ni kweli.....na akanitahadharisha kabisa kuwa makini na ushauri wa online kuhusu afya ...Kwa uhakika nenda hospitali...
 
Walikua wanabishana, wengine wanasema ni Ke, wengine wanasema ni me ila Gay, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilivyotoka palee nilichekaa km chizi, Lol
Caca saizi ndio umekua she ila kile kipindi ulikua shemale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mlongo vakavi vibishana ngati nene na mdala au mgosi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vangi vakajovi nene na mdala, vangi vakajovi nene na mgosi ila nna mambu ga chidalaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

So nene wa mdala or mgosi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmmh nataka mdogo wangu,tukifika huko tuhakikishe tunaenda kuwabusu wale dolphin,tuhakikishe tunapiga picha jangwani tuvae vitambaa vya kiarabu,halafu tumalizie na Burj Khalifa tukajislay queen [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndio utulie bibi atupe connection ya matajiri wa visima vya mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio utulie bibi atupe connection ya matajiri wa visima vya mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanitumia Dirham kwa Mpesa.
 
Mlongo vakavi vibishana ngati nene na mdala au mgosi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vangi vakajovi nene na mdala, vangi vakajovi nene na mgosi ila nna mambu ga chidalaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Apu mlongo nga uvajovili ve ngati wa mdala au wa mgosi..!!
 
Serikali imekuwa ikiwinda wale wanaikosoa na kusahau kuwawinda wale wanaliingizia taifa hasara, hii ndio sababu nikajiita The Knowledge Seeker wakati hilo sio jina la ubatizo
 
Aaah!! beberuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…