Sana anafeli.Una miaka 9 na hauna hata member mmoja mnaefahamiana huwezi kuwa serious mkuu, wanazengo humu wanakulana kimasihara daily unafail mzee baba
Kama sa hivi et kisa napanda kwa daladala ety ni quit .. neverSasa Injoy
Anafeli tenaπ±π±π±Sana anafeli.
Wewe mtu bad ππππShiiiiiii
ninayo moja tuhπππππ Yaani dah
Mpaka sa hivi wee umebadilisha ID ngapi mkuu
Unaificha !!!!Same here. Jf kama madawa ya kulevya vile inafichwa inafichikaπππππ
Wee huna haja ya kujificha kabisa..ninayo moja tuh
Mbona kuna uzi wako wa kitambo unasema unazo ID 10 na zote zina kazi tofauti tofauti apa jf 2018 kama sijakosea.ninayo moja tuh
ziliunganishwa mkuuMbona kuna uzi wako wa kitambo unasema unazo ID 10 na zote zina kazi tofauti tofauti apa jf 2018 kama sijakosea.
Okay [emoji106] nimekuelewa mkuuziliunganishwa mkuu
ni kweli sina haja jificha nduguWee huna haja ya kujificha kabisa..
Maana upo clear humu ππππ
Mzee wa masihara na mzee wa kuwasnich waalimu.Miye nishakutana na rikiboy na Mpwayungu Village
Ajabu hao washikaji uliowaingiza jeiefu saivi huenda hata Id zao zimeshakupotea, maana kila uchwao njemba zinakuja na Id mpya humu.Marafiki zangu wote wanatumia JF, Ofisini pia washikaji wote niliwaingiza JF, Sio kitu cha siri, nikikaa kwenye madawati ya wenzangu sometime nakuta wamefungua JF Wanaburudika.