Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Yes tunapaswa kuwa bold, vikwazo vyote vitashindwa.Mume km mume [emoji8][emoji8][emoji8]
Hao wachawi wenyewe uchawi wao hautupati labda waje niwasaidie uchawi mpya [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes tunapaswa kuwa bold, vikwazo vyote vitashindwa.Mume km mume [emoji8][emoji8][emoji8]
Hao wachawi wenyewe uchawi wao hautupati labda waje niwasaidie uchawi mpya [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hutaniwi laaziz wangu eeh!! [emoji8][emoji8]
Cheka bas mume, eti baby nyonga mkalia ini, wa kwangu peke yangu [emoji7][emoji7]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna uzi niliuanzisha humu miaka kadhaa nyuma. "Je unamfahamu nani humu JF nje ya JF"?Ule uzi ulifutwa na moderator maana watu walianza kufungukaNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Jf akili kubwaNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Hata Pascal Mayalla hujawahi kukutana nayeNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Majitu ya Arusha yana ushamba sanaPina anaogopa sana watoto wa Arusha, bou nako alikua anaenda kwake kila siku kumtafuta wazichape akawa anamkosa, ikabidi ampigie simu kumwambia yupo wapi waonane wakichafue[emoji1787][emoji1787]
Bou nako peke yake ndio hadi leo bado hajamaliza hii beef[emoji1787][emoji1787], wengine wote hawana tena noma
Mnaoogopa id kufahamika mnatumia app ipi inayoonyesha id? Au hamtaki kabisa ijulikane huwa mnapita huku?Acheni ujinga jf ni siri kama siri nyingine mimi mwenyewe nkiwa kwenye usafiri wa uma siperuzi kibwege mibongo mimbea ikikujua balaa
Huu mtandao unatumiwa na watu wengi with fake ID maana ya kufake ID maana yake ni siri acheni tu mtandao huu ni siri nzito
Otherwise kwa sisi tuliopitia Cuba kuna washkaji nakutanaga nao lafudhi zao tu utawajua ni wa humuhumu hata wabishe vipi...
Mara utaskia papuchi, mara mbususu, mkuu nk
Faiza ni dada wa kawaida tu wala si mamaSiku nikikuona halafu ukawa mwembamba nitakataa,Huwa nakuona kama Mama mmoja wa makamo mwenye mwili kama wa Mama Samia,halafu muda wote una hijabu na mdomo mchafu kama wa Mwantumu wa DStv
AahaaaaaMiaka kadhaa nyuma tulikua kwenye interview ya utumishi chuo cha uhasibu kule, jinsi tulivyokua nyomi jamaa yangu mmoja akaniambia "hizi zote ni ID fake za Jamii Forums"[emoji16][emoji16]
Hatari sanaDaaah ila yataka moyo..
Kama ni watu wa kutype type vya ajabu 🤓🤓🤓🤓
Alafu ndo hivo tena big boss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka kadhaa nyuma tulikua kwenye interview ya utumishi chuo cha uhasibu kule, jinsi tulivyokua nyomi jamaa yangu mmoja akaniambia "hizi zote ni ID fake za Jamii Forums"[emoji16][emoji16]
Binafisi wapo naowafahamu kuwa wanatumia jf ila sijui ID wanazotumia...Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?