Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Uko sahihi, je kwa upande wako ulishaanza kutengeneza kizazi cha kuja kujiajiri?Kama kwenu sio matajiri basi PATA Elimu ukatumikishwe.......
Umiliki ulioutaja hapo ni (intergenerational)kama Babu Yako alikuwa tajiri naye akakumegea kidogo basi nawewe utakuwa tajiri......
Tatizo ni mwanzo ....ninamaana kwenu hakuna tajiri...wewe ndiyo unataka kuwa wa kwanza.....inabidi nguvu za ziada zitimike.....
Kumbuka kuna kijana mmoja alikataa donge nono kuajiriwa huko US, na sasa kampuni yake iko vizuriInategemea na maslai kaajiriwa CEO wa Voda Mimi ni nani?
Kijana gani huyoKumbuka kuna kijana mmoja alikataa donge nono kuajiriwa huko US, na sasa kampuni yake iko vizuri
Fungua ata kampuni ya kutengeneza majiko ya kuchomea nyama; tusiogope maneno ya kutishana wakati fursa ziko waziAkili ndogo sana 🤣
Wamarekani wanaita living paycheck to paycheckKujiajiri ni Muhimu Sana , Ila usitegemee MTU ambaye mshahara wake haikutani aweze kufika hatua ya kuwekeza hela katika biashara ni ngumu mno.
Ukimtafuta kwa google utampataKijana gani huyo
Bado Niko kwenye mchakato...watoto wangu ndiyo kwanza wako shule ya msingi.....Mimi mwenyewe nimejiajiri.....Uko sahihi, je kwa upande wako ulishaanza kutengeneza kizazi cha kuja kujiajiri?
Inawezekana elimu/ujuzi tunaoupata inatudumaza akili katika kujiajiri, inabidi kufanya utafitiUnadhani kila aliyeajiriwa ni cheap labour?
Ila hii mada ni ya watu wa uchumi, ni pana sana, sisi wengine hatuiwezi
Hapo ndipo chachu ya kujiajiri inapoanziaHakuna kitu kinakera , ikiwa boss ni mwanamke alafu umri wake ni mdogo kuliko wewe. ( unatamani ukatae kutumwa lakini ndo hivyo haiwezekan) 😒
Wote tuwe wafanyabiasharaVitu ni vingi vya kufanya, muhimu ni kujua elimu uliyopata, je inakupa uhuru wa kujitegemea au wa kutumwa tumwa
Perfect ,paycheck to paycheck is hellWamarekani wanaita living paycheck to paycheck
Pure form of poverty
Kama umejiajiri wewe ni BIG BOSSBado Niko kwenye mchakato...watoto wangu ndiyo kwanza wako shule ya msingi.....Mimi mwenyewe nimejiajiri.....
Kila kitu ni biashara Sema wajanja wachache wamewafanya WATU kuwa watumwa wao kea hizo mindsetWote tuwe wafanyabiashara
Tutarudi kwenye barter trade
Nipe unga, nikupe t shirt…
Wewe si ungezaliwaga hizo enzi? Kii karne wacha tutumwe tumwe 🤣
Kwa nini china wana viwanda vingi kuanzia vidogo, vya kati mpaka vikubwa?Wote tuwe wafanyabiashara
Tutarudi kwenye barter trade
Nipe unga, nikupe t shirt…
Wewe si ungezaliwaga hizo enzi? Kii karne wacha tutumwe tumwe 🤣
Sina jibu, sijawahi kufika China.Kwa nini china wana viwanda vingi kuanzia vidogo, vya kati mpaka vikubwa?
Kwa hiyo tunaweza kusema, inachangiwa na 'biological factor'?Sio kila mtu amezaliwa kuwa mfanyabiashara.
Wengine wamezaliwa kufanya kwazi kwenye biashara za waliozaliwa wafanyabiashara.
Elimu Ughaibuni na elimu ya hapa nyumbani ni sawa kabisa......tofauti ni (infrastructures)tu....by the way tunasoma Mfumo wa Cambridge na Oxford....hatuna elimu yetu wenyeweJe tukienda kupata elimu ughaibuni, inaweza ikatusaidia katika kujiajiri?