Wa zamani sio siku hizi.Kumbuka huyu mwalimu alikuwa na madeni lukuki, kabla ya adhabu hiyo alikuwa na makato mengi.
Kazi ya ualimu ina laana, maana Walimu wengi wanaishi maisha magumu.
It the wearer who knows where the shoe pinches.Uzembe kazini umemgharimu anakimbia nini sasa kwani hakujua matokeo ya utoro kazini
Hajielewi labda yeye ni matokeo ya waalimu wenye laanaUmetumia lugha ngumu kidogo kwa walimu. Kati ya walimu na mapolisi wapi wanafanya kazi ya laana?
Hajielewi labda yeye ni matokeo ya waalimu wenye laana
Atunukiwe medali ya ushujaa wa kuishi kwa Sh. 1133.33 kwa mwezi na kuweza kukidhi mahitaji yake yoteNi elfu thelathini na nne(34000).Mr.Ban huyu mwalimu ni graduate, ana degree kutoka UDSM.
huo mshahara mbona ni mkubwa sana kwa wenye masters na degree wasio na ajira wanaopuyanga mitaani.Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.
Mwalimu huyo wa kike aliishi maisha magumu sana hapo hapo shuleni ,alikosa mpaka hela ya kula ilimlazimu auze miwa na maembe aliyoyaokota hapo shuleni ili apate pesa ya kula.
Uzalendo ukamshinda baada ya mazingira magumu ya kazi aliamua kuondoka kazini bila ya taarifa kwa muajiri.
Habari nilizozipata mwalimu huyo yupo Mlandizi akifanya kazi ya kuhudumia wateja bar.
TSC mnapotoa adhabu ya kupunguza mishahara kwa walimu mzingatie iwapo kama mtuhumiwa ana mikopo benki, isitoshe adhabu ya kupunguza mshahara ni ya kikatili maana mshahara wenyewe hautoshi hapo hapo mnaupunguza.
Habari nilizozipata huyu mwalimu alikuwa na madeni benki na taasisi za fedha hapo Bagamoyo.
Kutokana na mazingira magumu ya kazi mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
Madeni aliyatengeneza kwa kuzingatia kipo chanzo cha kipato ambacho ni mshahara kutokana na kazi yake ya ualimu kama alikosa nidhamu wangefanyeje.....TSC walimpatia adhabu ya kumshusha cheo baada ya maonyo kadhaa pia kwa kuzingatia maadili ya viongozi/watumishi wa Umma....watanzania tusiwe wanaharakati kwa kila jambo tuziache mamlaka zifanye kazi zake..Kumbuka huyu mwalimu alikuwa na madeni lukuki, kabla ya adhabu hiyo alikuwa na makato mengi.
Kazi ya ualimu ina laana, maana Walimu wengi wanaishi maisha magumu.
Watanzania tunachekesha aisee!!Sijui hizo pesa kafanyia nini
Taasisi za mikopo zipo nyingi na haziko integrated, mkopaji kila eneo huchukua kwa wakati wake. Kuitekeleza sheria ya kuachiwa β ya mshahara inakuwa ngumu.Ina Maana huo mshahara anakatwa zaidi ya moja ya tatu???hata kama adhabu ya makato ya nusu mshahara haiwezi kufika 34000|= kwa mfumo wa moja ya tatu!!
Nia ya adhabu ni kurekebisha, ya huyu Mwl ni ya kumkomoa, kumuua.kwani ukisema vwewe ndo huyo mwalimu utauawa endelea kuwa kada
Hii stori ni ya kufikirika na haina hata chembe ya uhalisia. Nahisi ina lengo tu la kuwajaza watu upepo ili watokwe na mapovu!Kuna mambo katika nchi hii yanatokea huyajui.
Nimepata kisa cha kusikitisha cha mwalimu wa shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo, Pwani kulipwa mshahara wa elfu thelathini na nne (34,000) Tsh baada ya kupewa adhabu na Tume ya Utumishi wa Walimu TSC-Bagamoyo.
Mwalimu huyu amepewa adhabu ya kupunguziwa mshahara wake kutokana na kosa la utoro kazini.
Mwalimu huyu alijitolea sana kulitumikia Taifa hili zaidi ya miaka 20, akiwa kada wa CCM.
Mwalimu huyu aliishi maisha magumu sana kwa mshahara wa 34000 kwa mwezi hali iliyomlazimu atelekeze kazi yake bila kupenda kwani alikosa mpaka pesa ya kujikimu na maisha.
Alishinda na njaa kazini, alikosa mpaka nauli, ilimlazimu kutembea kwa miguu kutoka shule ya sekondari Dunda mpaka Kaole nyumbani kwake takribani ya km.10.
Mume wake kamtelekeza na watoto watatu, maisha ya mwalimu huyu ni magumu mno.
Mh.Rais, msaidie mwalimu huyu kwani ni kada mkubwa wa CCM wilaya ya Bagamoyo.
Data base ya watumishi wa umma ni moja.baadae atakapopata kazi nyingine serikalini kurejea kwenye utumishi ndo atajua hajui yaani. mchalato ni mgumu sanaaa. Ila hii ngozi nyeusi tuko na roho mbaya sana tunafikiria zaidi kukwamishana kuliko kusaidiana
Ushauri Bora kabisa huu wa mwakaWa zamani sio siku hizi.
Graduate anavuta sio chini ya laki 8 akiwa na masters anavuta 1.8.
Ukipata Kazi ya ualimu omba vijijini life is simple Hakuna kufatiliana baada ya Kazi piga ujasilimali.
Timiza wajibu wako wasome wasisome shauri yao na wazazi wao ukijifanya unawafatilia fatilia Ili wasome watakuroga.
Anaetaka kusoma mpe ushirikiano.
Wikiendi kuwa bize kwenye mishe zako.