Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Utakuta umesoma shule ya kata alizozianzisha Jakaya na ukapata ajira wakati wake. Toka aingie Mwendazake hakuna ajira au zilitolewa kwa watu wa chato na waliokaribu.

Jana ajira zaidi ya 32000
Wiki iliyopita TRA walitoa ajira zaidi ya 1400
Mwaka jana 12,000
Mwaka jana watumishi waliopanda madaraja zaidi 92,000
Mwaka huu tena 100,000


Maskini wavuvi mnaumia,mnajiita wanyonge!

Ukiitwa mnyonge jua wewe ni mpumbavu usiyejituma. Unabaki kufurahia masaibu ya wanaojituma.
Nisome shule za kata ... Kikubwa Ubongo wangu ni mkubwa .


Nyinyi mlozoea Maisha ya ujanja ujanja ,uhuniuhuni, mnajiita watoto wa Mjini , very poor kichwani

Ndio mlioumizwa sana sana na utawala wa JPM.



Mimi Binafsi nafurahi kuona Kuna ALAMA ALOZIACHA JPM ,ambazo watoto wangu wanakua, nitakua nawaambia , alitokea Rais MCHAPAKAZI .



Ungekua unajituma, Miaka mitano ya JPM,, usingeiona michungu ikiwa unazungumza nje ya mwelekeo wa kisiasa.
 
Hamna anayepinga matajiri kuwekeza , infact Sekta binafsi ni kichocheo kikubwa sana Kwa maendeleo.


Wakati huohuo, Uwekezaji huo lazima uwe wa kunufaisha Pande zote mbili .


Wakati wa JK tulishuhudia wawekezaji wengi wengi , lkn Productivity yake haikuonekana !!

Kwann?? Kwa sababu Kila Mmoja alijipigia anavyoweza Kwa faida yake .


Akaja Chuma, Chuma yeye kwanza akahakikisha kama Ulipata Pesa za ujanja ujanja, Lazima uzitapike ., Nahii ipo wazi, HATUA HAIFUTIKI .


Lkn pia akaweka mazingira Bora ya wawekezaji wa ndani na wanje , ili mradi tu Unafata taratibu na kanuni zote .

Kwenye Kodi, wee Lipa tu ,fanya mambo yako.


Ila Kwa wale wawekezaji walotegemea njia za kukwepa Kodi, lazima wamchukie JPM.


Jamaa alituinua mpaka UCHUMI WA KATI AISEE.


Leo Mama yenu anasema, timeshushwa sio Kwa mapenzi ya mtu Bali ya Mungu... Mungu gan anataka watu wawe Masikin?? Kwenye Dini tunaamini Mungu ni sehem ya ukombozi Kwa mwanadamu .





Hamna Rais baada ya Nyerere zaidi ya JPM, huyu mtu aliipenda sana Nchi yake, hakua fisadi , hakujinufaisha yeye mwenyewe .
Ni vigezo vipi umetumia kupima productivity? Isije ikawa alichotumwa JK na jamhuri na alichotumwa JPM na jamhuri vina muunganiko ila matokeo ya muunganiko umeanza kuyaona kwa JPM. Kwann unaamini JK hakuwa productive?
 
Utakuta umesoma shule ya kata alizozianzisha Jakaya na ukapata ajira wakati wake. Toka aingie Mwendazake hakuna ajira au zilitolewa kwa watu wa chato na waliokaribu.

Jana ajira zaidi ya 32000
Wiki iliyopita TRA walitoa ajira zaidi ya 1400
Mwaka jana 12,000
Mwaka jana watumishi waliopanda madaraja zaidi 92,000
Mwaka huu tena 100,000


Maskini wavuvi mnaumia,mnajiita wanyonge!

Ukiitwa mnyonge jua wewe ni mpumbavu usiyejituma. Unabaki kufurahia masaibu ya wanaojituma.
Utajiri umefanywa kuwa sifa mbaya na halafu umasikini umefanywa Kama ndio utakatifu vile..taifa la watu wenye hizi fikra maendeleo tutayasikia kwa hao mabeberu
 
Unapochanganya Pumba, Mawe kwenye Kamchele na bado ukaita huo ni mchele unaweza ukasababisha ulichonacho chote kionekane ni pumba wakati ungetenganisha ungebakiwa angalau na mchele kidogo...

Hapo umweka concepts mbalimbali ambazo theoretically they are incorrect...

Unavyosema matajiri je utajiri huo ni self made (kama kina bhakresa au wabunifu kama kina Gates, Jobs,) au ni utajiri wa kama kina Abramavich na wengine wanaopiga deals na kujigawia commanding heights of the country economy (natural resources) na kuzifanya ni za kwao binafsi kwa manufaa yao na hivyo kuwanyonya wengine ?; Au ni utajiri kama kina Edison waliopata vingi kutokana na their business acumen wakati kina Tesla waliongundua hayo mengi na kuwatajirisha wengine hawakupata kama wao kutokana na their inferior business skills ?

Kama babu yangu alikuwa chifu je ni sawa ule mto unaopita kwenye ule mlima niseme ni wangu na kila atakaye kunywa maji lazima anilipe ? Nadhani hio ni tofauti kama nikija na formula ya kutengeneza maji ambayo kila atakaye anaweza kunywa kwa gharama ninayotaka mimi.

Kufupisha maneno marefu modes of production changes with time...., na ile so called socialism was never socialism bali capitalists (wachache / wanyonyaji) living in socialist clothes; kwasababu ya production was inefficient wachache walijinufaisha kwa jasho la wengi....., Pili hata hivi sasa hakuna a pure capitalistic au socialistic country labda kwenye vitabu (zote ni mixed economies), China is doing fine industrial wise na its a country with market socialism...

Tatu even capitalism as we know it hivi sasa itaendelea na kuja kubadilika kutokana na mahitaji, teknolojia na scarcity ya resources...., (its a time bomb wakati wewe una kila kitu alafu umezungukwa na watu wasio na chochote) huwezi ukawa unamiliki ziwa alafu kuna watu hawa hata chemichemi ya kunywa maji alafu ukadhani watakuangalia tu sababu kuna ka-mkataba kanakosema bibi yako alinunua lile ziwa....
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
Saalam! Carlos
Kutanguliza neno mpumbavu halitofanya nisikujibu ulichoandika
Kila binadamu ana makosa na hujifunza kulingana na makosa hivyo hata JPM alikuwa na mapungufu yake kosa kubwa ninaloona alilitenda ni kusimama na hao vijana ulosema wanapenda mteremko
Vijana wengi walikabidhiwa nyadhifa mbalimbali wakati huo wakiwa hawana uwezo wakuongoza
Walitumia nguvu na mabavu na ilifika hatua ilionekana kufanya ubabe ni kumfurahisha JPM sababu vijana hao hawakuwajibishwa wakati uwo na wengine walitoka hadharani na kujigamba
Hatujui lengo hasa lilikuwa ninini ila ata walio onyesha kumtii siyo sababu walimweshimu bali walifanya kwa kumwogopa nadhani sasa unaona wanavyo furukuta
Kama JPM alikuwa mtu sahihi basi hakufanya kazi na watu sahihi
Ila bado taifa hili tunasubiri mtu sahihi [emoji27][emoji27]
 
Nisome shule za kata ... Kikubwa Ubongo wangu ni mkubwa .


Nyinyi mlozoea Maisha ya ujanja ujanja ,uhuniuhuni, mnajiita watoto wa Mjini , very poor kichwani

Ndio mlioumizwa sana sana na utawala wa JPM.



Mimi Binafsi nafurahi kuona Kuna ALAMA ALOZIACHA JPM ,ambazo watoto wangu wanakua, nitakua nawaambia , alitokea Rais MCHAPAKAZI .



Ungekua unajituma, Miaka mitano ya JPM,, usingeiona michungu ikiwa unazungumza nje ya mwelekeo wa kisiasa.

Frankly speaking nahisi ndugu yangu umeajiriwa na kipindi cha Magufuli kilikukuta umeajiriwa, japo mishahara ilipandishwa kwa nadra Ila policy zake zilifanya bidhaa zisipande na kuwafanya walioajiriwa kuwa less affected

Ungekuwa umejiajiri au unatafuta pesa zako mwenyewe town au umeajiriwa private sector hususani zinazodeal na biashara,

ungejua stress na depression watu walizopitia na jinsi covid ilivyowachanganya watu, sidhani kama ungeyasema hayo

Magufuli alifanya mazuri yake lakini kauli ya kusema ambao walioathirika katika kipindi chake ni wavivu au waliotegemea pesa za deal. Umewakosea watu wengi sana
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, kupiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Heading yako haiendani na ulicho andika.

Huwezi mfananisha magu na Nyerere kwa mfanano wa aina yeyote ni kama mbingu na aridhi...

Labda kam unamtindio wa ubongo..
 
Ungekua unajituma, Miaka mitano ya JPM,, usingeiona michungu ikiwa unazungumza nje ya mwelekeo wa kisiasa.

Mkuu hiko kizazi cha fesibuku hakiwezi kukuelewa,,, Watu wanaopenda hela halafu hawataki kufanya kazi JPM alikuwa ni mwiba mchungu sana kwao...

JPM ukiacha siasa zake,,, alipenda sana Kazi.
 
Mkuu hiko kizazi cha fesibuku hakiwezi kukuelewa,,, Watu wanaopenda hela halafu hawataki kufanya kazi JPM alikuwa ni mwiba mchungu sana kwao...

JPM ukiacha siasa zake,,, alipenda sana Kazi.
JPM labda kwa nyie wanyonge, ila kwa watu wenye akili na wasiotegemea serikali ni utopolo
 
Nyerere, Mkapa na Magufuli ni Marais bora na wazalendo kuwahi kutokea.

Hawakuwa wabinafsi, na waliamini hii ni nchi ya Watanzania wote, siyo wao na familia zao pekee.

Hawa wengine waliobaki wanaamini hii ni nchi yao na familia zao pekee.
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???
Ajira zipi hizo mkuu??

Utawala wa Jpm haukua mzuri hata kidogo.

Huenda ni kweli aliwaminya matajiri lakini aliwapa nguvu kubwa viongozi aliowateua, aliwapa mamlaka hata ya kuamua kesi ilhali wao sio mahakama.

Sio busara kwa sisi watz kuwatusi watu wazima tena hadharani, lakini kwenye utawala wake wastaafu walisemwa vibaya na viongozi wenye umri sawa na wajukuu zao.

Ilikua akikuoenda raisi basi ndo tiketi ya kunyanyasa wenzio.
Matajiri walisumbuliwa mno na watawala, na bahati mbaya sio wote walikua na pesa za mchongo ila waliteswa, kupigwa, kuuwawa na wengine kupokonywa mali zao.
 
Jpm hakua raisi safi.

Huyo mnaemuita mnyonge ni yule aliezisaka akazikosa, lakini eti ndo anyenyekewe kisa tu kashindwa kupata pesa. Na aliezipata anaonekana ni mpigaji na anamnyonya huyo aliekosa.

Sijui akili za wapi hizi.
 
Back
Top Bottom