Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Mwisho kabisa, Shida ya Tanzania ndio shida ya Africa na shida ya Watanzania ni shida ya WaAfrica wote....

WaAfrica ni viumbe wavivu ambao hatutaki kukubali kama wavivu, WaAfrica mpaka sasa hatuamini mwenye jukumu la kuijenga Africa ni Mwafrica kwa nguvu, jasho na damu yake...

Mwafrica mpaka leo haamini kama maendeleo yana stages zake na moja ya stages ni mateso makali kwenye kufanya kazi kwa nguvu muda wote bila kuchoka....baadala yake tunaamini tunaweza kupata maendeleo tukiwa tumekaa tunakunywa bia na kugegedana...

WaAfrica mpaka leo hatuamini ukoloni umeisha na tuko uhuru na uhuru huu unapaswa kusimamiwa na kulindwa kwa jasho, nguvu na damu muda woote..baadala yake mwafrica ni bingwa wa kulialia..

Waafrica mpaka leo hatuamini kama kuna kizazi na vizazi vinapaswa kujitoa sadaka ili kufikia maendeleo ambayo wote tunayahitaji.....stage ya kwanza ni kizazi kujitoa sadaka kupata uhuru, stage ya pili ni kizazi kujitoa kulinda uhuru na kujenga misingi, stage ya tatu ni kizazi kupambana kuleta maendeleo yatakayoishi milele na milele...

Tuendelee kucheza singeli na baikoko ndio chaguo letu...
Umemaliza kabisa sisi Waafrika mafala sana tunatema big kwa karanga za kuonjeshwa mtu anauza mgodi kisa anapewa 10%
 
Nisome shule za kata ... Kikubwa Ubongo wangu ni mkubwa .


Nyinyi mlozoea Maisha ya ujanja ujanja ,uhuniuhuni, mnajiita watoto wa Mjini , very poor kichwani

Ndio mlioumizwa sana sana na utawala wa JPM.



Mimi Binafsi nafurahi kuona Kuna ALAMA ALOZIACHA JPM ,ambazo watoto wangu wanakua, nitakua nawaambia , alitokea Rais MCHAPAKAZI .



Ungekua unajituma, Miaka mitano ya JPM,, usingeiona michungu ikiwa unazungumza nje ya mwelekeo wa kisiasa.
Acha ujinga. You are delusional.
Hakuna alama zozote! Hizi sio tu ni kuwa delusional lakini pia ni hallucinations.
Jiwe alikuwa pathological liar. Peleka ujinga wako huko.
 
Una hoja ya msingi lakini kwa heshima na taadhima naomba usimfananishe Nyerere na vitu vya kipumbavu

Baba wa taifa aliipokea nchi kutoka wa wakoloni ikiwa na watu wengi fukara (yaani wenye umasikini uliopitiliza) na baadhi ya watu ambao walikua middle class (wachache sana wazungu na watu wenye asili ya asia na waswahili kidogo)

So, ilikua ni lazima kufanya kitu ili kuwaingiza watu wengi kwenye uzalishaji mali na kuinua uchumi na vipato vyao. Ndiyo maana zikaja sera na matamko mbali mbali ambayo lengo lake lilikua kujenga taifa la watu wenye kujitegemea.

Mwalimu, pamoja na mambo mengine, alijenga na kukuza umoja wa kitaifa kwa kuondoa tofauti za kimapato, kikabila, rangi na dini kwa kuweka kiswahili kama lugha yetu ya taifa na mfumo wa ujamaa na kujitegemea.

Kiswahili kinatumika mpaka leo kama lugha kuu na inayotumika nchi nzima. Pia, ujamaa upo mpaka leo, mathalani unapofiwa au kuoza ndugu na jirani watakuchangia na kushirikiana na wewe na maisha yanaendelea

TOFAUTI NA HUYO MWINGINE (JPM) ambaye kazi yake ilikua ni kubomoa, kwa misingi ya chuki alichukia matajiri na watu wa kaskazini na kujaza watu wa kabila lake (sukuma gang) kwenye mifumo ya uendeshaji nchi

NINAKUSIHI UMUOMBE RADHI MWALIMU NYERERE KWA KUMFANANISHA NA VITU VYA KIJINGA
Magufuri anachukiwa na wezi tu waliokuwa wakikwapua Mali za umma,kama alichukia watu wa kasikazini, mbona hatukuwahi kuona Mengi mali zake zikiguswa,akina Mo walitangazwa matajiri bora vijana barani Africa ,Bacressa biashara yake ilinawili kipindi cha Magufuri,hao wote ni matajiri wakubwa hatukuona wakilialia kuwa utawala wa Magufuri unawaonea, majizi tu waliokuwa wanashirikiana na viongozi wetu wa serikali,kuiba mali umma ndio walimwona Magufuri mbaya
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
JPM anachukiwa na wachache hasa humu jamii Forums cz humu kuna wafanyakazi wengi wa serikali wanaopenda dezo dezo na madili, full stop.
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
Ukome!! tena ukomae kumtaja taja Nyerere ukimlinganisha na wapuuzi unao wajua weye, !...Baba Julius aliheshimika Duniani kote mpaka leo wakubwa wa Dunia huenda Mwitongo kwa Mama Maria, na

mpaka sasa ninayo ya kujifunza toka kwake ...zaidi hakuogopa kwenda kuwa pasha UNO!! tena wazi wazi!! lkn jiwe aliogopa sana UNO Usipinge, alionea Dagaa tu, viafrica vitanzania vyeusi ivo vina ufisadi gani? hata havijui hela zinatoka wapi? ? lkn wazungu aliwagwaya

Kambarage kwa maneno yake ya hekima tu alialikwa vyuo vikuu mbali mbali Duniani ili akatoe Neno la hekima !! cheza na Mzanaki nini!!...hata baada ya kuacha kazi kwa hiali yake walimuhitaji Duniani!! akapewa Mwenye kiti wa ..South south commision.

Leo kikwete bado Dunia inamtumia.....hilo jambazi lililo iba kura nani angelitaka? likaua? likamkosa Lisu wa watu... unadhani Dunia itasahau?? hata kuitwa tu na wenzake hapo south.A /kenya aka tibiwe bure hakuitwa...lkn kikwete aliitwa akatibiwa USA kwa gharama za AU!......

Msichukie kuwa kwenye Urais wake kamwe kikwete hakukaa nchini ...ni kwa sababu Dunia ilimuhitaji mno ya zaidi kuliko mnavo muhitaji Nyie baadhi ya watanzania ...alitumiwa na Dunia mpaka leo! kwa gharama za Dunia!

Ameacha alama Duniani siyo Tanzania pekee wanaompinga ni wachawi tu!... na huko chato watu wa kimataifa hawata enda labda muupeleke mwili wake Mwitongo kulee Butiama!! au kwenye makaburi ya mashujaa DSM mchanganye huko!

mtamsema sana mrisho eti anakula kona km Vasco Dagama wala siyo hela zenu za Madafu hizo.....msijipendekeze na kujigamba!! yeye anaalikwa kwa gharama zao! wanao muhitaji.

Humjui Julius kijana mdogo weye Mwache bana!! apumzike Kijijini Butiama, msifanye hayoo!
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .

Ujamaa ulifeli Afrika siyo kwa sababu Ulaya walikataa kuwauzia spea za viwanda. Kuna nchi za Scandinavia kama Sweden ambazo zilikuwa nazo zinafuata mfumo wa aina ya Ujamaa ambazo zilikuwa na urafiki na nchi za Afrika ikiwemo Tanzania. Sweden iliyotoa misaada mingi Tanzania, isingekataa kuwauzia hizo spea za viwanda ambazo unatumia kama visingizio vya viwanda kufa.

Ukitaka kujua kwa nini Ujamaa wa Tanzania na nchi zingine za Afrika ulifeli, sikiliza hii lecture ya George Ayittey kwa makini

 
Acha ujinga. You are delusional.
Hakuna alama zozote! Hizi sio tu ni kuwa delusional lakini pia ni hallucinations.
Jiwe alikuwa pathological liar. Peleka ujinga wako huko.
Wewe ni lijizi ,ulozoea Maisha ya ujanja ujanja na upigaji, Wala hamna lolote .


Uongo wa JPM ulikua wapi?? Yapi alosema na yasitendeke

Akisema nafufua shirika la ndege.

Alisema tunahamia Dodoma,

Alisema Bwawa la JK,


Kafanya mambo makubwa yalosadikika



Chukua Mwinyi, mkapa, Samia umpe miaka 9 , Hawatokaa kamwe kamwe , KUFIKIA ALOFANYA JPMKWA MIAKA 5.
 
Una uhuru wa maoni. Ni sawa.
Ila umeandika ujinga. Uzuzu.
Mjinga Mmoja wewe .


Shida yenu mlozoea Maisha ya ujanja,
Vyeti feki ,

Sasa Jiwe akanyoosha rula , DUNIA ikawatenga .



Ndio Sababu mlimchukia sana ,Wala hamna kingine !!.
 
Mkuu nimegundua una uwezo mzuri mno wa kuchakata keyboard na kuifanya kuwa pumba. Ntakutafuta tufanye biashara ya vyakula vya mifugo
Sasa hata huo ufugaji Haumo.


In fact waweza kua ni Moja ya wake Vijana wanaolilia Ajira za serikali na nyongeza ya mishahara .


Yaan akili kisoda.
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Kupitia sera mbovu tulikuwa uchumi wa kati,Leo kwenye sera Safi tunambiwa tuombe mungu tutarudi huko kwenye uchumi wa kati, no no. No
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika
Mada yako ni mbovu kwa vile unafikiri 'kimbofumbofu'.

Ni tajiri yupi asiyeitegemea serikali, hilo hulijui.

Ni serikali gani duniani isiyoangalia maslahi yya watu wake wengi ambao si wafanya biashara, hili nalo huna habari nalo kabisa

Nani alikuambia utawala wa Nyerere watu walitegemea vitu vya bure? Unazungumzia elimu? hivi unayo akili timamu kuhoji utoaji wa elimu bure kwa watoto wa wakati huo? Hivi unajua Tanganyika ya uhuru ilikuwa ya aina gani?

Haya sema, ni Tanganyika ya Nyerere pekee ndiyo iliona umuhimu wa kutoa elimu kwa watoto wa nchi hiyo maskini? Ulitaka watoto wakapate elimu wapi, au hao wenye uwezo wa kusomesha watoto wao uliwaona walikuwepo wangapi ndani ya nchi hii.

Unaweka kichwa cha habari cha kilevilevi hivi kuvuta hisia za watu, kumbe huna lolote unalojua.

Hayo mashirika unayolalamikia kufa, hujui sababu yake, ila kulalamikia Nyerere. China hakuna Mashirika ya Umma ambayo leo hii ndiyo yanayochukua tenda za ujenzi kila mahala duniani. Hilo hulijui; ila unajua tu kulalamikia huduma kutolewa kwa wananchi walio wengi.

Mtu kama wewe ndio mlioua mashirika ya umma, na kusema kweli mlistahiri kupata shaba hadharani liwe kama funzo kwa wahujumu wa nchi hii.

Hopeless Kabisa.
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
You nailed it !!
 
Mada yako ni mbovu kwa vile unafikiri 'kimbofumbofu'.

Ni tajiri yupi asiyeitegemea serikali, hilo hulijui.

Ni serikali gani duniani isiyoangalia maslahi yya watu wake wengi ambao si wafanya biashara, hili nalo huna habari nalo kabisa

Nani alikuambia utawala wa Nyerere watu walitegemea vitu vya bure? Unazungumzia elimu? hivi unayo akili timamu kuhoji utoaji wa elimu bure kwa watoto wa wakati huo? Hivi unajua Tanganyika ya uhuru ilikuwa ya aina gani?

Haya sema, ni Tanganyika ya Nyerere pekee ndiyo iliona umuhimu wa kutoa elimu kwa watoto wa nchi hiyo maskini? Ulitaka watoto wakapate elimu wapi, au hao wenye uwezo wa kusomesha watoto wao uliwaona walikuwepo wangapi ndani ya nchi hii.

Unaweka kichwa cha habari cha kilevilevi hivi kuvuta hisia za watu, kumbe huna lolote unalojua.

Hayo mashirika unayolalamikia kufa, hujui sababu yake, ila kulalamikia Nyerere. China hakuna Mashirika ya Umma ambayo leo hii ndiyo yanayochukua tenda za ujenzi kila mahala duniani. Hilo hulijui; ila unajua tu kulalamikia huduma kutolewa kwa wananchi walio wengi.

Mtu kama wewe ndio mlioua mashirika ya umma, na kusema kweli mlistahiri kupata shaba hadharani liwe kama funzo kwa wahujumu wa nchi hii.

Hopeless Kabisa.
Wengine wameshaanza kusema Ngada iko kwenye mfumo wa dunia na inawakwamua vijana !! Maana yake waachiwe tu !! Hatari sana !!
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Serikali yoyote ni lazima iwe na nguvu kuliko watu, maana watu wakiwa na nguvu kuliko serikali Kuna washenzi watawaonea masikini, umeandika kama una akili lakini ni ziro to, usikute hapo ulipo huwezi hata kua balozi wa nyumba 10,yamkini hata familia inakushinda, wabongo bhana
 
Serikali yoyote ni lazima iwe na nguvu kuliko watu, maana watu wakiwa na nguvu kuliko serikali Kuna washenzi watawaonea masikini, umeandika kama una akili lakini ni ziro to, usikute hapo ulipo huwezi hata kua balozi wa nyumba 10,yamkini hata familia inakushinda, wabongo bhana


Serikali ni watu, serikali inawekwa na watu na inaondolewa na watu, na ni lazima isikilize watu, Kama huamini hilo wewe ni mfugo ulitakiwa kuwekwa ndani na kulishwa, maana binadamu hawapendi kufugwa na kulishwa na serikali


Serikali za kikatili, zinazonuka rushwa ndio zenye nguvu kuliko watu
 
Majibu hya hapa,ukiona raisi amekufa na nchi nzima raia wamejaa kuomboleza kwa ajili yake huyo ujue aliongoza nchi vizuri sana
 
Mada yako ni mbovu kwa vile unafikiri 'kimbofumbofu'.

Ni tajiri yupi asiyeitegemea serikali, hilo hulijui.

Ni serikali gani duniani isiyoangalia maslahi yya watu wake wengi ambao si wafanya biashara, hili nalo huna habari nalo kabisa

Nani alikuambia utawala wa Nyerere watu walitegemea vitu vya bure? Unazungumzia elimu? hivi unayo akili timamu kuhoji utoaji wa elimu bure kwa watoto wa wakati huo? Hivi unajua Tanganyika ya uhuru ilikuwa ya aina gani?

Haya sema, ni Tanganyika ya Nyerere pekee ndiyo iliona umuhimu wa kutoa elimu kwa watoto wa nchi hiyo maskini? Ulitaka watoto wakapate elimu wapi, au hao wenye uwezo wa kusomesha watoto wao uliwaona walikuwepo wangapi ndani ya nchi hii.

Unaweka kichwa cha habari cha kilevilevi hivi kuvuta hisia za watu, kumbe huna lolote unalojua.

Hayo mashirika unayolalamikia kufa, hujui sababu yake, ila kulalamikia Nyerere. China hakuna Mashirika ya Umma ambayo leo hii ndiyo yanayochukua tenda za ujenzi kila mahala duniani. Hilo hulijui; ila unajua tu kulalamikia huduma kutolewa kwa wananchi walio wengi.

Mtu kama wewe ndio mlioua mashirika ya umma, na kusema kweli mlistahiri kupata shaba hadharani liwe kama funzo kwa wahujumu wa nchi hii.

Hopeless Kabisa.
Tajiri hatakiwi kuitegemea serikali, tajiri anatakiwa kufanya biashara zake na kulipa Kodi stahiki kwa serikali

Hizo Kodi za serikali inayokusanya ndio itasaidia kutoa huduma za kijamii na kusaidia wale wasiojiweza kabisa

Nyerere alikuwa na Sera mbovu kiuchumi ndio maana leo legacy yake kwenye uchumi hakuna, anasifiwa kwa kuleta Uhuru na kuimarisha umoja lakini uchumi aliboronga, ndio maana Mambo ya azimio la Arusha yalitupiliwa mbali na ubinafsishaji ukafuata

China kwa Sasa Ina mamilionea wengi kuliko Marekani na ni major force kwenye uchumi wa dunia, sababu haifuati Tena huo ukomunisti
 
Back
Top Bottom