Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Sidhani wanafunzi wa sasa hivi kama wanapigwa kuliko sisi wa enzi Mwalimu tulivyopigwa!
Hata hivyo waalimu wengi kutokana na changamoto za maisha wana stress nyingi.
Wanahitaji cancelling.
 
Hakuna kitu kama hicho. Watoto wanaweza wakajikata kwa nyembe na damu ikatoka.
Vitoto hivyo ni vihuni tu
 
Halafuu kuna wathenge humu kutwa wanawatetea hawa mbwa, mi angekuwa mwanangu huyo mwalimu ningemtoboa macho yote mawili
 
Sawa jiandae ukawe mtetezi wake court huyo mwalimu muuaji
 
Umepotoka mkuu,Yuko shule Gani huyo mtoto wako,yaani mtoto katukana au kachelewa nikutafute wewe mzazi,umeniweka vocha!? Ni mboko tu ila sio za huyu mwalimu aliwajeruhi watoto.
We piga mboko zako ila nikimkuta mtoto na dosari isiyoelezeka jua kesi itahama kutoka kwa mwanafunzi na kuelekea kituo chochote cha polisi mhanga ukiwa wewe mwalimu maana lazma nikuharibu vibaya mno. Yani lazma nikuvunje vunje ili kichaa chako kikae vizuri
 
Aione LIKUD mzee wa Kayumba..
Anyways, tukio la lini hili!?
 
Madeni mkuu...😂😂
 
Mkoa gani huko ambao wanafunzi bado wanaenda tuition miaka hii!??
 
Nipe location ya shule mwanao alipo,atakusimulia,hutaki mboko mpeleke feza,walimu wa hizi shule za kata tunatabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…