Hahahaha shule anayosoma wewe huwezi kuwa mwalimu pale. Wewe level zako ni kataNipe location ya shule mwanao alipo,atakusimulia,hutaki mboko mpeleke feza,walimu wa hizi shule za kata tunatabu sana
Sawa bwana ,Kila la heri,ila kama ni gavoo naweza. Kuwa paleHahahaha shule anayosoma wewe huwezi kuwa mwalimu pale. Wewe level zako ni kata
Ni ngumu hawezi soma Gavoo nikiwa in my right mindSawa bwana ,Kila la heri,ila kama ni gavoo naweza. Kuwa pale
Usihukumu kabla hujahukumiwa, kuna mambo yanatokea walimu wanajua mazingiraKuna haja gani kumpiga mtoto wa mtu kwakuwa tu amechelewa kufika shule au jana yake hakuja shule? Wewe mwalimu kazi yako ni kufundisha tu hayo mambo mengine hayakuhusu sanasana unaweza kumuita mzazi wake na kumueleza tatizo la mwanawe ili kama kumpiga ampige yeye mwenyewe.
Ningekuwa mwalimu haya matatizo ya kujitakia ningeyaepuka kabisa ningeacha kujitia kiherehere kwa kujifanya nampenda sana mwanafunzi wakati yeye mwenyewe hana mpango na elimu.
Maswala ya ada achaneni nayo, we piga mtoto wangu apasuke then uone ambavyo naweza nikakuchukulia hatua mwenyewe za kukutia nguvuni.Hapo ukiwa umelipa ada Tsh. Ngapi?
Elimu inaanzia nyumbani, mzazi unaposhindwa kufunza wanao nyumbani, mzigo unaangukia kwa walimu. Mlee mwanao katika njia bora, hatachapwa. Kama huwezi kulea, mpeleke shule za mqmilioni, kule wako tayari kukusaidia.Maswala ya ada achaneni nayo, we piga mtoto wangu apasuke then uone ambavyo naweza nikakuchukulia hatua mwenyewe za kukutia nguvuni.
Huu upumbavu wa kuumiza watoto kwa stress zenu lazma ukomeshwe in a hard way.
Mie ndio maana siku hizi sihangaiki na mtoto wa mtu, nafundisha napita hivi.😹😹 heeeee kwahiyo watoto 100 inabidi wazazi mia wapewe taarifa kwanza, acha basi.....
Mkuu upo nchi gani? Licha ya serikali kupiga marufuku tuition bado kuna walimu wanawatoza wanafunzi fedha za tuition kwa kisingizio kwamba wazazi wenyewe wameomba.Mkoa gani huko ambao wanafunzi bado wanaenda tuition miaka hii!??
Kipigo kizito unakijua wewe mzee ebu acha ukuda.Mwalimu Kisogi wa shule ya Sekondari Mwilibona awapiga wanafunzi wake 2 na kuvimba mikono na damu kumwagika kisa wamechelewa kufika shule.
Wanafunzi wao wamesema walikuwa wanakwenda kusaini ofisini kwake kwa sababu walikuwa wanakosa shule. Kwahiyo walitakiwa kila siku wasaini saa moja na nusu sasa leo wakiwa wamechelewa baada ya hapo mwalimu huyo akawashushia kipigo kizito wanafunzi hao.
Soma Pia: Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati
Kwahiyo mtoto wa kike sio mwanafunzi hatakiwi kupigwa?Yaani walimu wengi wana shida ya afya ya akili sio bure.
Hivi unapambana tena na mtoto wa kike kumuadhibu namna hii ili iwe nini yaani.
Tutahakikisha hii inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ili mwalimu husika achukuliwe hatua za kisheria.
Tukiendekeza haya ipo siku watoto watauliwa kiholela mashuleni halafu tutakuwa hatujawalinda watoto wetu dhidi ya ukatili wa hawa walimu wasio na elimu.
Hawezi kufungwa kisa fimbo, kwani ameua?Kajifanya ana uchungu na tabia ya mtoto kuliko mzazi wake, acha akanyee ndoo na huu uwe mfano kwa walimu wote aina yake, ndo maana nao huchapwa na wakuu wa wilaya
Kwani kufungwa ni mpaka iwe kuua tu?Hawezi kufungwa kisa fimbo, kwani ameua?
Hakuna mahali nimehukumu,maoni yangu yametokana na habari ilivyoandikwa kwamba mwalimu amepiga wanafunzi na amewaumiza sasa kama mleta uzi ameandika tofauti na kilichotokea huko hilo siyo langu.Usihukumu kabla hujahukumiwa, kuna mambo yanatokea walimu wanajua mazingira
Nasubiri taarifa kabla sijahukumu
Hao QT mkuu....Mkuu upo nchi gani? Licha ya serikali kupiga marufuku tuition bado kuna walimu wanawatoza wanafunzi fedha za tuition kwa kisingizio kwamba wazazi wenyewe wameomba.
Pia tuition mbona zinafundishwa maeneo mengi tu hasa ya Dar kama Mwenge, Mchikichini, Mnazi Mmoja na maeneo mengi. Mikoani ndiyo kabisa.