Mwalimu Shule ya Msingi, Flora Mariki auawa kwa kuchomwa kisu na mtoto wa shemeji

Nimeona kwa Joyce kiria wanasema huyo dada alikua anaishi kwenye nyumba ya familia yaani ni extended family,jamaa alioa na kwenda kuishi na mke hapo nyumbani kwao ambapo pia wanaishi ndugu wengi wa mume na watoto wao


Dada joy hyu binti anaitwa Flora kuna kingine Vick Marik mzaliwa wa Rombo ila ameolewa dar anaish extended family ameuawa na mtoto wa shemeji yake juzi wakat wanamkimbiza hos akafariki tupinge ukatili wa kijinsia jamani.Tupaze sauti


Dada Joy taatifa za kuuwawa kwa ndugu yetu Florah Mariki ni kweli kabisa ameshambuliwa na visu na ndugu wa mume msiba upo Tabata segerea na upande wa mume hawatupi ushirikiano tujue chanzo ni nini. Binti aliyemshambulia ndugu yetu na visu huyu hapa anayo miaka 22 ni mtoto wa shemeji yake. Ndugu yetu aliyeuawa ni huyu naomba utusaidie kisheria kupaza sauti.” TUUNGANE PAMOJA KUKEMEA ONGEZEKO LA UKATILI MAJUMBANI.


inakuwaje mashosti wanadai haki badala ya ndugu wa mwanamke
Kwa hiyo inaonekana mke kawa tishio kwa ndugu walazimisha misaada wakaja na mwafaka wa kuua, wana uhakika hiyo approach itawasaidia au itazidisha chuki, visasi na kuna uwezekano wa watu kwenda kunyea debe.
 
Ndugu wa mwanamke hawajapewa taarifa iliyo sahihi juu ya kifo cha ndugu yao pia hawapewi ushirikiano
 
Ifike mahali mtu unapoona migogoro isyotatulika ndani ya familia ni bora ujiondokee, naamini huyu dada hajauliwa from no where, its either kulikua na mgogoro wa muda mrefu usiotatulika ambao sasa umepelekea mauti yake

Halafu alikua anaishi kwenye nyumba ya familia na extended family, aliona ugumu gani kwenda kupanga na mumewe sehemu tofauti, ingesaidia kuepusha migogoro isyo na maana, au kama mume nae alikua sehemu ya mgogoro na wameshindwa kutatua ni heri angeondoka
 
Mimi nafurahia sifurahii ,nyinyi wanawake badilikeni namna ya kuishi na watoto
 
Dah kuna mshua wangu ameoa Mpare asee huyu mshua ana mkwanja mbaya mbovu na position nzuri tu ya kuweza hata kuwapa ndugu ajira ila kusaidia anasaidia upande wa mkewe tu mama.e

Nimekuja kuamini uchawi kwenye mapenzi upo.
Akipata matatizo ndugu ndio wanataabika
 
Sasa hata kama ndugu za huyu Mwalimu wasipopewa ushirikoano na hio familia iliyotuhumiwa kwa mauaji, Kwani sheria hazitachukuliwa dhidi yao? Hapo baadhi ya watu kwenye hio familia wanaenda Ngome muda si mrefu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nahisi kulikua na mgogoro maana binti anayedaiwa kuua ni mdogo nimeona picha yake insta sijui alipatwa na nini mpaka kufanya vile(mauaji)kama ni kweli

hio second paragraph hujakutana na watoto wa mama wagumu sana kuhama kwao na ukute mume ndo mwenye tuhela hela kuzidi wenzie hakuna ndugu angekubali ahame akakae mbali nao mrija wa matunzo ukatike
 
Lione hili lingese[emoji848][emoji848]

Basi hapo unajiona umeandika madini kumbe tantalila tuu!

Kwani ni lazima niwe na device moja ambayo labda naitumia humu?[emoji1745]

In short we ni mjinga na mshamba kuona mtu kutumia tecno ndo hana uwezo wa kubadili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Fankuro Madonna!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Point[emoji106]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Duuuh kukaa kwenye nyumba ya familia[emoji848]

Balaa lilianzia hapo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…