TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Embass kingdom, sio kanisa la nabii malisa au nimekosea wadau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah habari kama hizi sio za kutangaza.Dar es Salaam. Mahakama ya Mkoa wa Kinondoni imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Elisha Mushi (22), mkazi wa Ubungo Kibangu baada ya kuthibitika kumlawiti mtoto wa miaka minne kanisani....
Unaona Eeeee pangekua hapatoshi ukumbin
Elisha Mushi-mchaga mpumbavuMahakama ya Mkoa wa Kinondoni imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Elisha Mushi, mkazi wa Ubungo Kibangu baada ya kuthibitika kumlawiti mtoto wa miaka minne kanisani...
We jamaa ovyooo KABISA...nani kakuzuia kutiririka?nyie ndio mnaoharibu dini yetu...kwakulalamika vitu visivyo na msingi...HAPA TUNASIKITIKA HII DHAMBI ALOTENDA HUYU SHETWAN,NA KUMUHARIBU MTOTO,WEWE UNALETA ANGEKUWA NANI SIJUI,NANI ETI...Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Namna ulivyoiandika haikuwa na sura hii uliyoileta sasaHahahaha.. kwa kuwa kitendo alichofanya ni cha kinyama sana ningeongea tu mkuu ili sheria ichukue mkondo wake
😂😂😂 haya mkuuNamna ulivyoiandika haikuwa na sura hii uliyoileta sasa
Tena Mara mbili kwa sikuNae akalawitiwe huko pambafff zake....
Utakuta huyo mwalimu ana uhustadh underbloodIngekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Bora umeacha MKUU...maana hakuna aliyemsafi...Nilitaka kuuliza ni kanisa gani ila nimeamua kuacha tu.