Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Uongo, tuanzie kwa damu, siyo lazima group yako iingiane na ya baba yako.
Hosp siyo wajinga pia, hata kama walivizia DNA wasingeongea chochote kwa baba. Damu wangemtoa ingetunzwa maabara mtoto angepatiwa damu nyingine.
Unatupanga kiboya boya sie watu wazima oops
Hosp siyo wajinga pia, hata kama walivizia DNA wasingeongea chochote kwa baba. Damu wangemtoa ingetunzwa maabara mtoto angepatiwa damu nyingine.
Unatupanga kiboya boya sie watu wazima oops